Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Thierry Henry akizungumzia kiwango cha Man Utd dhidi ya Arsenal: “Tuliona timu ikiwa na miaka mitatu ya maendeleo dhidi ya timu yenye miezi sita ya maendeleo, pia timu yenye mapumziko ya wiki moja dhidi ya timu yenye mapumziko ya siku mbili, lakini United bado walicheza kwa kupishana( toe- to- toe) na Arsenal ambayo kwangu ilinishangaza ..Siitaki kumdharau Sir Alex Ferguson, lakini kama Erik ten Hag atapata anacho kitaka akiwa United, watacheza soka la kuvutia zaidi kuliko walivyocheza chini ya Sir Alex.”

Sio mimi maneno ya legend wenu msianze kunikaanga hapa.View attachment 2494521
Hivyo ndiyo Arsenal walivo, wanakupa credit when you deserve it and that's called respect and fairness unlike your so called legend Garry Neville na mashabiki wengine mna ego ya kishamba sana.
It's true Ten Hag kaitransform timu na mko vizuri hilo halipingiki.
 
Nyie matakataka naona mkamuosheya manjestaa 😂😂😂
Nyie tambeni tu wakati wenu umefika na unakaribiya wa kulia na kusaga meno
Screenshot_20220831-183247.jpg

Unatuchosha tu.
 
Thierry Henry akizungumzia kiwango cha Man Utd dhidi ya Arsenal: “Tuliona timu ikiwa na miaka mitatu ya maendeleo dhidi ya timu yenye miezi sita ya maendeleo, pia timu yenye mapumziko ya wiki moja dhidi ya timu yenye mapumziko ya siku mbili, lakini United bado walicheza kwa kupishana( toe- to- toe) na Arsenal ambayo kwangu ilinishangaza ..Siitaki kumdharau Sir Alex Ferguson, lakini kama Erik ten Hag atapata anacho kitaka akiwa United, watacheza soka la kuvutia zaidi kuliko walivyocheza chini ya Sir Alex.”

Sio mimi maneno ya legend wenu msianze kunikaanga hapa.View attachment 2494521
Hii habari Ni fake

Na wanaoisambaza na mashabiki wa man u
 
Arsenal kutafuta DM wa muda mfupi sababu ya Jeraha la Elneny

Understand Elnenys injury is worse than first thought at Arsenal

This is one of the main reasons Arsenal are pushing hard to sign a midfielder during the remainder of this window

Arsenal would prefer a player who can play both 6/8, to provide as much depth as possible
 
MIKEL JUU ARSENAL KUPEWA NAFASI KUBWA YA UBINGWA..

"Naijua team Yangu vizuri sana,najua tulipo,najua kwanini tupo hapa,na najua tunapotaka kufika na tupo mbali sana kufika huko.

"Najua uwezo wa team nyingine hasa zile ambazo zimeshinda Kila kitu kwa Miaka 5 au 6 iliyopita" .Na sisi bado hatujafika kwenye level hizo"

Note;Umejifunza chochote kutoka kwenye Maneno ya MIKEL ARTETA?
 
Arsenal reached an agreement with Real Sociedad this month to pay Martin Zubimendi’s £52.5m release clause, but the player does not want to leave his hometown club in the middle of the season & the deal is more likely to happen at the end of the campaign. [Mail] #afc


Martin Zubimendi has already decided that he wants to move to the Premier League at the end of the season & has his heart set on Arsenal, not Barcelona, who want him to replace Sergio Busquets, whose contract runs out in the summer. [Mail] #afc
 
Hivyo ndiyo Arsenal walivo, wanakupa credit when you deserve it and that's called respect and fairness unlike your so called legend Garry Neville na mashabiki wengine mna ego ya kishamba sana.
It's true Ten Hag kaitransform timu na mko vizuri hilo halipingiki.
Yaani huyo Gary Neville sipendi hata hizo hadithi zake.
 
Arsenal reached an agreement with Real Sociedad this month to pay Martin Zubimendi’s £52.5m release clause, but the player does not want to leave his hometown club in the middle of the season & the deal is more likely to happen at the end of the campaign. [Mail] #afc


Martin Zubimendi has already decided that he wants to move to the Premier League at the end of the season & has his heart set on Arsenal, not Barcelona, who want him to replace Sergio Busquets, whose contract runs out in the summer. [Mail] #afc
Huyu Zubimendi anaua zile link za Declen Rice, ila sawa mi nahitaji holding midfielder mwenye brain, who knows how to control games, that's all i need.
 
Mikel Arteta kaanza kumove kwa wachezaji wa kiespaniola i.e Frasneda & Zubimendi, lkn kwa midfielders wa kiespaniola naona wengi hawana athleticism, wao wanawin game by brain & anticipation of the next moves, na uwezo wao mkubwa wanajua kudictate tempo ya mchezo i.e Busquets/ Xavi/ Xabi Alonso, the issue huwa wanastruggle wakibattle against mids ambao ni explosive, japo sijamuona akicheza but im sure zubimendi will struggle against Caicedo ni km Rodri anavyostruggle dhidi ya Partey, battle nzuri ingekuwa Rice dhidi ya Caicedo kwa miaka 5/6 ijayo. Zubimendi? Maybe, ngoja tuone.
 
Zubimendi huyu Ni Bosquet mtupu

Tunahusishwa pia na Declan Rice , Onana kutoka Everton

Swali? Arteta anataka kuwa na timu zenye Falsafa mbili ?

Au Plan ipoje?

Maana hakuna aliyetarajia January tutahitaji RB lakin klabu imeweka nguvu eneo Hilo ,

Zubimendi Ni holding MD Kama Sergio Bosquet hata uchezaji,
 
Zubimendi huyu Ni Bosquet mtupu

Tunahusishwa pia na Declan Rice , Onana kutoka Everton

Swali? Arteta anataka kuwa na timu zenye Falsafa mbili ?

Au Plan ipoje?

Maana hakuna aliyetarajia January tutahitaji RB lakin klabu imeweka nguvu eneo Hilo ,

Zubimendi Ni holding MD Kama Sergio Bosquet hata uchezaji,
Declan Rice muhimu sana. Kocha ndo anapanua kikosi hivyo.
 
Yaap hata mimi nlisikia kutoka kwa de gea
Wamemlisha maneno Henry ,kwanza kihalisia Project ya man u haijazingatia swala la umri ,

Project Yao Labda niambiwe ni short term , Arsenal tulijaribu kwa kuwaleta kina Willian , Jumlisha na kina Auba, lacazette ,Luiz ,ikafeli haraka Sana ,tukaanza moja na kina Saka, Smith Rowe, Martinell, n.k walio na umri 18-25

Project isiyozingatia umri hiyo Ni short term ,na inafika kipind inagota inahitaji replacement sahihi .
 
Declan Rice muhimu sana. Kocha ndo anapanua kikosi hivyo.
Muhimu Sana, je Zubimendi mbadala wa Partey au XHAKA, au Rice au Onana ndio wabadala wa muda mrefu wa Partey

Arsenal Wana plan ambazo baadae ndio tunazielewa , mfano hakuna aliyewaza tutaweka nguvu kusaka RB ,wakati tuna White & Tomiyasu

Nikionacho Kwa maoni yangu ,Arteta anaandaa timu ya 2 yenye quality ya kukaribiana na timu ya kwanza, Lakini anaandaa timu ya kufanya vzr kwenye michuano ya Knockout Stages .
 
Xavi:


"Zubimendi? He is more physical and faster than Busi, who is better technically. But it's not just Zubimendi, it's all the players in midfield. We have a great team visiting us. Zubimendi is a great player."
 
Wamemlisha maneno Henry ,kwanza kihalisia Project ya man u haijazingatia swala la umri ,

Project Yao Labda niambiwe ni short term , Arsenal tulijaribu kwa kuwaleta kina Willian , Jumlisha na kina Auba, lacazette ,Luiz ,ikafeli haraka Sana ,tukaanza moja na kina Saka, Smith Rowe, Martinell, n.k walio na umri 18-25

Project isiyozingatia umri hiyo Ni short term ,na inafika kipind inagota inahitaji replacement sahihi .
Arsenal mna karibia miaka 20 sasa no kombe kwaiyo mlikuwa hamuweki project za wachezaji wadogo au mbona Chelsea tumeona ikifanikiwa pasipo project ndefu?
 
Back
Top Bottom