Hivyo ndiyo Arsenal walivo, wanakupa credit when you deserve it and that's called respect and fairness unlike your so called legend Garry Neville na mashabiki wengine mna ego ya kishamba sana.Thierry Henry akizungumzia kiwango cha Man Utd dhidi ya Arsenal: “Tuliona timu ikiwa na miaka mitatu ya maendeleo dhidi ya timu yenye miezi sita ya maendeleo, pia timu yenye mapumziko ya wiki moja dhidi ya timu yenye mapumziko ya siku mbili, lakini United bado walicheza kwa kupishana( toe- to- toe) na Arsenal ambayo kwangu ilinishangaza ..Siitaki kumdharau Sir Alex Ferguson, lakini kama Erik ten Hag atapata anacho kitaka akiwa United, watacheza soka la kuvutia zaidi kuliko walivyocheza chini ya Sir Alex.”
Sio mimi maneno ya legend wenu msianze kunikaanga hapa.View attachment 2494521
It's true Ten Hag kaitransform timu na mko vizuri hilo halipingiki.




Xhaka on receiving Swiss player of the year award -