Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Inaingia akilini?

Kocha kaomba wachezaji umemletea. Ana win % nzuri ila ghafla unamtimua

Inasemekana kumbe Boehly alimwambia Tuchel mipango yake ni kuhakikisha wanacheza 4 4 3. Tuchel alivyosikia hivyo akamrekebisha Boehly ila Boehly akakomaa. Tuchel akaona hapa hakuna mtu wa kufanya naye project ndiyo akaamua kuondoka.

Kumbe Tuchel aliondoka kwa mapenzi yake na hakufukuzwa
443 umechanganya kidogo mzee..
 
THE LATEST: MCKENNIE INTEREST

As per Italian news outlet Gazzetta, Mikel Arteta’s side are on the ‘trail’ of McKennie, and Juventus are willing to negotiate offers of between €20-25m (£17.5-22m) plus bonuses for him
Lauded as a ‘monster‘ in the air by football writer Wes Tucker, and a ‘pressing machine‘ by journalist Chris Smith, McKennie is rated very highly, and at 24 years of age, has not reached his full potential.
Huyu mwana yuko vizuri.

Ila siyo finished article kuna kipindi alimanage kua first choice kwenye Juve yenye viungo rundo, ana decent pace, control na vision ila sijui nini kimetokea mpaka Juve wanataka kumuacha.
 
Inaingia akilini?

Kocha kaomba wachezaji umemletea. Ana win % nzuri ila ghafla unamtimua

Inasemekana kumbe Boehly alimwambia Tuchel mipango yake ni kuhakikisha wanacheza 4 4 3. Tuchel alivyosikia hivyo akamrekebisha Boehly ila Boehly akakomaa. Tuchel akaona hapa hakuna mtu wa kufanya naye project ndiyo akaamua kuondoka.

Kumbe Tuchel aliondoka kwa mapenzi yake na hakufukuzwa
Mkuu nenda Youtube kaangalie Interview ya Boehly wakat anahojiwa na uiskie kwa makini. Utaelewa why Tuchel alifukuzwa.

Hizo issue sijui 443 ni media tu
 
Mkuu nenda Youtube kaangalie Interview ya Boehly wakat anahojiwa na uiskie kwa makini. Utaelewa why Tuchel alifukuzwa.

Hizo issue sijui 443 ni media tu
Ni 4-3-3 Mkuu sio 4-4-3 kama ulivoandika nadhan ni typing error
 
Chelsea kapeleka 60M ili amchukue Feran Torres ila Barca wamegoma
Chelsea hawajawh kumtaka Ferran Tores na hawajawah submit bid yeyote hayuko hata katika wachezaj wanaotakiwa.

Mchezaj pekee anayeweza fikiriwa kutoka barce tena ni kwa loan ni Kessie endapo sajil zikigoma kwa wachezaj tunaowatak

Priority ni Enzo n Caicedo
Priority nyingine Malo Gusto RB wa lyon

Fatilia mkuu.
 
Nachokiona hapa, arsenal kujiingiza kwenye hili deal ni kuwavuruga chelsea Ili wakaze wampate Caicedo ili summer sie iwe rahisi kumpata Decline Rice.
Na kama jinsi ilivyo kwa Agent wa Rice kuwatumiq nyie huyu Rice ni media tu za UK ndio zinatufanya tuonekane tunamtaka.

Siamini kama tunamtaka na sio priority kwetu. Labda itoke deal zote zimefeli hata summer deal zote zimefel ndio huenda tukaturn kwake

Priority yetu ni Caicedo o Enzo, mid mmoja this jan if possible nyingine Summer.
 
Ana profile gani mchezaji wa Brighton anayelipwa 15k p/w?
Hebu kua na adabu basi japo kidogo kwa Caicedo.
Chelsea, Bayern Munich, PSG na Real Madrid wote wanamtolea udenda halafu Kima wewe unakuja kuuliza Caicedo ana profile gani?

Sasa wewe unataka kumfananisha Caicedo na huyo Kwiyo wenu mliyemuokota kwa eftatu?
Screenshot_20230124_123748.jpg
 
Na kama jinsi ilivyo kwa Agent wa Rice kuwatumiq nyie huyu Rice ni media tu za UK ndio zinatufanya tuonekane tunamtaka.

Siamini kama tunamtaka na sio priority kwetu. Labda itoke deal zote zimefeli hata summer deal zote zimefel ndio huenda tukaturn kwake

Priority yetu ni Caicedo o Enzo, mid mmoja this jan if possible nyingine Summer.
Kwani Chelsea waga wana priority basi? Chelsea huwa wanaangalia nani anahitajika wapi, nani yupo hot kwenye Mainstream media na wao wanalukia huko. €300m kwa dirisha la kiangazi na timu ipo 10th on the table.
 
Kwani Chelsea waga wana priority basi? Chelsea huwa wanaangalia nani anahitajika wapi, nani yupo hot kwenye Mainstream media na wao wanalukia huko. €300m kwa dirisha la kiangazi na timu ipo 10th on the table.
Rice ameanza kuhusishwa na chelsea tangu wakat wa Lampard, ila mpka leo hii hakuna official bid iliyowahi pelekwa.
 
Timu yote inafunga ,akabwe Nan Sasa

Arsenal Players perfomance in all Competition this season:

1_ Bukayo Saka__ 8 Goals 7 Assists
2_ Nketiah__ 9 Goals 1 Assist
3_ Martinelli__ 7 Goals 3 Assists
4_ Jesus__ 5 Goals 6 Assists
5_ Odegaard__ 8 Goals 5 Assists
6_ Xhaka__ 4 Goals 5 Assists
7_ F. viera__ 2 Goals 4 Assists
8_ R. Nelson__ 2 Goals 2 Assists
9_ Marquinhos__ 1 Goal 1 Assist
10_ T. Partey__ 2 Goals 4 Creating chance
11_ Elneny__ 1 Goal
12_ Saliba__ 2 Goals 1 Assists
13_ Gabriel__ 2 Goals
14_ Tierny__ 1 Goal
15_ Tomiyasu__ 2 Assists
16_ Ben White__ 2 Assits 2 Creating chance
17_ Holding__1 Goal
18_ Zinchenko__ 1 Assists 5 Creating Chance
19_ Aaron Ramsdale__51 Saves 18 Clearance 9 Clean sheet
20_ Matt turner__ 10 Saves 5 Clearance6 Clean sheet
 
Mkuu nenda Youtube kaangalie Interview ya Boehly wakat anahojiwa na uiskie kwa makini. Utaelewa why Tuchel alifukuzwa.

Hizo issue sijui 443 ni media tu
Huyo sio wa kumjibu. Ametunga kwa makusudi ili kusodoa
 
Back
Top Bottom