Mjusi_kafiri
JF-Expert Member
- May 8, 2022
- 1,016
- 1,878
443 umechanganya kidogo mzee..Inaingia akilini?
Kocha kaomba wachezaji umemletea. Ana win % nzuri ila ghafla unamtimua
Inasemekana kumbe Boehly alimwambia Tuchel mipango yake ni kuhakikisha wanacheza 4 4 3. Tuchel alivyosikia hivyo akamrekebisha Boehly ila Boehly akakomaa. Tuchel akaona hapa hakuna mtu wa kufanya naye project ndiyo akaamua kuondoka.
Kumbe Tuchel aliondoka kwa mapenzi yake na hakufukuzwa
huyu Rice ni media tu za UK ndio zinatufanya tuonekane tunamtaka.
7 Assists
