Uwezo wangu umeishia hapo wapi? Kama hujui ume mquote shabiki wa Arsenal
Ni ukweli usiopingika kuwa Arsenal game za nyuma dhidi ya Man u at Emirates zilikuwa nyepesi kwa sababu walikuwa hawana pressure ya matokeo
Game ya leo ilikuwa na different approach, different determination, different pressure, tumekuwa tukicheza na man u kipindi ambacho hiyo game haitupi chochote zaidi ya pride tu
Game ya leo ilikuwa ni zaidi ya pride, game ya leo ilikuwa ina determine mwenendo wetu wa ubingwa, wachezaji walikuwa na pressure kubwa sana baada ya city kushinda, na hii yote ni kutokana na kutokuwa na wachezaji wengi wazoefu wa mbio za ubingwa kama ilivo kwa Zinny na Jesus