Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Huyu ni media za UK zinatufanya tuonekane tunamtaka, ila siamini kama tunamtaka.
Kama kweli tungekuwa tunamtaka tungekuwa hata hii january tushapeleka ofa.
Huwez sema unamtaka mchezaj flani wakat ukipeleka ofa unapeleka ofa kwa wachezaj wengine (Caicedo na Enzo)
Ukiangalia Caicedo na Enzo wote wanamiaka 21&22 respectively
Wakala wake anataka kutumia njia ya shakhtar,huyu ni kama option ya mwisho baada ya priority zetu kukwama.
Ukimtaka sasa hivi na ukitamka baada ya kuwa amemaliza mkataba Malipo yanatofautiana.
Ukimgusa sasa hivi lazima uvunje benki



Arsenal - 
Man Utd - 
Arsenal dominate this XI - A good omen for today?