toobiter
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 1,422
- 2,791
Naaam hatuendi kinyonge.moja ya vitu vinanifurahusha sio arsenal kushinda mechi tu bali namna wapinzani wetu wanavyokuja kwa nidhamu na tahadhari ya hali ya juu.hii tahadhari kuna muda inawapunguzia efficiency offensively uwanjani na wanajikuta wana defensive mindset na hivyo tunapumua.
Hakuna raha kama kushindana na mtu anayekuogopa.
Hakuna raha kama kushindana na mtu anayekuogopa.