Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Naaam hatuendi kinyonge.moja ya vitu vinanifurahusha sio arsenal kushinda mechi tu bali namna wapinzani wetu wanavyokuja kwa nidhamu na tahadhari ya hali ya juu.hii tahadhari kuna muda inawapunguzia efficiency offensively uwanjani na wanajikuta wana defensive mindset na hivyo tunapumua.
Hakuna raha kama kushindana na mtu anayekuogopa.
 
Nasema hivi nyie arsenyonyo, Kesho mpige pasi zenu zote, hata ikiwezekana za kwenye ile movie ya kichina ya (shaulini soccer). Lakini hamta amini kitakacho watokea hapo kwenu emirates, Sababu hamtapata hata nafasi ya ku draw na united.
 
Nyie mnaojielewa na vituko vyenu vyenye umri mdogo mbona tuliwashona oldtrafford bao 3.
Man utd iliyoisumbua arsenal ni ya sir furgeson tu hawa makocha wengine hamna kitu, tungoje kesho tuone kama huyu ten haag atarudia alichokifanya OT
 
Hizi sajili mpya za chelsea zinaanguka anguka hadi nahisi Klopp kamwagia KY uwanja
 
Kwani huyu Chukwuemeka Chelsea wamemuokota wapi? Isijekua ni machinga tu alikua nje ya geti la Stamford Todd akahisi ni mcheza mpira
 
Kesho hiyo
Screenshot_20230121-172451.jpg
 
Back
Top Bottom