Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Aaron Arsenal unapenda tucheze kama hivi mkuu kuongoza possession
Screenshot_20230122-191354.jpg
 
Hawa arsenal walilala wap dadeki
Tunatunguliwa tena leo
Mpira upo low kishenz
Pass accuracy ovyo2....
 
Ila kocha makumbatio linajua, ametuvuluga kabisa, sikutegemea kwa kiungo chao kingeweza battle na sisi kiasi hiki. Ila mwisho wao umejaribia md wa Trossad huu
 
Partey yuko
Saka yupo
Rasdale yuko golini
Saliba yuko
Ordegar yupo
Mbakwama wapi?
Monkari tu iko juu hadi kocha katandikwa njano. Technicality low
Tactically low
Pace ordinary
Man U leo nawaona wako hawana papara
Msituangushe
 
ben white yuko hoi.. saka yuko hoi.. ødegaard halikazalika.. nketiah zile beki mbili z kati za
man utd zinacheza kam viungo ;kila akiwa
press.. wazee wame relax tu n mpira mguun..

zinchenko anajaribu kuonesha ile hali ya kuto kata tamaa.. game iko tough vibaya mno.

kipindi cha pili iwe ni game ya opportunity.. tuombe iwe ivo.
 
Hiki kipindi cha kwanza karibu wachezaj wetu wote hawaja perfome kwenye viwango vyao, waki click tu mashetan wanakufa
 
Arsenal tumesusa kupossess mpira. Tunacheza huku tunahofia kwenda mbele kuziepuka long balls zao, Erik kaamua kupaki basi kama mechi ya kwanza, wanajitahidi kutuvuta na Arsenal tumegoma.

Tuna blocked shots nyingi, tunaogopa kushut nje ya box na hicho ndicho kinatakiwa kianze. Last game nilisema nawish tucheze 4 2 3 1 na nawish hii pia tungecheza hivyo.

Tungekua lethal zaidi kwenye wings.

Kwa hapa tulipofikia Arteta anatakiwa kuinitiate plan mpya.
 
Arsenal tumesusa kupossess mpira. Tunacheza huku tunahofia kwenda mbele kuziepuka long balls zao, Erik kaamua kupaki basi kama mechi ya kwanza, wanajitahidi kutuvuta na Arsenal tumegoma.

Tuna blocked shots nyingi, tunaogopa kushut nje ya box na hicho ndicho kinatakiwa kianze. Last game nilisema nawish tucheze 4 2 3 1 na nawish hii pia tungecheza hivyo.

Tungekua lethal zaidi kwenye wings.

Kwa hapa tulipofikia Arteta anatakiwa kuinitiate plan mpya.
Erik kapaki Basi wapi?

Au unaangalia Gemu ipi wewe.

Halafu timu iliyopaki basi inakuvutaje?
 
Back
Top Bottom