Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sahihi kabisa. Ila kabla hamjakaa sawa na kuanza kukichafua huku ningependa mbondwe sana yaani sana yaaani. Ikibidi muishie nafasi ya 16-17 mkoswe kowe na relegation. Actually ni bora mpigwe haswaaaa mpaka mshuke daraja mtuepushe na matatizo. Mkawapeleke hao kina Mudy na Nkunku Championship huko.
Hiyo ni roho mbaya sasa
 
Hii lineup yenu ya 2019 ilikuwa poa ila ilajaa matakataka kweli, ubora wa kocha ni pamoja na kuweza kuyang'amua matakataka na kuyachoma moto
Waliobaki hapo ni wangapi?
LINE-UP-Arsenal-4-3-3-1.jpg
Duh! Wewe jamaa bn
 
A game full of goals I guess, mlioko live pls share the coverage with us!!
 
Back
Top Bottom