Hiyo ni roho mbaya sasaSahihi kabisa. Ila kabla hamjakaa sawa na kuanza kukichafua huku ningependa mbondwe sana yaani sana yaaani. Ikibidi muishie nafasi ya 16-17 mkoswe kowe na relegation. Actually ni bora mpigwe haswaaaa mpaka mshuke daraja mtuepushe na matatizo. Mkawapeleke hao kina Mudy na Nkunku Championship huko.


