Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Afadhali tumemchukua, natumai kwnye hii project italeta matunda.


Kila nikifikiria endapo mngempata mudryk na jinsi mlivyo sasa aah mbona watu tungekoma.

Dusan Vlahovic yule ndiyo kwa sasa tungekuwa tunaongea habari nyingine, lakini nashukuru yupo Leandro Trossard na Jesus.

Mykhyalo Mudryk yupo Chelsea tunataka pia irudi kwenye ubora ili kiwake zaidi.
 
Understand Arsenal have started talks to explore the signing of Iván Fresneda from Valladolid. Discussions are taking place on clubs and agent side #AFC

Fresneda, on the bench tonight as he has chances to leave next week.

There are 3/4 clubs keen on signing Spanish RB.
 
Sorry For This Arsenal Fans..

Scouting na Board Ya Arsenal wako Another level aisee

Nimemuangalia Mudryk kwa Dakika Kadhaa nikajua kwanin Tulipambana na kufika Dau Kubwa Vile

This Guy Akipata Kocha Mzuri na Project yenye Akili Kubwa Ana Potential Kubwa Sanaa..

Sijapenda Kabisa Huyu Mtu Kwenda Chelsea ila NitaAngalia Game Zao Kwa Ajili Yake kama Tulivyo mkosa Hazard Nikawa Napenda Kuangalia Game Zao Kwa Ajili Yake
Second leg tunawanyonya na Mudriky atawakambalamba 😃😃😃
 
Jakob Kiwior spending the afternoon at London Colney finalising his move and meeting his new Arsenal team-mates. Finishing touches being put on the transfer. Busy couple of days at Arsenal.
Baada ya kumkosa Mudryck sasa hivi mpango mkakati ni kumsajili Kwiyo, huyo Kwiyo ingependenza zaidi akaenda Spurs au Anfield kwa Makwiyo wenzake.
 
Tetesi za mchezaji kwenda Arsean zikianzia kwa Romano naona kama kitumbua kimeingia mchanga
 
Fabrizio Romano


Understand Arsenal have started talks to explore the signing of Iván Fresneda from Valladolid. Discussions are taking place on clubs and agent side #AFC

Fresneda, on the bench tonight as he has chances to leave next week.

There are 3/4 clubs keen on signing Spanish RB.
Huyu jamaa wa kazi gani?sioni umuhimu wa RB kwa sasa at least ingekuwa DM position
 
Captain Evra alikuwa sahihi
20230122_081640.jpg
 
Declan Rice ameshakubaliana na Arteta kuja Arsenal mwezi June ,anaamini Arteta atamsaidia kuwa DM mzuri,

Westham wanamtaka MCtominay kutoka man u kama mbadala wake


Declan Rice is favouring a move to Arsenal over Chelsea as he’d like to work with Mikel Arteta. [@JacobSteinberg] #afc

The prospect of moving to the Emirates Stadium & working under Mikel Arteta appeals to Declan Rice. He has seen Arteta turn Arsenal into title contenders this season & would be confident of the Spaniard’s coaching making him a better midfielder. [@JacobSteinberg] #afc
 
.@FabrizioRomano on his YT channel

“Ivan Fresneda was not in the starting 11 today with Valladolid because of the negotiations with Arsenal. Arsenal are now speaking seriously on the Fresneda deal”
 
Back
Top Bottom