Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Toddy tajiri wa chelsea mtu wa mitandao, juzi alikuwa kwenye space Twitter ya chelsea ,
Leo ka like hii post
Leo ka like hii post
Yule mzee si anachangia kila mwaka £10m kupitia VISIT RWANDAHivi mzee Paulo Kagamee pale Kigali anasemaje so far, maana ni mtata sana.
Mimi niliwahi sema muda ni mwalimu mzuri sana. Nilisema hapa beki Hatuna depth ya kutosha unakishambulia kwa ujuaji mwingi mara sijui combinations and blah blah kibao.Mimi nakushauri Tena kawekeze majukwaa ya siasa ,
Arsenal walishasema na. Wamekuwa wakirudia kupitia Arteta hawawezi kusajiri Tena mchezaji ilimradi tu , walipomkosa Raphina na Neto ,option ilikuwa Ni kwenda January kuangalia option nyingine ambayo Ni Winger anayecheza both flanks ,kumbuka hapo pia Kuna Smith Rowe anacheza LW na no.10 ,Kuna Fabio Vieira anacheza No.10 na kwa Xhaka .
Jesus anacheza both flanks ,
Kwenye backline Bado utaratibu Ni ule ule ,Hakuna Mapungufu Kama unavyodai
Kwanza tambua model ya Arsenal Sasa Ni kusajiri Versatile Players ,
Arsenal Ina mabeki wakati WHITE , GABRIEL, HOLDING,SALIBA ,
katika hao White anacheza RCB na RB , SALIBA pia anacheza RB apart from RCB .
Kuna Tomiyasu Huyu anacheza LCB,RB,LB,RCB,
Kuna Kieran Tierney na Zinchenko Hawa wanacheza LB ,lakini ukitaka au Ukibanwa kabisa kwenye kiungo ,Zinny anacheza CM, NA AM. ,
Nakushangaa unaposema Aletwe beki mwingine Wakati kipaumbele Ni WIDE FORWARD ambaye utaratibu Ni ule ule awe anacheza flanks zote mbili, rejea Kwanini alitakiwa Raphina ,Neto .
Murdky anacheza LW na RW na Ni goalscoring player,
Unapomleta Huyu unauhakika wakumtumia LW au RW , Kumbuka hapo Kuna Smith Rowe ambaye Ni hatari akicheza LW (inverted winger) .
Martinelli anaweza pia kucheza Kama False 9 .Hata Tite amesema Kuumia kwa Jesus ,Martinell atamtumia pia Kama False 9.
Depth ya Timu Sio kujaza wachezaji wengi wasio na msaada ,ndio maana HUWA nauliza Kama kuwa na wachezaji ,Basi Pepe angebaki Kama backup ,kwa kiwango Cha Pepe Ni backup kabisa nzuri, ila mwalimu kashasema Anataka mchezaji wakuingia na kutoa A performance.
Mlikuwa mnamhitaji bwana Mzee Acha janjajanjaMimi nasema hivi
Dili la Mudryk lilikua ni kanyaboya ili kuzuia tajiri miluzi na wenzake wasiingilie madili ya msingi.
Nipinge

Hahahahahah aisee vipi unazungumziaje ujio wa Kiwior na Fresneda? 🤣🤣 Kwamba usajili wa LCB na RB hawakujua haya unayoongea??Arsenal haiwezi kusajiri jombaa kama utakavyo wewe , tunakwambia huelewi unakaza shingo
Unatuletea Assumption humu
Arsenal kwenye backline msimu huu haijawahi kukosa option
Kuna kipindi had KT na Tomiyasu unawaza uwaweke wapi, lakini uzuri Tomiyasu anakamua namba zote za beki Tena Hadi DM Kama...hujui Sasa Nakupa hiyo.
Kabla hata hujafikiria kumtumia Tomi as LCB, Kuna Partnership za Saliba White ,Saliba Holding
Assumption zako Ni za kipuuzi Kwamba Tomiyasu, White ,Magalhaes ,Cedric , wote waumie kwa muda wa miezi 3+
Hizo assumption zako Ni za kipuuzi
Na huwa anamaindi chama likitekeza.Yule mzee si anachangia kila mwaka £10m kupitia VISIT RWANDA
Sijamuona muda mtandaoni
Mtata sana
Umeweka vema sana mkuu 🤝Kwa mtazamo wangu binafsi, ningeshauri tusajili Milinkovic-Savic-DM na Youri Tielemans-CM dirisha hili hili kwasababu wanapatikana kwa bei nzuri tu
Tielemans £10-15M na Savic £30-35M kwaajili ya back up na rotation kwa Partey na Xhaka.
Wakati huohuo wiki kesho hiyo tukamilishe usajili uliopo jikoni tayari wa mabeki Ivan Fressneda na huyo mpoland kiwior (kama sijakosea spelling).
Tutakua tumekamilisha timu ya maana sana na kupata nafasi ya kufanya vizuri sana na kuijenga timu kwaajili ya muda mrefu sana ujao regards of the ages of many players we have.
#COYG..
Siyo mpoland ni mchaga huyo anaitwa KIWIA 😂🤣Kwa mtazamo wangu binafsi, ningeshauri tusajili Milinkovic-Savic-DM na Youri Tielemans-CM dirisha hili hili kwasababu wanapatikana kwa bei nzuri tu
Tielemans £10-15M na Savic £30-35M kwaajili ya back up na rotation kwa Partey na Xhaka.
Wakati huohuo wiki kesho hiyo tukamilishe usajili uliopo jikoni tayari wa mabeki Ivan Fressneda na huyo mpoland kiwior (kama sijakosea spelling).
Tutakua tumekamilisha timu ya maana sana na kupata nafasi ya kufanya vizuri sana na kuijenga timu kwaajili ya muda mrefu sana ujao regards of the ages of many players we have.
#COYG..



Kwa mkopo tunaweza kumpataUmeweka vema sana mkuu
Kuna mahali nilikuwa nasoma tuna tetesi za Camavinga?
Wewe siwezi kukujibu ,maana unatafuta kubishana na mimiMimi niliwahi sema muda ni mwalimu mzuri sana. Nilisema hapa beki Hatuna depth ya kutosha unakishambulia kwa ujuaji mwingi mara sijui combinations and blah blah kibao.
una maoni Gani LCB kusajiliwa? Nikasema pia tunahitaji natural RB maana White is naturally RCB ukaleta kejeli kibao una maoni Gani na imminent arrival ya Fresneda?
Btw Arsenal inataka kusajili CM mwingine dirisha hili whether or not Kuna long term injury ilihali ulidai eti cjui CM hatuhitaji mtu Kuna elneny na Lokonga na blah blah kibao.
Next time punguza ujuaji ukiona maoni ya wengine yanakinzana na Yako.


Habari za kamavinga ningeshauri tuachane nazo sabb kiuhalisia camavinga ni super sub ya madrid sio rahs sio rahcMadrid watakubali kumuachia Camavinga kwa mkopo?
Hana namba na yeye anataka muda wakucheza ,ndio najiuliza ,hata akija Arsenal ,bado sion akianza mbele ya Xhaka ,Habari za kamavinga ningeshauri tuachane nazo sabb kiuhalisia camavinga ni super sub ya madrid sio rahs sio rahc
Mi mwenyewe naona, ila bado tunasubiri credible sources like Fabrizio Romano,James Benge, David ornstein and Di Marzio. Watoe taarifa au updates kuhusu CAMAVINGA ndio tutaamini.Umeweka vema sana mkuu
Kuna mahali nilikuwa nasoma tuna tetesi za Camavinga?
Simmon collings mbona huyu ni Reliable kwa habari za Arsenal ,anatokea Standard sportMi mwenyewe naona, ila bado tunasubiri credible sources like Fabrizio Romano,James Benge, David ornstein and Di Marzio. Watoe taarifa au updates kuhusu CAMAVINGA ndio tutaamini.
Na kama ikitokea ni kweli, basi aje kama captain America martin odegaard alivyokuja kisha tumsaini jumla summer window. Binafsi nitafurahi mno.