Mimi nakushauri Tena kawekeze majukwaa ya siasa ,
Arsenal walishasema na. Wamekuwa wakirudia kupitia Arteta hawawezi kusajiri Tena mchezaji ilimradi tu , walipomkosa Raphina na Neto ,option ilikuwa Ni kwenda January kuangalia option nyingine ambayo Ni Winger anayecheza both flanks ,kumbuka hapo pia Kuna Smith Rowe anacheza LW na no.10 ,Kuna Fabio Vieira anacheza No.10 na kwa Xhaka .
Jesus anacheza both flanks ,
Kwenye backline Bado utaratibu Ni ule ule ,Hakuna Mapungufu Kama unavyodai
Kwanza tambua model ya Arsenal Sasa Ni kusajiri Versatile Players ,
Arsenal Ina mabeki wakati WHITE , GABRIEL, HOLDING,SALIBA ,
katika hao White anacheza RCB na RB , SALIBA pia anacheza RB apart from RCB .
Kuna Tomiyasu Huyu anacheza LCB,RB,LB,RCB,
Kuna Kieran Tierney na Zinchenko Hawa wanacheza LB ,lakini ukitaka au Ukibanwa kabisa kwenye kiungo ,Zinny anacheza CM, NA AM. ,
Nakushangaa unaposema Aletwe beki mwingine Wakati kipaumbele Ni WIDE FORWARD ambaye utaratibu Ni ule ule awe anacheza flanks zote mbili, rejea Kwanini alitakiwa Raphina ,Neto .
Murdky anacheza LW na RW na Ni goalscoring player,
Unapomleta Huyu unauhakika wakumtumia LW au RW , Kumbuka hapo Kuna Smith Rowe ambaye Ni hatari akicheza LW (inverted winger) .
Martinelli anaweza pia kucheza Kama False 9 .Hata Tite amesema Kuumia kwa Jesus ,Martinell atamtumia pia Kama False 9.
Depth ya Timu Sio kujaza wachezaji wengi wasio na msaada ,ndio maana HUWA nauliza Kama kuwa na wachezaji ,Basi Pepe angebaki Kama backup ,kwa kiwango Cha Pepe Ni backup kabisa nzuri, ila mwalimu kashasema Anataka mchezaji wakuingia na kutoa A performance.