Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Ishu ya Kiwio sijui kileo haijatoka kwa hao watu uliowataja,ile ya kwanza kabisa yan habari mpyaaaa.Mi mwenyewe naona, ila bado tunasubiri credible sources like Fabrizio Romano,James Benge, David ornstein and Di Marzio. Watoe taarifa au updates kuhusu CAMAVINGA ndio tutaamini.
Na kama ikitokea ni kweli, basi aje kama captain America martin odegaard alivyokuja kisha tumsaini jumla summer window. Binafsi nitafurahi mno.
Najua kwa sasa Madrid roho inawauma sana kuhusu captain America martin odegaard ukizingatia tulimchukua kwa pesa ndogo sana £30'sM.Madrid watakubali kumuachia Camavinga kwa mkopo?
Upo sahihi, imeanzia PolandIshu ya Kiwio sijui kileo haijatoka kwa hao watu uliowataja,ile ya kwanza kabisa yan habari mpyaaaa.
Huyu watamtoa kwa mkopo, tulimtaka kipind kile kabla hajaenda Madrid , tukamkosaNajua kwa sasa Madrid roho inawauma sana kuhusu captain America martin odegaard ukizingatia tulimchukua kwa pesa ndogo sana £30'sM.
Nafkiri wanaweza kutukazia, ila ikitiki na akafanya vizuri kama martin odegaard, itakua ni moja ya sajili bora sana kwetu kwa kipindi cha miaka 10 kutoka 2013.
Itakuwa tuliwataka wote na Edu akaenda Poland Kwa wote. Sema tu sisi tunapenda usiri na shaktar wakafanya uhuni Kwa kutangaza mipango yetu. Tulivyoona uhuni umezidi tukaachana nao ila Edu hakwenda Poland kiboya. It was business as usual hata bosi miluzi na wafuasi wake walivyokuwa wakisherekea kutumyang'anya tonge mdomoni.Mimi nasema hivi
Dili la Mudryk lilikua ni kanyaboya ili kuzuia tajiri miluzi na wenzake wasiingilie madili ya msingi.
Nipinge
Ni kweli kabisa.Hana namba na yeye anataka muda wakucheza ,ndio najiuliza ,hata akija Arsenal ,bado sion akianza mbele ya Xhaka ,
Bado atabaki sub tu
Japo Arteta anamuona kama Sub ya muda mfupi ya Partey
Lakini bado sion na Arsenal akipata dakika ,kama ndio kinamkimbiza madrid
Nikweli ,Ni kweli kabisa.
Lakini ukiangalia vizuri kwenye hizi mechi 19 tulizocheza EPL mpka sasa utagundua kuna muda kikosi chetu kinakosa options za kufanya sub pindi ile first eleven yetu ikiwa uwanjani na kuna muda unaona game haiendi.
Mfano mzuri ni game yetu na Newcastle, tulihitaji kufanya super sub ili kupata matokeo lakini waliokuwepo benchi unawaza ataingia nani kwenda kukamilisha unfinished business?? Huoni mtu. Hivyo usajili wa trosaard na kiungo mmoja yeyote atakayeletwa ndani ya siku hizi kadhaa ni wa muhimu mno kuliko kitu chochote, kwasababu now tunaingia kwenye round ya pili ya msimu na kamanavyojua EPL is remaining as EPL until the last 90 minutes of the last game otherwise nothing is concluded by now.
So far tupo kwenye motion nzuri na tunaenda vema, tuzidi kuomba mambo yende vizuri na tusipate majeruhi hususani ya watu muhimu kama the backbone of our team THOMAS PARTEY we will die sooner if not soon. Vipara (pep&ten)bado na wanapiga mahesabu makali sana.
Of course yes, maana agents and journalists wana uwezo wa kushirikiana na kufanya dili ziwe za moto sana na bei juu kuliko uhalisia.Upo sahihi, imeanzia Poland
Halafu kama ume note kitu, hata habari ya Trossard ,Fabrizio kapewa Information deal limeshakamilika ,kumbe deal liliisha masaa 24 ,
Kuna harufu watu wa Arsenal wana wasiwasi na hawa Waandishi wa habari ,
Versatility player anaweza offensive game, ikifanikiwa itakuwa poa sana.Kwa mkopo tunaweza kumpata
Lolote linaweza kutokea kuna mechi 19 zipo mbele. Haitokuwa mwisho wa msimu mkuu.Nyie arsenyonyo, mkishinda keshokutwa hapo emirates, najipiga burn jamii forum hadi msimu mpya wa ligi utakapoanza ndio naingia humu tena.
Umesahau jombaa umejibia ID hii ya Aaron wakat amekuquote kwnye ile ya hamis77Wewe siwezi kukujibu ,maana unatafuta kubishana na mimi
Siingii kwenye huo mtego
Kutakuwa ni misunderstanding... ila furaha kwetu akija kwa mkopo.Simmon collings mbona huyu ni Reliable kwa habari za Arsenal ,anatokea Standard sport
Yupo pale kwa habari za Arsenal ,
Ninachojiuliza Kinachotaka kumtoa madrid si hapati muda wakucheza
Swali, Kwa Arsenal ndio atapata muda ? Au kashagombana na Don Carlo...
Ameniquote mmUmesahau jombaa umejibia ID hii ya Aaron wakat amekuquote kw ile ya hamis77
Nilichosema, ndio nimemaanisha mkuu, wala sitabadilisha chochote.Lolote linaweza kutokea kuna mechi 19 zipo mbele. Haitokuwa mwisho wa msimu mkuu.
Mechi ya pili in a row anacheza dkk 45 anatolewa...
Nasikia ni mechi kibao, Carlo anampiga benchi ,Mechi ya pili in a row anacheza dkk 45 anatolewa...
Unajua nakosa hoja ya kukubishia maana kila nikiwaza namna usajiri wa trossard ulivyofanyika naona kama CIA wa arsenal walikuwa kaziniMimi nasema hivi
Dili la Mudryk lilikua ni kanyaboya ili kuzuia tajiri miluzi na wenzake wasiingilie madili ya msingi.
Nipinge