Lolote linawezekana ni muda umepitaNahis unamsema George Job wala sio huyu.
Sio huyu ,ni yule George Job,Huyu jamaa nahisi kuna screenshot yake iliwahi tembea akiwakandia Arsenal msimu huo akatoa hoja laini kweli kweli.
Hawa ni watu wanasababisha sina hamu na mpira wa Tz
Nilisoma sehemu hii nikafikiri ni utani.Hili dili la Mudrky lina siasa ndani yake ,
Mudrky aliambiwa akubali kwenda chelsea kwa maslahi ya Ukraine , Chelsea wametoa pesa ya kusaidia wahanga ,pia Watacheza mechi ya Hisani na Shaktah ,
Kumbuka Arsenal tulifika hadi dau la €95m lakini wakagoma kujibu ,
Ukiangalia zile picha alizotambulishwa nazo Mudrky pale chelsea ni kama hana furaha .
Hii taarifa The Athletic ,The Telegraph wameiongelea kwa kirefu.View attachment 2483592
Nakumbuka Abramovich alisema mapato ya mauzo ya club angepeleka Ukraine kusaidia wahanga. Kweli kuna siasa hapo.Hili dili la Mudrky lina siasa ndani yake ,
Mudrky aliambiwa akubali kwenda chelsea kwa maslahi ya Ukraine , Chelsea wametoa pesa ya kusaidia wahanga ,pia Watacheza mechi ya Hisani na Shaktah ,
Kumbuka Arsenal tulifika hadi dau la €95m lakini wakagoma kujibu ,
Ukiangalia zile picha alizotambulishwa nazo Mudrky pale chelsea ni kama hana furaha .
Hii taarifa The Athletic ,The Telegraph wameiongelea kwa kirefu.View attachment 2483592
Ni kweli Shakthar wamethibitisha kuna Pesa $25m na kuna mechi ya hisaniNilisoma sehemu hii nikafikiri ni utani.
Wanasema Chelsea ameahidi 5% donation kwa Ukraine Armed Forces
Kimsingi malengo yetu hayakua ubingwa msimu huu ila msimu wa 2023/2024, ila kwa tulipofikia tupo mbele ya project kwaio tunaweza chukua ubingwa huu na wa mwakani pia ambao ulikua kwenye timeframe ya projectANGALIZO: mcheze karata zenu Vizuri, maana mkiukosa huu ubingwa msimu huu, basi ndio msahau kabisa labda muwe mnapigania top 4 na kushiriki UEFA na kushinda maybe kombe lenu la FA.
Na mjue baada ya kumnyoosha
crystal palace, keshokutwa. Basi hiyo jay pili hapo Emirates msidhanie mtanizuia kuendelea kubeba point zangu 3, maana kazi ya rashford mambio mnaijua na ana goli zake hapo emirates.
Mie hua cpendi dharau na unafiki, mkuu ila kwakua ni ushabiki fresh tu, na leo umeniquote ijapokua ile quote yako ya kwanza ulinikera sana ila fresh imeisha.Kimsingi malengo yetu hayakua ubingwa msimu huu ila msimu wa 2023/2024, ila kwa tulipofikia tupo mbele ya project kwaio tunaweza chukua ubingwa huu na wa mwakani pia ambao ulikua kwenye timeframe ya project
Kuhusu points tatu Emirates hizo ni ndoto nyevu amka usingizini
Huu msimu wa nne hujapata points tatu Emirates na makocha walikua kina Unai Emery, unadhani utaweza kupata mbele ya Arsenal hii?Mie hua cpendi dharau na unafiki, mkuu ila kwakua ni ushabiki fresh tu, na leo umeniquote ijapokua ile quote yako ya kwanza ulinikera sana ila fresh imeisha.
Kama ulivyosema hapo emirates ni ngumu kuwafunga, lakin mie nasema tunawafunga tena vizury sana. Labda mtatuzidi possesion lakin point 3 ni zetu.
Kushinda hii mechi labda mbebwe na referee Kama mlivyobebwa Kwenye mechi ya Man City.ANGALIZO: mcheze karata zenu Vizuri, maana mkiukosa huu ubingwa msimu huu, basi ndio msahau kabisa labda muwe mnapigania top 4 na kushiriki UEFA na kushinda maybe kombe lenu la FA.
Na mjue baada ya kumnyoosha
crystal palace, keshokutwa. Basi hiyo jay pili hapo Emirates msidhanie mtanizuia kuendelea kubeba point zangu 3, maana kazi ya rashford mambio mnaijua na ana goli zake hapo emirates.
Mkuu ckatai msimu huu nyie niwa moto sana, lakin hata kocha wenu arteta anajua ukweli kuwa still man united ni threat kwake. Pia hasa kwa game yetu na man city akutegemea kama tungeshinda.Huu msimu wa nne hujapata points tatu Emirates na makocha walikua kina Unai Emery, unadhani utaweza kupata mbele ya Arsenal hii?
Ona hizi bhangi, tulibebwa wapi sasa nyie arsenyonyo fans, baadhi yenu kama wew huwa mnamatatizo.Kushinda hii mechi labda mbebwe na referee Kama mlivyobebwa Kwenye mechi ya Man City.
Kama Kuna timu ambayo tuna machungu nayo na tumeisubiri kwa hamu Basi Ni hicho kitimu chenu Cha Manyumbu.
Jiandaeni tu kutuletea hizo points.