Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mourinho akiwa kocha wa Spurs walitufunga kisha akasema yafuatayo

20230116_163143.jpg
 
Huyu jamaa nahisi kuna screenshot yake iliwahi tembea akiwakandia Arsenal msimu huo akatoa hoja laini kweli kweli.

Hawa ni watu wanasababisha sina hamu na mpira wa Tz
Sio huyu ,ni yule George Job,
 
Arsenal want to sign Trossard and will go head-to-head with Spurs for the player.

Brighton hope to get £25m at least.

(@alex_crook )

talksport.com/football/13042…
 
Hili dili la Mudrky lina siasa ndani yake ,

Mudrky aliambiwa akubali kwenda chelsea kwa maslahi ya Ukraine , Chelsea wametoa pesa ya kusaidia wahanga ,pia Watacheza mechi ya Hisani na Shaktah ,

Kumbuka Arsenal tulifika hadi dau la €95m lakini wakagoma kujibu ,

Ukiangalia zile picha alizotambulishwa nazo Mudrky pale chelsea ni kama hana furaha .

Hii taarifa The Athletic ,The Telegraph wameiongelea kwa kirefu.
IMG-20230116-WA0014.jpg
 
Hili dili la Mudrky lina siasa ndani yake ,

Mudrky aliambiwa akubali kwenda chelsea kwa maslahi ya Ukraine , Chelsea wametoa pesa ya kusaidia wahanga ,pia Watacheza mechi ya Hisani na Shaktah ,

Kumbuka Arsenal tulifika hadi dau la €95m lakini wakagoma kujibu ,

Ukiangalia zile picha alizotambulishwa nazo Mudrky pale chelsea ni kama hana furaha .

Hii taarifa The Athletic ,The Telegraph wameiongelea kwa kirefu.View attachment 2483592
Nilisoma sehemu hii nikafikiri ni utani.

Wanasema Chelsea ameahidi 5% donation kwa Ukraine Armed Forces
 
Hili dili la Mudrky lina siasa ndani yake ,

Mudrky aliambiwa akubali kwenda chelsea kwa maslahi ya Ukraine , Chelsea wametoa pesa ya kusaidia wahanga ,pia Watacheza mechi ya Hisani na Shaktah ,

Kumbuka Arsenal tulifika hadi dau la €95m lakini wakagoma kujibu ,

Ukiangalia zile picha alizotambulishwa nazo Mudrky pale chelsea ni kama hana furaha .

Hii taarifa The Athletic ,The Telegraph wameiongelea kwa kirefu.View attachment 2483592
Nakumbuka Abramovich alisema mapato ya mauzo ya club angepeleka Ukraine kusaidia wahanga. Kweli kuna siasa hapo.
 
Fred na Casemiro wana 4 yellow cards ,

Wanaenda kucheza mechi ya 19 jumatano na Palace , , means wapo kwenye risk ya kukosa mech na Arsenal

Arsenal wachezaji wenye 4 yellow cards ni
Gabriel, William Saliba, Bukayo Saka, Gabriel Jesus

Swali hivi hizi card ukiziepuka baada ya GW 20 hauna ban?
 
Hongera sana fans wa arsenal kwa ushindi mzuri dhidi ya Tottenham, kiukweli Ile game niliiangalia mwanzo mpaka mwisho.

Niseme tu mlistahili kushinda, Jana zaidi ya goli mbili sababu mliwazidi Spurs kila kitu. Ukija kwenye nidhamu ndio usiseme yaani mnacheza mpira mzuri.

Mpaka mie mpinzani wenu naona kabisa licha ya kumkosa mudryk na injury ya Jesus, still spirit yenu ya ushindani wa kuchukua ligi katika msimu huu ipo pale pale.
 
ANGALIZO: mcheze karata zenu Vizuri, maana mkiukosa huu ubingwa msimu huu, basi ndio msahau kabisa labda muwe mnapigania top 4 na kushiriki UEFA na kushinda maybe kombe lenu la FA.

Na mjue baada ya kumnyoosha
crystal palace, keshokutwa. Basi hiyo jay pili hapo Emirates msidhanie mtanizuia kuendelea kubeba point zangu 3, maana kazi ya rashford mambio mnaijua na ana goli zake hapo emirates.
 
ANGALIZO: mcheze karata zenu Vizuri, maana mkiukosa huu ubingwa msimu huu, basi ndio msahau kabisa labda muwe mnapigania top 4 na kushiriki UEFA na kushinda maybe kombe lenu la FA.

Na mjue baada ya kumnyoosha
crystal palace, keshokutwa. Basi hiyo jay pili hapo Emirates msidhanie mtanizuia kuendelea kubeba point zangu 3, maana kazi ya rashford mambio mnaijua na ana goli zake hapo emirates.
Kimsingi malengo yetu hayakua ubingwa msimu huu ila msimu wa 2023/2024, ila kwa tulipofikia tupo mbele ya project kwaio tunaweza chukua ubingwa huu na wa mwakani pia ambao ulikua kwenye timeframe ya project

Kuhusu points tatu Emirates hizo ni ndoto nyevu amka usingizini
 
Kimsingi malengo yetu hayakua ubingwa msimu huu ila msimu wa 2023/2024, ila kwa tulipofikia tupo mbele ya project kwaio tunaweza chukua ubingwa huu na wa mwakani pia ambao ulikua kwenye timeframe ya project

Kuhusu points tatu Emirates hizo ni ndoto nyevu amka usingizini
Mie hua cpendi dharau na unafiki, mkuu ila kwakua ni ushabiki fresh tu, na leo umeniquote ijapokua ile quote yako ya kwanza ulinikera sana ila fresh imeisha.

Kama ulivyosema hapo emirates ni ngumu kuwafunga, lakin mie nasema tunawafunga tena vizury sana. Labda mtatuzidi possesion lakin point 3 ni zetu.
 
Mie hua cpendi dharau na unafiki, mkuu ila kwakua ni ushabiki fresh tu, na leo umeniquote ijapokua ile quote yako ya kwanza ulinikera sana ila fresh imeisha.

Kama ulivyosema hapo emirates ni ngumu kuwafunga, lakin mie nasema tunawafunga tena vizury sana. Labda mtatuzidi possesion lakin point 3 ni zetu.
Huu msimu wa nne hujapata points tatu Emirates na makocha walikua kina Unai Emery, unadhani utaweza kupata mbele ya Arsenal hii?
 
ANGALIZO: mcheze karata zenu Vizuri, maana mkiukosa huu ubingwa msimu huu, basi ndio msahau kabisa labda muwe mnapigania top 4 na kushiriki UEFA na kushinda maybe kombe lenu la FA.

Na mjue baada ya kumnyoosha
crystal palace, keshokutwa. Basi hiyo jay pili hapo Emirates msidhanie mtanizuia kuendelea kubeba point zangu 3, maana kazi ya rashford mambio mnaijua na ana goli zake hapo emirates.
Kushinda hii mechi labda mbebwe na referee Kama mlivyobebwa Kwenye mechi ya Man City.

Kama Kuna timu ambayo tuna machungu nayo na tumeisubiri kwa hamu Basi Ni hicho kitimu chenu Cha Manyumbu.

Jiandaeni tu kutuletea hizo points.
 
Huu msimu wa nne hujapata points tatu Emirates na makocha walikua kina Unai Emery, unadhani utaweza kupata mbele ya Arsenal hii?
Mkuu ckatai msimu huu nyie niwa moto sana, lakin hata kocha wenu arteta anajua ukweli kuwa still man united ni threat kwake. Pia hasa kwa game yetu na man city akutegemea kama tungeshinda.

Maana naamini siyo kocha wenu tu hata nyie mashabiki mlijua man city ndio tishio kwenu, sasa meza imebadilika hivyo tusibishane sana ila ukweli utajulikana hiyo jay pili hapo emirates.
 
O
Kushinda hii mechi labda mbebwe na referee Kama mlivyobebwa Kwenye mechi ya Man City.

Kama Kuna timu ambayo tuna machungu nayo na tumeisubiri kwa hamu Basi Ni hicho kitimu chenu Cha Manyumbu.

Jiandaeni tu kutuletea hizo points.
Ona hizi bhangi, tulibebwa wapi sasa nyie arsenyonyo fans, baadhi yenu kama wew huwa mnamatatizo.

Aliyekua offside ni nany! Na aliyefunga goli ni nany! hivi uliangalia hiyo gemu au unamanisha kubebwa kiaje.
 
Back
Top Bottom