Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwan hili dili tumeshindwa kutoa €100m?

Unajua Arsenal Tulifika Hadi €95m


Transfer ina drama zake

Ndio maana man u January hii kamkosa Gakpo , kaangukia kwa usajili wa mzee wa Besiktas
Sisi ina fahamika hatuna hela mkuu je? Kwa upande wenu na nyie kama sisi?
 
Palace wana kiazi kinaitwa Zaha tayari kipo uwanjani. Kisha wameongeza kingine kinaitwa Mateta basi ni komedi tupu
 
hela hamna nyie subirini mwisho wa msimu mtaporwa sana wachezaji maana nakumbuka miaka miwili mitatu mlitupora magarasa yetu kina luiz na wilian mkajisifiaaa wee.. sema movich akaona awaache tuu sasa miruzi anajenga timu tunatembelea mule mule tukisikia mwingine mnamtaka tunaunga tela
Sasa hivi tunamtaka Maxence Melo 😂 mwambieni Boss
 
Arseblog wanasema mkataba wa Mudy ni miaka nane na nusu (daah, ukwepaji wa FFP kama alivyosema Castr). Kama mshahara nao ni 200p/w, mbona wanatufanya tusijutie kabisa kumkosa? Acha kijana ale maisha.
Acha janja janja wewe unaongea utadhani hela ipo mfukoni kwako sisi mashabiki tuna kaka furaha tu hayo mambo ya hela nyingi tuwaachie maboss.
 
hela hamna nyie subirini mwisho wa msimu mtaporwa sana wachezaji maana nakumbuka miaka miwili mitatu mlitupora magarasa yetu kina luiz na wilian mkajisifiaaa wee.. sema movich akaona awaache tuu sasa miruzi anajenga timu tunatembelea mule mule tukisikia mwingine mnamtaka tunaunga tela
Huyu Tajiri Miluzi tulianza kwa kumuita Todd Bahili. Jamaa amebadilika sana yaani ndani ya muda mfupi. Anatuoshea mbaya.
 
Wadau Arseblog wanatoa povu haswa. Ila waelewe ni mchezo ulivyo. Hasira zetu tuzimalizie kwa Spurs sasa
 
The Arsenal line-up to take on Spurs in the North London Derby this afternoon...

Mikel Arteta picks an unchanged line-up from the draw at Newcastle last time out in the league, so once again Eddie Nketiah leads the line with Saka, Martinelli & Ødegaard behind him.

Thoughts?
IMG_20230115_185648.jpg
 
tuombe mechi iishe vizuri bila majeruhi kwa wachezaji ;matokeo sio jambo l muhim sna
kwa sasa.. fixture ya arsenal ipo ngumu sna
kwa hizi mechi zijazo.
 
Hii mechi n muhimu sana kushinda maana ata tukifungwa haitawafanya arteta na edu wasajili, wale jamaa mipango yao wanaijua wenyewe m sitashangaa wasipo sajili kabisa..

Chamsingi tushinde tuendelee kuyaweka matumiani yetu hai
 
Back
Top Bottom