Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Oleksandr Zinchenko vs Tottenham Hotspur | EPL 22-23

Zinchenko's return for Arsenal is extremely vital. He helps a lot in their possession structure when building out the back & has the technical quality to help progress the ball with his passing too. Good in duels too largely.
IMG_20230115_215603.jpg
 
Mfano Mudryk angekuepo leo angeweza ongeza nini katika hiki tulichofanya?
Mudryk angekuja tu kumaintain standard, ndio maana naona kumkosa itatuathiri ONLY IF ataumia Saka / Martinelli, ni wachezaji wachache wanaoweza kukupa output ya Saka & Martinelli but the Current Arsenal are better with or without Mudryk.
 
Tottenham hotspurs wamtafute Roberto De Zerbi kabla ya jua kuzama.

Sioni project ya maana kwa huyu antonio conte
Spurs wanatakiwa wafanyiwe usafi kama Chelsea inavyofanyiwa usafi sasa hivi kutoa takataka na kuleta vipaji vipya, la sivyo hata umuweke Kocha yupi bado tu utaendelea kuona Makocha hawafai.

Kumbuka Pep Kipara alipokuja awali Etihad 2016 aliikuta Man City ikiwa Bingwa mtetezi wa EPL na pia imetoka katika hatua ya nusu fainali ya UEFA, ilisajili Wachezaji 9 msimu wa kwanza japo wanne wote walichemka (Kipa + Nolito + ....) na kumaliza ligi ikiwa nafasi ya 3 kimsimamo.

Msimu wa pili Mwa-City ilisajili tena Wachezaji 11 ndipo ikatwaa ubingwa wa EPL.

Mpira wa sasa hivi ni pesa, huna pesa utaendelea kuweweseka tu na ndicho kinachompata sasa hivi Liverpool, timu kubwa, Kocha mzuri lakini Matajiri wabahili kuliko Waha na Wapare (utani)...
 
Anajua sana huyu mwamba, ni kati ya wachezaji wachache wanaoweza simama hadharani kupiga kelele kuwa ana kipaji na dunia ikakaa kimya bila kuhoji
Huwa tunasema Xhaka Partey hi pivot Ni nzuri, ila Kuna mechi wanazidiwa ,ila ongezeko la Zinny linafanya tu possess Sana mpira katikati
IMG_20230115_215603.jpg
 
Sawa mkuu naheshimu maneno yako, me nimesema walichosema Wright na Barbatov
Nakubaliana na wewe kwa role anayocheza Zinchenko yupo bora bora bora but weakness yake ni hyo uliyomention but unajua why season hii tupo bora?kwa 11 eleven yetu hakuna eneo lenye upungufu abadani hakuna that's why hata makosa yake hayaonekani na Spurs second half walikuja na mashambulizi upande wake karibia muda wote but wakakuta tumejipanga mpaka kwa Ramsdale boy

Next game Thursday nipo SPURS SPURS hata draw inawatosha COME ON SPURS nipigie Guardiola
 
Spurs wabatakiwa wafanyiwe usafi kama Chelsea inavyofanyiwa usafi sasa hivi, la sivyo hata umuweke Kocha yupi bado tu utaendelea kuona Makocha hawafai.

Kumbuka Pep Kipara alipokuja awali aliikuta Man City ikiwa Bingwa mtetezi wa EPL na pia imetoka katika hatua ya nusu fainali ya UEFA, ilisajili Wachezaji 9 msimu wa kwanza japo wanne wote walichemka (Kipa + Nolito + ....) na kumaliza ligi ikiwa nafasi ya 3 kimsimamo.

Msimu wa pili Mwa-City ilisajili tena Wachezaji 11 ndipo ikatwaa ubingwa wa EPL.

Mpira wa sasa hivi ni pesa, huna pesa utaendelea kuweweseka tu na ndicho kinachompata sasa hivi Liverpool, timu kubwa, Kocha mzuri lakini Matajiri wabahili kuliko Waha na Wapare (utani)...
Ni mashabiki wa Chelsea tu mnaoamini kuwa Conte & Mourinho bado wana uwezo wa kusumbua dunia, kwenu kusajili wachezaji kila siku ndio solution ya kila kitu, Klopp anasema usajili hauwezi kutatua matatizo yote ya uwanjani, imagine umetumia €300m dirisha moja afu upo nafasi ya kumi. na upo hapa unapreach Conte kakosa wachezaji, like seriously spurs haina wachezaji wakushinda game za Fulham & Brighton? That's ultra nonsense.
 
Nakubaliana na wewe kwa role anayocheza Zinchenko yupo bora bora bora but weakness yake ni hyo uliyomention but unajua why season hii tupo bora?kwa 11 eleven yetu hakuna eneo lenye upungufu abadani hakuna that's why hata makosa yake hayaonekani na Spurs second half walikuja na mashambulizi upande wake karibia muda wote but wakakuta tumejipanga mpaka kwa Ramsdale boy

Next game Thursday nipo SPURS SPURS hata draw inawatosha COME ON SPURS nipigie Guardiola
Ndio mkuu, game ya leo amefanya makosa mawili ambayo yote yalisababisha tot kupata shot on target na Aaron akatusalimisha

Na usiombe ule muda wa second half ambao waga Zinny anakata Moto waga anakuwa uchochoro sana, anapoteza sana mipira

Wakati team zinaenda half time, Barbatov na legend Wrighty wakasema kuwa kama wanataka kurudi mchezoni inabidi wampe pressure Zinny na atafanya makosa

Kwahiyo me nimechangia kitu walichosema wachambuzi ambao nawao wamewahi kucheza mpira sasa Mimi ni nani niwabishie
 
Back
Top Bottom