makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,995
- 104,509
£200k 🙄🤔 Chelsea hawataki masihara, wanatumbua tu pesa 😂Kama gooneer kweli nitasema pongezi kwa Chelsea.Wamepata mchezaji mzuri,
Pia bahati nzuri kwa Mudryk.
Edu kwa kweli alijitahidi na nampongeza kwa juhudi. Ofa ya mwisho ilikuwa €95m, Sijawahi kuona Arsenal tukipambana kumpata mchezaji namna hii, ofa 3 zilienda ,
Ofa ya Chelsea ilikuwa €100m
Chelsea walipokuja kutu win Ni kwenye mshahara wa mchezaji , Sio Kwamba Arsenal asingeweza kuongeza €5m amech ofa ya Chelsea .
Issue Ni mshahara , Arsenal walimuofa £40k per week miaka 5, Chelsea wamekuja nasikia kumpa £200k per week miaka 8.
Hapa ndipo ugumu ulipoanzia ,ilihitaji moyo Kama wa Gabriel Jesus au Raphina ambao hawakuangalia pesa lilipokuja Swala Kama hili pale Chelsea alipoingilia hizi dili.
Ngumu kwa mchezaji usiye proven kuja moja kwa moja Arsenal upate £200k per week ,
Kesi ya Mudryk ni sawa na ile ya Lisandro Martinez na Raphinha.
Tuliwapoteza lakini bado tuliendelea mbele .
Ikiwa ningekuwa Edu na timu ya kusajili, ningejitoa kwa muda mrefu na kuhama siku ambayo Sporting director wa Shakhtar alikwenda Chelsea kutazama kushindwa kwao na Man city.
Walakini, Edu na Arsenal waliendelea kwa sababu tu kijana huyo alionesha moyo wake wa kuwa mchezaji wa Arsenal.
Kuna njia mbadala na chaguzi zingine za kufanya.,.
Ila akiingia kwenye mfumo si suala kumlipa mpunga huo akibuma sasa ndio changamoto.
Na nisiwe mnafiki naombea abume wakome 🤣