Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,504
- 28,694
Unamjua huyu?Huyu Aaron Arsenal hana tofauti yoyote na OllaChuga Oc pale timu zao zinapokung'utwa.
Unamjua huyu?Huyu Aaron Arsenal hana tofauti yoyote na OllaChuga Oc pale timu zao zinapokung'utwa.
Kijana mdogo tayari ushakuwa mchawiHicho mnacholetewa mtakuja kujuta maana ni kituko kitakachofanya mlalamikie kocha na uongozi mzima.
Naona unatafuta umaarufu ,Mimi nishakupuuzaKama huwa wajipiga burn, utanionaje Sasa, wew subiria mda utaongea na nitakutafuta humu humu. Aron mchambuzi uchwala.
Umaarufu kwa boya kama, wew ulienishobokea kuniquoteNaona unatafuta umaarufu ,Mimi nishakupuuza
FlanoAmecheza mechi 12 kwenye ligi msimu huu so ana goli 7 na assist 7 .Uefa ana goli 3.sasa ulitaka auzwe bei gan alafu we ni shabiki wa man u ulinunua sancho kwa 100 kapitwa magoli hadi na Nketiah hahahahahaView attachment 2480002
Mbali na ushabiki mpira ni darasa na elimu kama nyingine. Nazidi kujifunza kitu tukiwa kama wapenzi na walevi wa mpira.
Kweli kabisa ,Je Øde anaenda kuwa Ozil mpya Arsenal?Mbali na ushabiki mpira ni darasa na elimu kama nyingine. Nazidi kujifunza kitu tukiwa kama wapenzi na walevi wa mpira.
Mikel asituangushe tena na Ile jinx yake. Akishinda MOTM anapigwa mechi 3 mfululizo ndiyo akili inamkaa sawa anashinda tena. This time ashinde 3 mfululizo na zaidi.
Aaron ArsenalKweli kabisa ,Je Øde anaenda kuwa Ozil mpya Arsenal?
Mbona juz hapa alichukua ,na Bado akaliendeleza akashinda na ku draw moja , wakampa Eddie Howe, akashinda Tena mechi 4 ndio hii amechukuaMikel asituangushe tena na Ile jinx yake. Akishinda MOTM anapigwa mechi 3 mfululizo ndiyo akili inamkaa sawa anashinda tena. This time ashinde 3 mfululizo na zaidi.
ARTETA aliulizwa kwanini umemchangua Øde kuwa Captain akasemaAaron Arsenal
Ni ngumu kuepuka kulisema hilo hasa kwa kuwalinganisha. Øde vitendo vinaongea sana akiwa uwanjani kama team captain kuliko kuongea.
Kwenye mechi na Wolves ni mchezaji aliyefanya covered 12.2km kuliko mchezaji yoyote wa Arsenal lakini namna alivyo na commitment. Arteta aina ya mchezaji kama yeye ambaye Arsenal ilimkosa kwa miaka mingi. Ni mtu mwenye vision ya mechi na kuongoza timu icheze mfumo upi.
Ndiyo maana hawakumsajili James Maddison ?ARTETA aliulizwa kwanini umemchangua Øde kuwa Captain akasema
Ndiye mchezaj pekee anayeweza kutafsiri Arsenal tuchezaje
Na Ndiye aliyemchagulia Jezi no.8