Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wa Ukraine ,wanasema hakuna wakumuweka benchi Mudrky pale Arsenal


A new neymar

| Ukrainian football coach Vyacheslav Hroznyi on Mudryk:

“He will play right away [in the starting XI at Arsenal].

“Now there is no one stronger than Mudryk in this position at Arsenal.” [UA-Football] ️ #afc
 
Wa Ukraine ,wanasema hakuna wakumuweka benchi Mudrky pale Arsenal


A new neymar

| Ukrainian football coach Vyacheslav Hroznyi on Mudryk:

“He will play right away [in the starting XI at Arsenal].

“Now there is no one stronger than Mudryk in this position at Arsenal.” [UA-Football] ️ #afc
Ligi ya Ukraine
 
Kutoka ligi dhaifu ya Ukraine kuja kucheza ligi ngumu EPL na kuperfom kuna changamoto kidogo,,,, thou inawezekana pia

Kuna baadhi ya wachezaji watahitaji muda wa kuadapt na wengine hawahitaji muda wakifika tu wanakiwasha!

Hii ligi Ni competitive sana, wengi tumeona wakuja kutoka huko farmer's league na kuchemka vibaya mno !

Mudryk Ni mchezaji mzuri Sana, ana skills za kutosha, stats zake Ni nzuri pia ! Shida Ni moja tu Moto anaouwasha kule ataweza kuuwasha the same/above akija EPL ?

Usajili Ni kamari, wacha tuone, maana mzigo mnaoutoa Ni mkubwa 70m plus adds on, na hapo mmesubmit tu, shaktar hawajakubali,,,, wanawatega muongeze !!!
 
Watu washaanza rivals kuumia, "mudryk anacheza ukraine, mudryk bla blah"

Mchezaji amecheza UCL mpira unaonekana, mchezaji mzuri ni profile yaani anafit vipi kwa system inayotumika, ukiona mchezaji anazingatiwa ligi aliyotoka kinachoangaliwa ni his tactical education from youth development, wala si kwamba huna kipaji, kipaji kinaonekana either unatoka Kenya au Congo. Mudryk uwezo anao biggest concern ni kwmb amekuwa profiled kuendana system tunayotumia,? Mikel Arteta hajawahi sajili mchezaji wa €70m tangu amejiunga Arsenal, ni mmoja tu alimuhitaji Vlahovic kwa bei zaidi ya hiyo. Mudryk nasikia amekuwa developed as #8 kwenye level za chini. Yupo explosive ni transition threat. Binafsi napenda kasi na elite ball control cuz napenda soka fluid na goli za chapchap.
 
Je Kuna wachezaji mbadala ya Mudryk au wa nafasi zingine tunaowasaka dirisha hili? Naona kama tunamfukuzia mtu mmoja tu na wenyewe wana kaza mpaka nadhani mwishowe hatutasajili mchezaji yeyote.
Mudryk is a deal done, hofu yangu ni replacement ya Partey huyu ndo mwenye timu yake anahitaji mtu wa kucover nafasi yake
 
Naamini Rice anakuja nxt summer, ningewaza locatelli lkn sidhani km tunaweza kurudi nyuma.
Viungo wavunja kuni ,siwapendi ,napenda DM Kama Partey ,Rodri , Gorginho , FDJ ,

Nipe ubora wa Rice kwa mpira hasa huu tunaocheza ambao unahitaji DM awe na accuracy kubwa Sana ya upigaji pass kuliko kufanya tackling
 
Mudrky anakaribia kutua Arsenal

€90-95m Full package
IMG-20230113-WA0059.jpg
 
Back
Top Bottom