Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Good
Kwenye transfer market zipo aina mbili direct/indirect contact na ndiyo maana kwa Mudryk , Arsenal wanafanya indirect contact transfer market. Lakini pia Arsenal wanaangalia vigezo vingi hawajaingia kichwa kwenye huo usajili.Kutoka ligi dhaifu ya Ukraine kuja kucheza ligi ngumu EPL na kuperfom kuna changamoto kidogo,,,, thou inawezekana pia
Kuna baadhi ya wachezaji watahitaji muda wa kuadapt na wengine hawahitaji muda wakifika tu wanakiwasha!
Hii ligi Ni competitive sana, wengi tumeona wakuja kutoka huko farmer's league na kuchemka vibaya mno !
Mudryk Ni mchezaji mzuri Sana, ana skills za kutosha, stats zake Ni nzuri pia ! Shida Ni moja tu Moto anaouwasha kule ataweza kuuwasha the same/above akija EPL ?
Usajili Ni kamari, wacha tuone, maana mzigo mnaoutoa Ni mkubwa 70m plus adds on, na hapo mmesubmit tu, shaktar hawajakubali,,,, wanawatega muongeze !!!
Mikel Arteta (November/December 2022)
Mikel Arteta (August 2022)
Mikel Arteta (March 2022)
Mikel Arteta (September 2021)
Arsène Wenger (October 2015)
Katika game 20 za Burnley kafunga goli 2, kabla hajapelekwa kwa mkopo Besiktas.Kuna mzee mmemsajili kutoka uturuki nasikia kwa mkopo
Rice anacheza timu yoyote duniani ht Barcelona, unataka kuaminisha umma Rice hana pass accuracy? You're so annoying!Viungo wavunja kuni ,siwapendi ,napenda DM Kama Partey ,Rodri , Gorginho , FDJ ,
Nipe ubora wa Rice kwa mpira hasa huu tunaocheza ambao unahitaji DM awe na accuracy kubwa Sana ya upigaji pass kuliko kufanya tackling
Huyo acha acheze Aston villa, kwenye position ya Partey tunahitaji mchezaji established, kimo km partey, physical prowess, mental side of the game, aje kufundishwa how to control games thru technical emphasis + Juego de posicion ya kiespaniola, Declan Rice kwangu ni mtu sahihi, naamini tutakuwa na pesa nxt summer. Unajua partey & Rodrigo mbali ya kuwa na vipaji lakini wamepata bahati ya kufundishwa na makocha wa kiespaniola ambao walikuwa wanacheza position hizohizo.Arsenal tunatakiwa kufanya usajili wa Douglas Luiz.
Luiz ni Defensive Midfielder na anaweza kucheza kama CM na CLB kwenye uhitaji. Usajili wa Luiz ni sawa na ingizo la wacheji wawili kwa mpigo maana anaweza ku-offer zaidi.
Luiz anaweza kucheza kama back-up ya Partey, Kucheza nafasi ya Xhaka na kucheza nafasi ya Gabriel tukiwa na uhitaji.
Sijaaminisha umma ,taratibu Will JrRice anacheza timu yoyote duniani ht Barcelona, unataka kuaminisha umma Rice hana pass accuracy? You're so annoying!View attachment 2479677
Arsenal ilishaachana nae huyu Luiz, na aliongeza mkataba mrefu ,Arsenal tunatakiwa kufanya usajili wa Douglas Luiz.
Luiz ni Defensive Midfielder na anaweza kucheza kama CM na CLB kwenye uhitaji. Usajili wa Luiz ni sawa na ingizo la wacheji wawili kwa mpigo maana anaweza ku-offer zaidi.
Luiz anaweza kucheza kama back-up ya Partey, Kucheza nafasi ya Xhaka na kucheza nafasi ya Gabriel tukiwa na uhitaji.
️
#AFCTulieni mpigwe nyundo ya kichwa huyo Ni pepe part 2Je Kuna wachezaji mbadala ya Mudryk au wa nafasi zingine tunaowasaka dirisha hili? Naona kama tunamfukuzia mtu mmoja tu na wenyewe wana kaza mpaka nadhani mwishowe hatutasajili mchezaji yeyote.
“I just love it - that’s the reason why we’re here, to play these kinds of games."
Mikel on the importance of Sunday 
Hapo manyumbu huna winger anayemfikia Pepe RW ,Tulieni mpigwe nyundo ya kichwa huyo Ni pepe part 2