Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
FABIO VIEIRA 2 ASSISTS
FABIO VIEIRA ATAPIGA G/A 10 MSIMU HUU
FABIO VIEIRA ATAPIGA G/A 10 MSIMU HUU
Daaaah!!!!!!Hiii mashabiki wa Arsenal tunalia kindani ndani.Tulimtaka lakini sisi sio machizi kama nyie wa kutoa 10 mil kwa mkopo wa mchezaji, tena kwa miezi 6.
Nyie ndio wapumbavu pekee wa kutoa hiyo hela duniani kote!
Kwamba mmepigwa au vipi😂😂
Labda Kama hamjui usajili unaendaje ,Mimi binafsi nilitamani Felix aje aongeze depth , ila Arsenal hawakuwa tayar kulipa loan fee ya €11m na full salary kwa mchezaji wa miezi 6 tu
Mmekataliwa bhana acheni bla blaa, kila mchezaji ana timu aipendayo, mbona mudryk kasema anapenda kucheza arse88, kukataliwa sio dhambi.Huyo anayesema Felix ameikataa Arsenal Ni muongo
Mpaka Jana ,Arsenal na man u walikuwa wanagomea Hiyo loan fee ya €11m na kulipa full salary ya £260k
Chelsea Alikuwa amejitoa kwenye hili dili ,
Man u Hana pesa hivo nayeye Hakuwa na nguvu kwenye hili dili Alikuwa analialia apunguziwe ,maana hata dili lake la mkopo la Yule jamaa wa Besiktas limegomewa Sababu jamaa wanataka ada sio kubwa Lakini man u inamsumbua .
(Niliwahi kuwaambia mashabiki wa man u January hii watafanya biashara za mikopo tu wakanibishia wakisema wao Ni brand kubwa , Jana C.E.O wao nadhani John mourtough kasema Hawana pesa Sababu ETH walimpa zaidi ya £200m summer)
Hivo kwenye dili la Felix ,Alibaki Arsenal pekee , kilichomrudisha ChelKenge Ni Baada ya injuries mbili mpya ikiwepo ya Sterling ,Hapo kumbuka Tayari dili la MUDRKY kashakataliwa na MCHEZAJI, option ikabaki arudi kwenye dili la Felix ,
Ndipo akaja akakubali Condition za Atletico Madrid .
Mimi kama shabiki, nimeumia kwa timu yetu kumkosa Felix.Naamini angeongeza kitu sana pale mbele.Labda Kama hamjui usajili unaendaje ,Mimi binafsi nilitamani Felix aje aongeze depth , ila Arsenal hawakuwa tayar kulipa loan fee ya €11m na full salary kwa mchezaji wa miezi 6 tu
Chelsea wanaendelea na wataendelea kudidimia sababu wanasajili bila mpangilio ,kila dili wanazamia Ni sababu Toddy yeye Ndiye tajiri ,yeye Ndiye Sporting director
Moja ya Jukumu la Sporting director Ni kulink na kocha ujue Timu inacheza aina gani ya mpira , ili usajili kulingana na Falsafa
Sasa Unaweza kunipa utofauti wa Kai havertz , Mount, na Felix ?
Utakuja kukuta wanaongeza Quantity badala ya Quality
Ndio maana Hadi Sasa Katumia €400m Lakini Ni Kama kazitumbukiza chooni
Timu inazidi kudidimia
Hatukuweka ofa yoyote ,Bali tulikuwa tunaomba Wapunguze hiyo loan feeMmekataliwa bhana acheni bla blaa, kila mchezaji ana timu aipendayo, mbona mudryk kasema anapenda kucheza arse88, kukataliwa sio dhambi.
Mikel Arteta: “Bukayo Saka is FINE.”
Arsenal have taken a decisive advantage Mudryk race. They have almost agreed the final fee and with bonuses it could approach the 100m euro mark. Kroenkes are making a big financial commitment.
- youtu.be/eNfWYWTXOHo
NEW
#Breakdown
youtu.be/PbYWCZh1N6Y
️



NEW
#Breakdown
Arsenal are closing in on wonder-kid, Mykhailo Mudryk.
Watch @AndrewTodos, Ukrainian football expert, cover Mudryk’s playing style, his strengths & weaknesses, his love for God and his desire to win the Ballon d’Or.
youtu.be/PbYWCZh1N6Y
️
Huyu jamaa akiingia tutakuwa na afueni angalauNEW
#Breakdown
Arsenal are closing in on wonder-kid, Mykhailo Mudryk.
Watch @AndrewTodos, Ukrainian football expert, cover Mudryk’s playing style, his strengths & weaknesses, his love for God and his desire to win the Ballon d’Or.
youtu.be/PbYWCZh1N6Y
️
Hatukuweka ofa yoyote ,Bali tulikuwa tunaomba Wapunguze hiyo loan fee
Sasa man u pesa Hana ,Arsenal hataki kutoa loan fee
Na ndio hao waliokuwa wanaongoza mbio
Felix anahitaji kusepa , Chelsea karudi na yupo tayari kulipa
Ulitegemea abaki ATM?
NAMUONA ANGEFIT ARSENAL KULIKO CHELKENGE
Maana wachezaji type Kama Felix pale ChelKenge wapo wengi , Ni anaenda kuua kipaji chake Tena
| #Arsenal took a decisive advantage in the race for the signing of Shakhtar Donetsk winger Mykhaylo Mudryk. Both clubs are still discussing bonuses, but have almost agreed on the total amount of the transfer, the amount of which could be around €100 million. [@footmercato]Yaani nyie ni Kima kwelikweli, Mnajizungusha weeeee halafu mwisho wa siku mnarudi palepale kwenye €100 million.| #Arsenal took a decisive advantage in the race for the signing of Shakhtar Donetsk winger Mykhaylo Mudryk. Both clubs are still discussing bonuses, but have almost agreed on the total amount of the transfer, the amount of which could be around €100 million. [@footmercato]
Unaumia kutokea wapiYaani nyie ni Kima kwelikweli, Mnajizungusha weeeee halafu mwisho wa siku mnarudi palepale kwenye €100 million.
Bahati yenu huyo mchezaji ana mapenzi na Arsenyani, la sivyo mpaka muda huu angekua tayari ameshavaa jezi ya timu nyingine.