Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hawa Chelsea na bosi wao wote hawana akili.

Yani wanakubali kulipa €10 mil+Full salary coverage+Taxes kwa mchezaji ambae atakaa kwa mkopo tena kwa miezi 6 tu!

Huu ni uchizi sijawahi ona..

Na hapo hawana uhakika kama mchezaji ata fit kwenye EPL au la.
😂😂
 
Hawa Chelsea na bosi wao wote hawana akili.

Yani wanakubali kulipa €10 mil+Full salary coverage+Taxes kwa mchezaji ambae atakaa kwa mkopo tena kwa miezi 6 tu!

Huu ni uchizi sijawahi ona..

Na hapo hawana uhakika kama mchezaji ata fit kwenye EPL au la.
yan chelsea wanasajili kila siku aisee lakini timu haina mabadiliko kabisa, nahis wamechanyikiwa hawa sio bure
 
Hawa Chelsea na bosi wao wote hawana akili.

Yani wanakubali kulipa €10 mil+Full salary coverage+Taxes kwa mchezaji ambae atakaa kwa mkopo tena kwa miezi 6 tu!

Huu ni uchizi sijawahi ona..

Na hapo hawana uhakika kama mchezaji ata fit kwenye EPL au la.
😂😂
Usajili kamari.. Joao ni mchezaji mzuri
 
Sasa Arteta badala angepumzisha key players kama wakina Saka,Martinelli etc yeye anaendelea kuwachosha kwenye hili kombe la mbuzi
 

Attachments

  • 20230109_223847.png
    20230109_223847.png
    193.9 KB · Views: 11
Hawa Chelsea na bosi wao wote hawana akili.

Yani wanakubali kulipa €10 mil+Full salary coverage+Taxes kwa mchezaji ambae atakaa kwa mkopo tena kwa miezi 6 tu!

Huu ni uchizi sijawahi ona..

Na hapo hawana uhakika kama mchezaji ata fit kwenye EPL au la.
😂😂
Kwa hiyo Arse88 mlivyokua mnamtaka na nyie mlikua machizi?
 
Sasa Arteta badala angepumzisha key players kama wakina Saka,Martinelli etc yeye anaendelea kuwachosha kwenye hili kombe la mbuzi
Strategically tukifungwa ukumbuke tunafungua milango ya haters kujenga confidence kuwa nyuma tuliwabahatisha. Hivyo Arteta anataka kuzidisha heshima muda wote, bira kujali tunacheza na nani. Anachozingatia ni wapi tulipo na majirani watuoneje?
 
Tulimtaka lakini sisi sio machizi kama nyie wa kutoa 10 mil kwa mkopo wa mchezaji, tena kwa miezi 6.

Nyie ndio wapumbavu pekee wa kutoa hiyo hela duniani kote!
Kwa vile kawakataa, sahz ndio manasema kuwa ni uchiz, je angewakubali msingemchukua? kukataliwa ni sehemu y maisha bro,hakuna ambaye hakataliwi. ndio nyie mkikataliwa na demu mnaanza makashfa kibaaao na kutaka kuwapiga.
 
Santi Aouna Ni chanzo changu Cha kuaminika

Kina Fabrizio wataanza kupost kesho


Shaktar and Arsenal are closing in on a full deal for the Mudryk's transfer.

(@Santi_J_FM , @sebnonda )

Sport Arena kutoka Ukraine


Arsenal are close to agreeing on the full amount of the transfer of Mudryk

(sport Arena
 
Back
Top Bottom