Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yaani nyie ni Kima kwelikweli, Mnajizungusha weeeee halafu mwisho wa siku mnarudi palepale kwenye €100 million.
Bahati yenu huyo mchezaji ana mapenzi na Arsenyani, la sivyo mpaka muda huu angekua tayari ameshavaa jezi ya timu nyingine.
Manyumbu nasikia hamna pesa January hii mnavizia wachezaji wa mikopo kina Abubakari
 
Yaani nyie ni Kima kwelikweli, Mnajizungusha weeeee halafu mwisho wa siku mnarudi palepale kwenye €100 million.
Bahati yenu huyo mchezaji ana mapenzi na Arsenyani, la sivyo mpaka muda huu angekua tayari ameshavaa jezi ya timu nyingine.
Kabisa mkuuuu!!!
Felix alikuwa sio wa kumkosa kama tunautaka ubingwa kweli.
 
Yaani nyie ni Kima kwelikweli, Mnajizungusha weeeee halafu mwisho wa siku mnarudi palepale kwenye €100 million.
Bahati yenu huyo mchezaji ana mapenzi na Arsenyani, la sivyo mpaka muda huu angekua tayari ameshavaa jezi ya timu nyingine.

Usajili ni kama kamari, kilichotukuta kwa Pepe
 
Usajili ni kama kamari, kilichotukuta kwa Pepe
Jk alishawaambia ukitaka kula na wewe ukubali kuliwa.
Shida wala sio Pepekale wenu, shida ni huyo tajiri wenu Kroenke ana mkono wa birika.
Kwa hapo mlipofikia ili kupata muendelezo wa mafanikio huyo bosi wenu anatakiwa afungue pochi, akitegemea ile sera ya mzee Wenger £20m asajili wachezaji 6 mtarudi kulekule mlipotoka.
 
Jk alishawaambia ukitaka kula na wewe ukubali kuliwa.
Shida wala sio Pepekale wenu, shida ni huyo tajiri wenu Kroenke ana mkono wa birika.
Kwa hapo mlipofikia ili kupata muendelezo wa mafanikio huyo bosi wenu anatakiwa afungue pochi, akitegemea ile sera ya mzee Wenger £20m asajili wachezaji 6 mtarudi kulekule mlipotoka.
Flano 😃😃😃 tupo mbele ya project mkuu. Imetumika akili kubwa kumpeleka chaka Chelsea kwa Joao Felix alafu sisi tukabaki na mpango wetu.
 
Nyinyi misukule ya Arteta mnakaribishwa Old Trafford saa 11:00pm mje mjionee timu kubwa zaidi duniani jinsi inavyotandaza soka la kuvutia na kukongo nyoyo za mashibiki wa soka duniani kote, huenda kuna mambo mkajifunza yakawasaidia kuendelea kusalia kwenye top4 na kufanikisha ile ndoto yenu ya kucheza Uefa kabla ya 2030.

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furaha
Screenshot_20230110_204539.jpg
 
Nyinyi misukule ya Arteta mnakaribishwa Old Trafford saa 11:00pm mje mjionee timu kubwa zaidi duniani jinsi inavyotandaza soka la kuvutia na kukongo nyoyo za mashibiki wa soka duniani kote, huenda kuna mambo mkajifunza yakawasaidia kuendelea kusalia kwenye top4 na kufanikisha ile ndoto yenu ya kucheza Uefa kabla ya 2030.

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furahaView attachment 2476731
Enzi imewaisha, nyie na Chelsea tofauti ni rangi ya Jezi tu
 
Back
Top Bottom