THE SHADOW ONE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,226
- 2,027
Yaani nyie ni Kima kwelikweli, Mnajizungusha weeeee halafu mwisho wa siku mnarudi palepale kwenye €100 million.
Bahati yenu huyo mchezaji ana mapenzi na Arsenyani, la sivyo mpaka muda huu angekua tayari ameshavaa jezi ya timu nyingine.
Usajili ni kama kamari, kilichotukuta kwa Pepe




