Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Manyumbu nasikia hamna pesa January hii mnavizia wachezaji wa mikopo kina AbubakariYaani nyie ni Kima kwelikweli, Mnajizungusha weeeee halafu mwisho wa siku mnarudi palepale kwenye €100 million.
Bahati yenu huyo mchezaji ana mapenzi na Arsenyani, la sivyo mpaka muda huu angekua tayari ameshavaa jezi ya timu nyingine.





