Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Manchester City/Chelsea vs Oxford/Arsenal! 


Yeyote aje...Manchester City/Chelsea vs Oxford/Arsenal!![]()
Arsenal outManchester City/Chelsea vs Oxford/Arsenal!![]()
Hakuna asiyeiogopa Arsenal kwa SasaArsenal out
This picture hits hard
"Mechi mlishinda kwa kuwin Midfield duelling cuz Lokonga alifeli kuexert the same control ambayo Partey anatupa"Ten hag ni kocha mzuri lakini kwa approach yake na wachezaji wake ni ngumu kuonesha ubora mbele yetu, mechi mlishinda kwa kuwin Midfield duelling cuz Lokonga alifeli kuexert the same control ambayo Partey anatupa. Game ilikuwa na turnovers kibao Man U wakacapitalize kutokana ubora wa Bruno, Rashford etc kwenye transition.
Ila ukija Emirates utamkuta Thomas Partey, Ø, Xhaka, so tutawin mid duelling, na tutaonesha technical consistency dk zote, No transitional game, utahitaji kutufunga kwa kucheza mpira vizuri sio kuvizia. Na unatakiwa ujue tangu tupoteze game OT Arsenal imekuwa timu yenye structure bora kwa kudefend transitions kuliko timu yoyote duniani kwa sasa.
Naona unajiaminiiiiii,relax subir match"Mechi mlishinda kwa kuwin Midfield duelling cuz Lokonga alifeli kuexert the same control ambayo Partey anatupa"
Round ya kwanza baada kuwagonga bao 3 zigo la mavi mmeona bora mumbebeshe Lokonga, Round ya pili tunawabaka hapohapo kitandani kwenu, nina uhakika zigo la Mavi safari hii mtambebesha Nketiah Kima nyie kama kawaida yenu.
Easiest fixtures as usualEPL NEXT 5 FIXTURES
Arsenal fixtures:
Totenham vs Arsenal
Arsenal vs Man United
Everton vs Arsenal
Arsenal vs Brentford
Arsenal vs Man City

Jamaa unawatisha watotoEPL NEXT 5 FIXTURES
Arsenal fixtures:
Totenham vs Arsenal
Arsenal vs Man United
Everton vs Arsenal
Arsenal vs Brentford
Arsenal vs Man City




Km tuko serious hapa kwa uchache ni points 13, au lah 15 zote, hapo tutakkuwa serious.EPL NEXT 5 FIXTURES
Arsenal fixtures:
Totenham vs Arsenal
Arsenal vs Man United
Everton vs Arsenal
Arsenal vs Brentford
Arsenal vs Man City
Ndio mana hamchelewagi kujinyonga.
11 points nafikiri sio mbaya sare mbili ushindi tatu.Km tuko serious hapa kwa uchache ni points 13, au lah 15 zote, hapo tutakkuwa serious.
Usajili unalega lega, mie sina imani na Nketiah.
Huyu kwenye picha hayupo difficult fixtures kama hizi alitakiwa awepo tuvune points