Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nyinyi misukule ya Arteta mnakaribishwa Old Trafford saa 11:00pm mje mjionee timu kubwa zaidi duniani jinsi inavyotandaza soka la kuvutia na kukongo nyoyo za mashibiki wa soka duniani kote, huenda kuna mambo mkajifunza yakawasaidia kuendelea kusalia kwenye top4 na kufanikisha ile ndoto yenu ya kucheza Uefa kabla ya 2030.

Manchester united inacheza leo na dunia nzima ina furahaView attachment 2476731
Ni kichaa tu ataangalia mechi za Man u, wenye akili tunaangalia mpira mzuri kutoka kwa pep & Mikel, hawa wote walikuwa regista, wote wamepita La masia Barcelona, we kocha wako alicheza timu gani? Pep wannabe who's older than pep himself
 
Ni kichaa tu ataangalia mechi za Man u, wenye akili tunaangalia mpira mzuri kutoka kwa pep & Mikel, hawa wote walikuwa regista, wote wamepita La masia Barcelona, we kocha wako alicheza timu gani? Pep wannabe who's older than pep himself
Sema timu zenye hazina uefa hata moja hizi akili zinakuwa hazipo.
 
Sema timu zenye hazina uefa hata moja hizi akili zinakuwa hazipo.
Cry me a river
20221231_223521.jpg
 
Shida arsenal iyo Jumamosi kimoyo moyo mnataman man utd ashinde,maake Pep akipunguza tu gap ya point mbili mmekwisha..

So hata msijitese jitokezeni mseme TUNAOMBA MAN UTD ASHINDE JUMAMOSI
Mzee kwa sasa tumeamua kila mtu ashinde match zake, haya mambo ya dua mbaya kwa mtu tumezifanya kwa zaidi ya miaka 14 na bado hazikuweza kusaidia tupate UBINGWA. CITY Ashinde zake na sisi tushinde zetu, tutaewana mwisho wa Msimu May Huko...
 
Shida arsenal iyo Jumamosi kimoyo moyo mnataman man utd ashinde,maake Pep akipunguza tu gap ya point mbili mmekwisha..

So hata msijitese jitokezeni mseme TUNAOMBA MAN UTD ASHINDE JUMAMOSI
Arsenal kwa sasa anaiogopa Man Utd zaidi kuliko anavyoiogopa City.
Hii kasi tunayokuja nayo imeshaanza kumtia kiwewe, hapo kileleni hana amani kabisa, muda wote anaweweseka akiogopa Utd kuja kumyang'anya tonge mdomoni.
 
Arsenal kwa sasa anaiogopa Man Utd zaodi kuliko anavyoiogopa City.
Hii kasi tunayokuja nayo imeshaanza kumtia kiwewe, hapo kileleni hana amani kabisa, muda wote anaweweseka akiogopa Utd kuja kumyang'anya tonge mdomoni.
Fanyeni homework zenu. Kila mtu ashinde match zake, hamna kasi yeyote zaidi ya fixture ilikuwa imekaa vyema kwe u. Sasa mnarudi mlikotoka, mkabanane na Chelsea kule chini
 
Shida arsenal iyo Jumamosi kimoyo moyo mnataman man utd ashinde,maake Pep akipunguza tu gap ya point mbili mmekwisha..

So hata msijitese jitokezeni mseme TUNAOMBA MAN UTD ASHINDE JUMAMOSI
Hakuna kitu kama hicho.

Hakuna timu ambayo hatuipendi kama Man Utd thus tutakua upande wa City na sababu kubwa ni kwamba mnajiona kama mshakaa vizuri kumbe mna safari ndefu, yani ushindi dhidi ya bottom teams ndo umewapa jeuri.
Tena kwa kuwasifia wachezaji wenu ndo mnaongoza. Leo hii mnakufuru kwa kusema Casemiro ndo best holding midfielder EPL kweli? Eti Rashford ndio top scorer wa mashindano.. dah!

Hii ni kufuru hii.

Na mnaenda mbali zaidi kwa kusema mnataka ubingwa!!

Timu ile ndo ya kugombania ubingwa kweli!
 
Back
Top Bottom