computerarsenal
JF-Expert Member
- Jan 27, 2020
- 3,479
- 6,033
Mchezaji anaitaka Arsenal na Shaktar wanaitaka Chelsea let's wait and see
Mchezaji anaitaka Arsenal na Shaktar wanaitaka Chelsea let's wait and see
Ndiyo maana mimi naipenda strategy ya liver kwenye usajili.wajinga kama chelsea wangejua deal la gapko lazima wangeingilia tuSasa Shakhtar wanataak paundi 88m baada ya sisi Chelsea kutangaza nia ya kuhijack hilo dili
Arsenal wameshasubmit paundi mil 70
Nenda kwenye jukwa lao, tangu ile kipigo cha Brentford wanaikandia hiyo strategy. Wewe huku unaisifiaNdiyo maana mimi naipenda strategy ya liver kwenye usajili.wajinga kama chelsea wangejua deal la gapko lazima wangeingilia tu
Na director wa shaktar anaakili kubwa ya biashara,kila kitu kilichokuwa kinaendelea kwenye deal ya mudryk alihakikisha midia zinajua ili kuinua biding war.Ndiyo maana mimi naipenda strategy ya liver kwenye usajili.wajinga kama chelsea wangejua deal la gapko lazima wangeingilia tu
Nimecheki clips zake Mykhailo ni winga wa hatari, anakaa na mpira sana na anajua nini afanye na huo mpiraEdu ni mtu mwenye misimamo sana, hachelewi kujiondoa kwenye hilo deal la Mudryk... Ukiona kweli Arsenal wametoa hiyo pesa Shaktar wanayotaka, itakuwa mchezaji ana kitu cha pekee ambacho sisi hatukioni... Ila mimi binafsi naona ni Over-priced, ingawaje ni mzuri kwenye creativity, acceleration & dribbling. Lakini ukiacha unazi na ukitulia ukimuangalia kwa makini bado ana mapungufu baadhi ya sehemu kama mipira ya juu, na kwenye ulinzi even his passing kuna muda zinakosa accuracy.. Pesa waliyotoa Arsenal ni very reasonable kabisa.
Shakhtar hawataki hicho kiasi. Huo mkopo sijui mtautum,ia wapi sasaArsenal have secured a loan from Barclays amounting to £70m for purchase of Mudryk. This means that Arsenal will ups it recent bid to that tune.
The loan will be repaid from advertisement revenue.
Sawa msemaji wa shakta toka ikwiririShakhtar hawataki hicho kiasi. Huo mkopo sijui mtautum,ia wapi sasa
Shakhtar wanataka paundi mil 88
Shakhtar hawataki hicho kiasi. Huo mkopo sijui mtautum,ia wapi sasa
Shakhtar wanataka paundi mil 88
Sahiv €100M ni kama 40 ya miaka ya nyuma,Na director wa shaktar anaakili kubwa ya biashara,kila kitu kilichokuwa kinaendelea kwenye deal ya mudryk alihakikisha midia zinajua ili kuinua biding war.
Kweli mchezaji ni mzuri lakini kunahaja ya kuangalia status na nature ya mchezaji.
Mchezaji anayetoka ligi hiyo hata kama ni mzuri kuasi gani hawezi ingia moja kwa moja first eleven.
Kwangu mimi pamoja na maajabu yake namuona kama project player.sio world class proved,€100 kwa mchezaji anayetoka farmers league ni upuuzi wa kiwango cha lami.
My take.arsenal wasiongeze mzigo zaidi maana hatuna uhakika kama ya pepe hayatajirudia.kumbuka hawa watu james rodriguez,hakim ziyeich,pepe,gervinho,lukaku na wengine wengi walitabiriwa makubwa wakati wa usajili wao na vilabu vikavunja benk ila it ended in vein
Mashabik wenzangu nawasihi huyu kiumbe tunamhitaji ila akikosekana kwa biding war tutulie na tuiamini management.
Mkumbuke sancho,fred,antony,grealish na wengine wameacha maumivu makubwa.
We believe in arsenal
NNOTE,hakuna mahali tulisema tutashinda mechi zote msimu huu,hakuna mahali tulisema hatutafungwa,hakuna mahali team ilisema haitatoa sare na hakuna mahali tulisema tunataka ubingwa.our mission is to win every match and secure as much as possible points mengine watayajua wao na watajua nani wakumpa kombe may
Kesho ngoja tuone mazungumzo ya Shakhtar na Chelsea darajani itaamua nini?Hata akija chelsea chance ni kubwa hataweza ku-shine. There are so many factors which makes a player successful at a certain club. Chelsea do not have those traits to make him a star but at Arsenal he will. Bahati nzuri wachezaji wengi wazungu wanalitsmbua hilo. They are not after money, sidhani kama ataikubali timu yake imuuze kwa loser
Ndio mana hata pepekale arse88 alishine. muachage kuvuta vitu visivyokua na tbs.Hata akija chelsea chance ni kubwa hataweza ku-shine. There are so many factors which makes a player successful at a certain club. Chelsea do not have those traits to make him a star but at Arsenal he will. Bahati nzuri wachezaji wengi wazungu wanalitsmbua hilo. They are not after money, sidhani kama ataikubali timu yake imuuze kwa loser
Ila tukiamua kuzungumza ukweli, huyo kocha wenu sio mjenga team. Mlifanya maamuza ya ajabu sana kutoa pale Tuchel, ili mlete yule mjinga.Feb ikiisha Arsenal akiwa na moto huu huu sina la kuongeza
Sisi Chelsea hatukondi bado tunajenga timu
Martinelli alikua too slow jana kwenye kufanya maamuziXhaka alikuwa mzito leo, Odegaard hakuwa na mechi nzuri. Tumeshindwa kutumia nafasi nyingi sana.
Anyway, we take one game at a time. Chelsea ajitahidi kumfunga city ili gap liwe point nane.
Ubingwa wa epl kwa arsenal upo palepale.
Martinel rshisi kutabirika anachotaka kukifanya akiwa na beki...Martinelli alikua too slow jana kwenye kufanya maamuzi
Hata Arteta aliposhika mkia mwaka jana mlimsema sio mjenga timu, sasa kauli tofauti. GP kwa sababu ya changamoto anayopitia mtambatiza majina yote mabaya. Meli ikitulia na mambo yakaenda vizuri mtasema hapo mmempata kochaIla tukiamua kuzungumza ukweli, huyo kocha wenu sio mjenga team. Mlifanya maamuza ya ajabu sana kutoa pale Tuchel, ili mlete yule mjinga.

Mchezaji alisahaamua anaenda ArsenalKesho ngoja tuone mazungumzo ya Shakhtar na Chelsea darajani itaamua nini?