Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ndiyo maana mimi naipenda strategy ya liver kwenye usajili.wajinga kama chelsea wangejua deal la gapko lazima wangeingilia tu
Na director wa shaktar anaakili kubwa ya biashara,kila kitu kilichokuwa kinaendelea kwenye deal ya mudryk alihakikisha midia zinajua ili kuinua biding war.
Kweli mchezaji ni mzuri lakini kunahaja ya kuangalia status na nature ya mchezaji.
Mchezaji anayetoka ligi hiyo hata kama ni mzuri kuasi gani hawezi ingia moja kwa moja first eleven.
Kwangu mimi pamoja na maajabu yake namuona kama project player.sio world class proved,€100 kwa mchezaji anayetoka farmers league ni upuuzi wa kiwango cha lami.
My take.arsenal wasiongeze mzigo zaidi maana hatuna uhakika kama ya pepe hayatajirudia.kumbuka hawa watu james rodriguez,hakim ziyeich,pepe,gervinho,lukaku na wengine wengi walitabiriwa makubwa wakati wa usajili wao na vilabu vikavunja benk ila it ended in vein

Mashabik wenzangu nawasihi huyu kiumbe tunamhitaji ila akikosekana kwa biding war tutulie na tuiamini management.
Mkumbuke sancho,fred,antony,grealish na wengine wameacha maumivu makubwa.
We believe in arsenal
NNOTE,hakuna mahali tulisema tutashinda mechi zote msimu huu,hakuna mahali tulisema hatutafungwa,hakuna mahali team ilisema haitatoa sare na hakuna mahali tulisema tunataka ubingwa.our mission is to win every match and secure as much as possible points mengine watayajua wao na watajua nani wakumpa kombe may
 
Edu ni mtu mwenye misimamo sana, hachelewi kujiondoa kwenye hilo deal la Mudryk... Ukiona kweli Arsenal wametoa hiyo pesa Shaktar wanayotaka, itakuwa mchezaji ana kitu cha pekee ambacho sisi hatukioni... Ila mimi binafsi naona ni Over-priced, ingawaje ni mzuri kwenye creativity, acceleration & dribbling. Lakini ukiacha unazi na ukitulia ukimuangalia kwa makini bado ana mapungufu baadhi ya sehemu kama mipira ya juu, na kwenye ulinzi even his passing kuna muda zinakosa accuracy.. Pesa waliyotoa Arsenal ni very reasonable kabisa.
 
Edu ni mtu mwenye misimamo sana, hachelewi kujiondoa kwenye hilo deal la Mudryk... Ukiona kweli Arsenal wametoa hiyo pesa Shaktar wanayotaka, itakuwa mchezaji ana kitu cha pekee ambacho sisi hatukioni... Ila mimi binafsi naona ni Over-priced, ingawaje ni mzuri kwenye creativity, acceleration & dribbling. Lakini ukiacha unazi na ukitulia ukimuangalia kwa makini bado ana mapungufu baadhi ya sehemu kama mipira ya juu, na kwenye ulinzi even his passing kuna muda zinakosa accuracy.. Pesa waliyotoa Arsenal ni very reasonable kabisa.
Nimecheki clips zake Mykhailo ni winga wa hatari, anakaa na mpira sana na anajua nini afanye na huo mpira
Tofauti na Saka, yeye anayo stamina. Atafit sana kwenye playing style ya Arsenal. Muache woga, Arteta anajua kuliko ninyi. Mchukueni huyo winga hata kwa mil 100, atalipa sana
 
Arsenal have secured a loan from Barclays amounting to £70m for purchase of Mudryk. This means that Arsenal will ups it recent bid to that tune.
The loan will be repaid from advertisement revenue.
Maybe Kroenke will finance other envisaged acquisitions
 
Arsenal have secured a loan from Barclays amounting to £70m for purchase of Mudryk. This means that Arsenal will ups it recent bid to that tune.
The loan will be repaid from advertisement revenue.
Shakhtar hawataki hicho kiasi. Huo mkopo sijui mtautum,ia wapi sasa
Shakhtar wanataka paundi mil 88
 
Shakhtar hawataki hicho kiasi. Huo mkopo sijui mtautum,ia wapi sasa
Shakhtar wanataka paundi mil 88

Hata akija chelsea chance ni kubwa hataweza ku-shine. There are so many factors which makes a player successful at a certain club. Chelsea do not have those traits to make him a star but at Arsenal he will. Bahati nzuri wachezaji wengi wazungu wanalitsmbua hilo. They are not after money, sidhani kama ataikubali timu yake imuuze kwa loser
 
Na director wa shaktar anaakili kubwa ya biashara,kila kitu kilichokuwa kinaendelea kwenye deal ya mudryk alihakikisha midia zinajua ili kuinua biding war.
Kweli mchezaji ni mzuri lakini kunahaja ya kuangalia status na nature ya mchezaji.
Mchezaji anayetoka ligi hiyo hata kama ni mzuri kuasi gani hawezi ingia moja kwa moja first eleven.
Kwangu mimi pamoja na maajabu yake namuona kama project player.sio world class proved,€100 kwa mchezaji anayetoka farmers league ni upuuzi wa kiwango cha lami.
My take.arsenal wasiongeze mzigo zaidi maana hatuna uhakika kama ya pepe hayatajirudia.kumbuka hawa watu james rodriguez,hakim ziyeich,pepe,gervinho,lukaku na wengine wengi walitabiriwa makubwa wakati wa usajili wao na vilabu vikavunja benk ila it ended in vein

Mashabik wenzangu nawasihi huyu kiumbe tunamhitaji ila akikosekana kwa biding war tutulie na tuiamini management.
Mkumbuke sancho,fred,antony,grealish na wengine wameacha maumivu makubwa.
We believe in arsenal
NNOTE,hakuna mahali tulisema tutashinda mechi zote msimu huu,hakuna mahali tulisema hatutafungwa,hakuna mahali team ilisema haitatoa sare na hakuna mahali tulisema tunataka ubingwa.our mission is to win every match and secure as much as possible points mengine watayajua wao na watajua nani wakumpa kombe may
Sahiv €100M ni kama 40 ya miaka ya nyuma,
 
Hata akija chelsea chance ni kubwa hataweza ku-shine. There are so many factors which makes a player successful at a certain club. Chelsea do not have those traits to make him a star but at Arsenal he will. Bahati nzuri wachezaji wengi wazungu wanalitsmbua hilo. They are not after money, sidhani kama ataikubali timu yake imuuze kwa loser
Kesho ngoja tuone mazungumzo ya Shakhtar na Chelsea darajani itaamua nini?
 
Hata akija chelsea chance ni kubwa hataweza ku-shine. There are so many factors which makes a player successful at a certain club. Chelsea do not have those traits to make him a star but at Arsenal he will. Bahati nzuri wachezaji wengi wazungu wanalitsmbua hilo. They are not after money, sidhani kama ataikubali timu yake imuuze kwa loser
Ndio mana hata pepekale arse88 alishine. muachage kuvuta vitu visivyokua na tbs.
 
Ila tukiamua kuzungumza ukweli, huyo kocha wenu sio mjenga team. Mlifanya maamuza ya ajabu sana kutoa pale Tuchel, ili mlete yule mjinga.
Hata Arteta aliposhika mkia mwaka jana mlimsema sio mjenga timu, sasa kauli tofauti. GP kwa sababu ya changamoto anayopitia mtambatiza majina yote mabaya. Meli ikitulia na mambo yakaenda vizuri mtasema hapo mmempata kocha
 
Ambangile



Arsenal v Newcastle

.Hii imekutanisha timu mbili ambazo zipo imara haswa kiufundi, kimbinu , utimamu wa kimwili , matamanio ya kupambana uwanjani ... leo kasoro kitu kimoja tu , Arsenal walitaka kucheza boli , kuacha mpira utembee wakati Newcastle waliona njie nyingine ya kupata chochote ni kupoteza muda

.Vitu ambavyo nilivyoviona kwa mara kwa mara

1: Almiron & Joelinton umakini wa kurudi nyuma kusaidia ulinzi kutoruhusu mabeki wao wawili wa pembeni wawe 1 Vs 1 dhidi ya ( Saka na Martinelli )

2: Xhaka na Zinchenko wanavyobadilishana nafasi ya namba 8 wa kushoto mmoja akipanda mwingine anashuka waki offer vertical pass kutoka kwa Partey na beki Gabriel ( yani wanakuwa eneo ambalo inaruhusu ipigwe pasi ya mbele nyuma ya kiungo cha Newcastle )

3: Newcastle mstari wao wa ulinzi haupo chini sana wala haupo juu sana , kwanini ? kuepuka runs nyuma yao dhidi ya utatu wa Arsenal , na pia juu hawa press sana wanawaacha Saliba na Gabriel kuwa na mpira huku wakifunga kwenye midfield

4: Idadi ya wachezaji Arsenal wanaotumia kushambulia hasa kwenye line ya mwisho ya ulinzi ya Newcastle haipungui watu 6 ... ujasiri wa hali ya juu.!

.Eddie Howe alikuwa ameanza kupress kwa 4-3-3 lakini Arsenal kuna nyakati walikuwa wanaishinda hiyo press na ndio maana akaamua kubadilisha kukabia katikati sio juu sana wala chini kwa shape ya 4-5-1 na kumuacha Wilison pekee mbele, ilikuwa ngumu kwa Arsenal kuwafungua Newcastle walizuia vizuri sana

NOTE

1: Nyie hawa Arsenal wapo fit ukifanya masihara wanakutoa damu , muda wote wako busy tu uwanjani

2: Newcastle mechi ya 6 mfululizo hii bila kuruhusu wavu wao kuguswa ( clean sheets 6 mfululizo )

3: Namuelewa Arteta kuchukia dhidi ya mbinu ya Newcastle kupoteza muda hata mimi ningemaindi lakini pia ningekuwa Eddie Howe fresh tu kwasababu nataka kujitetea

4: ATAKAYEMALIZA JUU YA ARSENAL NI BINGWA

FT : Arsenal 0-0 Newcastle
 
KWAKWELI KWA ILE PERFORMANCE VS NEWCASTLE ,KUNA TIMU KIBAO HAZITACHOMOKA


Pep Guardiola:

"The advantage of Arsenal is he [Mikel Arteta] hasn't to win the #PL from 20 points in front in November. The way they played vs Newcastle impressed me a lot. They dropped two points but they didn’t drop quality [with which] they played. This is my feeling..."
 
Back
Top Bottom