Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hatimae hangover imeisha.
Jukwaa lilikua limepoa hili, habari za Mudryk tulikua hatuzipati tena.
Vipi Shakhtar wamefikia wapi juu ya chezaji letu la Ballon d'Or?
Huyo Ni Mali ya Arsenal

Shakhtar wanasema haiwezekani Anthony uwezo mdogo auzwe €100m, hoja Yao ipo hapo

Leo wamegusia Tena,wanasema Napoli wanamtaka

Shakhtar director Carlo Nicolini: “Napoli have asked about Mudryk. His price? Look at Antony’s fee. The problem with Italian clubs is that they don’t take the chance when they should. Look at Enzo, Milan could have signed him and now he’s worth 100m”
 
Mimi nipo tofauti kidogo
Leo Chelkenge afe tu, akifa za kutosha (mkono) itakua poa
Kelele za kenge zimekua too much ukiachana na hali ngumu aliyonayo

Ikitokea sare /draw itakua POA ZAIDI

Haiwezi kutokea Kengez akapata matokeo leo

Tunabeba Ndoo kwa mfumo huu huu kila mtu ashinde mechi zake
 
Hii ya Cesc kurudi Kama Kocha U18 Kule na kina jackwilshere

Mmeichukuliaje?
Project ya Arsenal inavutia Cesc kwona arudi nyumbani ni mtu ana njaa ya mafanikio. Ingawa maoni ya wengi wanamuona kama "snake". KSE pamoja na Edu wanahitaji watu wakujitoa na wenye njaa.

Binafsi safi sana mkuu Aaron Arsenal
 
Dah ndio maana Mimi matokeo Kama haya nakaaga kimya kwanza watu waoongee kwanza

Arsenal Ile mechi alipiga mpira ambao Ni timu chache Sana zitatoka salama

Eddie Howe anajifanyaga anatembea na 4-3-3

Ila ilibidi abadili kwenda 5-4-1

Akafanya pia Saka na martinel wasiwe 1v1

Saka alikuwa anazingirwa na watu wawili au watatu ,same to Martinell

Perfomance Kama Zile kwasisi ambao tunaangalia Zaidi ya matokeo lazima ujivunie

Niliona performance Kama Zile dhidi ya mancity pale Emirates last season na dhidi ya Liverpool pale Emirates ,zote tulipoteza ,ila Zile performance niliamini tunaenda kupigania UBINGWA ,


Toka preseason nilikuwa nikisema tunapigania ubingwa Kuna watu waliona vichekesho ,


Sasa Performance Kama ile dhidi ya Newcastle ,Ni dhahiri Kuna timu kibao zitachezea vipigo

NDICHO PEP GUARDIOLA Kilichomuogopesha

Sio Pep wote wapenda mpira wameingia na wasiwasi mkubwa Sana,

Maana Newcastle alianza kupoteza na muda ,akaona point 1 tamu,

Bado Arsenal aliendelea kupeleka Moto tu

Hapo Penalties 2 zimekuwa muted
Mkuu sijui utajiteteaje na kwenye mechi na man u maana umepiga domo kweli Newcastle ulisema utapiga goli nyingi sababu man u aliipelekea moto vipi sasa wewe umeshinda?
 
Project ya Arsenal inavutia Cesc kwona arudi nyumbani ni mtu ana njaa ya mafanikio. Ingawa maoni ya wengi wanamuona kama "snake". KSE pamoja na Edu wanahitaji watu wakujitoa na wenye njaa.

Binafsi safi sana mkuu Aaron Arsenal
Sawa sawa ,jamaa hajawahi kutoa shit Kama van persie

Naona karudi kiroho Safi, hata alivyotoka Barca aliomba kurudi ,Wenger akamgomea ndio akaenda Chelsea
 
Mimi nipo tofauti kidogo
Leo Chelkenge afe tu, akifa za kutosha (mkono) itakua poa
Kelele za kenge zimekua too much ukiachana na hali ngumu aliyonayo

Ikitokea sare /draw itakua POA ZAIDI

Haiwezi kutokea Kengez akapata matokeo leo

Tunabeba Ndoo kwa mfumo huu huu kila mtu ashinde mechi zake
Binafsi naomba Chelsea washinde ,hata kusogea juu wasogee ,sio Hawa manyua

Ona Sasa Hivi Baada ya papatu papatu wanakwambia wanataka ubingwa

Sasa kiuhalisia ,BINGWA kwa ule mpira kweli?tukiongewa wanasema tuna chuki

Mimi nijuacho soon wanarudi chini

Chelsea hawana madhara
 
| #Arsenal boss Mikel Arteta has been nominated for the Premier League Manager of the Month award for November/December. #afc
IMG_20230105_210103.jpg
 
Back
Top Bottom