Yaan timu imeshinda krbia mechi zote unasema ya kawaida na inaongoza ligi??Mkuu Aaron Arsenal a.k.a chambuzi lenye linatokea arsenal ikishinda tu.
Manchester tulivyotoka draw na Newcastle ulidhania sisi wabovu sana na kunukuu.
Kama Newcastle imepelekewa moto na manyumbu hivi sisi arsenal kwa ball letu lile tutapiga goli nyingi sana.
Hivi mkuu ujui Newcastle kapoteza game moja tu dhidi ya Liverpool arsenal ni timu ya kawaida sana.
Labda ndoo ya kuogeaMnafurahisha kweli. Kwahiyo sare ndo imewafanya mje kujazana humu.
Nimeamini ni kweli mtaumia sana tukichukua hii ndoo.
Halafu anaenda kuchukua point 6 kwa arsenal kiulani sana.City anakwenda kupunguza gape Lake from 8pts to 5pts😝😝😝😝😝😝
Labda ndoo ya kuogea
Then we still have the match to loose and at the same time remain at the top😂😂😂City anakwenda kupunguza gape Lake from 8pts to 5pts😝😝😝😝😝😝
Arsenal punguzeni matumaini na washika manati wenu hawa.
Kimsingi ligi isingesimama kufikia Xmas mngekuwa mnagombea nafasi ya 8 na chelsea.
Umia kidogoThe game was too big for a referee, too much unnecessary yellow cards but also Arteta’s behavior at times (altercations) with fellow managers needs be checked.
Mimi nisiwe mnafiki, Arsenal akibeba ndoo nitaumia sana. Emirates sitaki chochote zaidi ya points 3.Mnafurahisha kweli. Kwahiyo sare ndo imewafanya mje kujazana humu.
Nimeamini ni kweli mtaumia sana tukichukua hii ndoo.
Nakuhakikishia, Man Utd hawezi kuondoka hata na point 1 pale Emirates.Mimi nisiwe mnafiki, Arsenal akibeba ndoo nitaumia sana. Emirates sitaki chochote zaidi ya points 3.
Conte hataniangusha pia.
Sisi Chelsea tutauza mechi maana hatuna cha kupoteza tena tunajenga timu kwanzaXhaka alikuwa mzito leo, Odegaard hakuwa na mechi nzuri. Tumeshindwa kutumia nafasi nyingi sana.
Anyway, we take one game at a time. Chelsea ajitahidi kumfunga city ili gap liwe point nane.
Ubingwa wa epl kwa arsenal upo palepale.