Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mkuu Aaron Arsenal a.k.a chambuzi lenye linatokea arsenal ikishinda tu.

Manchester tulivyotoka draw na Newcastle ulidhania sisi wabovu sana na kunukuu.

Kama Newcastle imepelekewa moto na manyumbu hivi sisi arsenal kwa ball letu lile tutapiga goli nyingi sana.

Hivi mkuu ujui Newcastle kapoteza game moja tu dhidi ya Liverpool arsenal ni timu ya kawaida sana.
Yaan timu imeshinda krbia mechi zote unasema ya kawaida na inaongoza ligi??
 
😂😂😂😂😂😂
 

Attachments

  • Screenshot_20230104_005208_All Goals.jpg
    Screenshot_20230104_005208_All Goals.jpg
    161 KB · Views: 11
Arsenal punguzeni matumaini na washika manati wenu hawa.
Kimsingi ligi isingesimama kufikia Xmas mngekuwa mnagombea nafasi ya 8 na chelsea.
 
The game was too big for a referee, too much unnecessary yellow cards but also Arteta’s touch line behavior at times (altercations) with fellow managers needs be checked.
Kwenye EPL hakuna manager mstaarabu kama Eddie Howe, tabia kulianzisha na ma Meneja wenzako ni za kihuni
I repeat, the habit of quarreling with fellow managers makes him look like a hooligan
 
Xhaka alikuwa mzito leo, Odegaard hakuwa na mechi nzuri. Tumeshindwa kutumia nafasi nyingi sana.

Anyway, we take one game at a time. Chelsea ajitahidi kumfunga city ili gap liwe point nane.

Ubingwa wa epl kwa arsenal upo palepale.
 
Xhaka alikuwa mzito leo, Odegaard hakuwa na mechi nzuri. Tumeshindwa kutumia nafasi nyingi sana.

Anyway, we take one game at a time. Chelsea ajitahidi kumfunga city ili gap liwe point nane.

Ubingwa wa epl kwa arsenal upo palepale.
Sisi Chelsea tutauza mechi maana hatuna cha kupoteza tena tunajenga timu kwanza
 
Back
Top Bottom