Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Chelsea waingilia deal la Mudryk, i guess we will miss him,
Chelsea wanavizia nyie mshindwe kwanza
Na nafikiri hii ni inteligensia ya Shackar Donest ya kutunga ili ninyi mjiongeze zaid na kwa sababu ya hiyo rumours nasikia Arsenal mnategemea kufikisha dau karibu na Eur 85m wanayotaka hao Shackar
 
Kuna kitu Nyie vibaka hamjui mpo pale juu sio kwa sababu mnaupga mwingi, ni kw sababu city kuna game za kijinga ka droo na kupoteza. Na pia kushuka kw kiwango kw chelsea na liva.
 
1672835647398.png
 
Back
Top Bottom