Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Chelsea waingilia deal la Mudryk, i guess we will miss him,
Chelsea wanavizia nyie mshindwe kwanza
Na nafikiri hii ni inteligensia ya Shackar Donest ya kutunga ili ninyi mjiongeze zaid na kwa sababu ya hiyo rumours nasikia Arsenal mnategemea kufikisha dau karibu na Eur 85m wanayotaka hao Shackar
 
Kuna kitu Nyie vibaka hamjui mpo pale juu sio kwa sababu mnaupga mwingi, ni kw sababu city kuna game za kijinga ka droo na kupoteza. Na pia kushuka kw kiwango kw chelsea na liva.
 
[emoji16][emoji16][emoji16] Acha kurembaremba maneno, sema tu haya makinda yetu ya Academy tayari yameshaanza kuchoka na pumzi zinakata.
Epl ni ligi ya wanaume sio ligi ya watoto wa kiume.
Hizi kima nafasi yao ya kucheza Europa msimu ujao iko palepale.
Fulana unaupiga mwingi sana.
 
Wapi chambuzi Aaron Arsenal wewe tunakujua unachangia pale arsenal inapo fanya vizuri tu kiufupi ni shabiki la mchongo.

hata computerarsenal kila siku anakwambia ukweli kuwa wewe ni shabiki pale timu inapopata matokeo tu.
Huyu mwamba Arsenal ikiyumba anapoteaga jukwaani anaonekana tena wakati wa tetesi
 
Aaron Arsenal huu ndo ulitakiwa uwe muda wako wa kuchambua game cha ajabu umejificha jalalani mpaka mpate ushindi ndo utaonekana hapa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yuko bize jikoni sasa hivi anachambua maharage.
Ukitaka kumtega kiurahisi aje humu we anzisha tu story za Mykhaylo Mudyrik fasta tu utamuona.
 
1672835647398.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom