Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kesho ngoja tuone mazungumzo ya Shakhtar na Chelsea darajani itaamua nini?
Boehly is believed to have scheduled talks over Mudryk, who has agreed personal terms with Arsenal. Interest in the winger has echoes of the bid for Raphinha, who only ever wanted to join Barcelona and a late enquiry over Richarlison, who joined Tottenham

(@Matt_Law_DT )
 
Mchezaji alisahaamua anaenda Arsenal

Chelsea anatumika kupandisha Bei

Hii ishu Kama ya Raphina tu ,wekeni Mzigo ila mchezaji alishaaamua anakuja Arsenal
Usifananishe hii na Raphina, ukitaka kujua hii sio, ebu Arsenal backdown uone kama hajaja darajani. Hiyo ya ksuema anaipenda Chelsea na anampenda Arteta na kumpa sifa kibao ni diplomasia ya ajira tu. Akija Chelsea atamwagia sifa kede kede GP na Chelsea ili afagie kambi
 
Ambangile



Arsenal v Newcastle

.Hii imekutanisha timu mbili ambazo zipo imara haswa kiufundi, kimbinu , utimamu wa kimwili , matamanio ya kupambana uwanjani ... leo kasoro kitu kimoja tu , Arsenal walitaka kucheza boli , kuacha mpira utembee wakati Newcastle waliona njie nyingine ya kupata chochote ni kupoteza muda

.Vitu ambavyo nilivyoviona kwa mara kwa mara

1: Almiron & Joelinton umakini wa kurudi nyuma kusaidia ulinzi kutoruhusu mabeki wao wawili wa pembeni wawe 1 Vs 1 dhidi ya ( Saka na Martinelli )

2: Xhaka na Zinchenko wanavyobadilishana nafasi ya namba 8 wa kushoto mmoja akipanda mwingine anashuka waki offer vertical pass kutoka kwa Partey na beki Gabriel ( yani wanakuwa eneo ambalo inaruhusu ipigwe pasi ya mbele nyuma ya kiungo cha Newcastle )

3: Newcastle mstari wao wa ulinzi haupo chini sana wala haupo juu sana , kwanini ? kuepuka runs nyuma yao dhidi ya utatu wa Arsenal , na pia juu hawa press sana wanawaacha Saliba na Gabriel kuwa na mpira huku wakifunga kwenye midfield

4: Idadi ya wachezaji Arsenal wanaotumia kushambulia hasa kwenye line ya mwisho ya ulinzi ya Newcastle haipungui watu 6 ... ujasiri wa hali ya juu.!

.Eddie Howe alikuwa ameanza kupress kwa 4-3-3 lakini Arsenal kuna nyakati walikuwa wanaishinda hiyo press na ndio maana akaamua kubadilisha kukabia katikati sio juu sana wala chini kwa shape ya 4-5-1 na kumuacha Wilison pekee mbele, ilikuwa ngumu kwa Arsenal kuwafungua Newcastle walizuia vizuri sana

NOTE

1: Nyie hawa Arsenal wapo fit ukifanya masihara wanakutoa damu , muda wote wako busy tu uwanjani

2: Newcastle mechi ya 6 mfululizo hii bila kuruhusu wavu wao kuguswa ( clean sheets 6 mfululizo )

3: Namuelewa Arteta kuchukia dhidi ya mbinu ya Newcastle kupoteza muda hata mimi ningemaindi lakini pia ningekuwa Eddie Howe fresh tu kwasababu nataka kujitetea

4: ATAKAYEMALIZA JUU YA ARSENAL NI BINGWA

FT : Arsenal 0-0 Newcastle
Newcastle undefeated in 13 consecutive matches since Liverpool defeat on 31 Aug 2022 at Anfield
 
KWAKWELI KWA ILE PERFORMANCE VS NEWCASTLE ,KUNA TIMU KIBAO HAZITACHOMOKA


Pep Guardiola:

"The advantage of Arsenal is he [Mikel Arteta] hasn't to win the #PL from 20 points in front in November. The way they played vs Newcastle impressed me a lot. They dropped two points but they didn’t drop quality [with which] they played. This is my feeling..."
Asante kwa hizi taarifa, maana kuna mashabiki humu wanavyochambua ile game na Newcastle utasema Arsenal haawakufanya kitu kabisa uwanjani, wanadai wachezaji walikua poor kabisa. Kuna mijitu bure kabisa, mpira wenyewe haijui, ooh martinel hakuwa na maamuzi! takataka kabisa
 
Ambangile



Arsenal v Newcastle

.Hii imekutanisha timu mbili ambazo zipo imara haswa kiufundi, kimbinu , utimamu wa kimwili , matamanio ya kupambana uwanjani ... leo kasoro kitu kimoja tu , Arsenal walitaka kucheza boli , kuacha mpira utembee wakati Newcastle waliona njie nyingine ya kupata chochote ni kupoteza muda

.Vitu ambavyo nilivyoviona kwa mara kwa mara

1: Almiron & Joelinton umakini wa kurudi nyuma kusaidia ulinzi kutoruhusu mabeki wao wawili wa pembeni wawe 1 Vs 1 dhidi ya ( Saka na Martinelli )

2: Xhaka na Zinchenko wanavyobadilishana nafasi ya namba 8 wa kushoto mmoja akipanda mwingine anashuka waki offer vertical pass kutoka kwa Partey na beki Gabriel ( yani wanakuwa eneo ambalo inaruhusu ipigwe pasi ya mbele nyuma ya kiungo cha Newcastle )

3: Newcastle mstari wao wa ulinzi haupo chini sana wala haupo juu sana , kwanini ? kuepuka runs nyuma yao dhidi ya utatu wa Arsenal , na pia juu hawa press sana wanawaacha Saliba na Gabriel kuwa na mpira huku wakifunga kwenye midfield

4: Idadi ya wachezaji Arsenal wanaotumia kushambulia hasa kwenye line ya mwisho ya ulinzi ya Newcastle haipungui watu 6 ... ujasiri wa hali ya juu.!

.Eddie Howe alikuwa ameanza kupress kwa 4-3-3 lakini Arsenal kuna nyakati walikuwa wanaishinda hiyo press na ndio maana akaamua kubadilisha kukabia katikati sio juu sana wala chini kwa shape ya 4-5-1 na kumuacha Wilison pekee mbele, ilikuwa ngumu kwa Arsenal kuwafungua Newcastle walizuia vizuri sana

NOTE

1: Nyie hawa Arsenal wapo fit ukifanya masihara wanakutoa damu , muda wote wako busy tu uwanjani

2: Newcastle mechi ya 6 mfululizo hii bila kuruhusu wavu wao kuguswa ( clean sheets 6 mfululizo )

3: Namuelewa Arteta kuchukia dhidi ya mbinu ya Newcastle kupoteza muda hata mimi ningemaindi lakini pia ningekuwa Eddie Howe fresh tu kwasababu nataka kujitetea

4: ATAKAYEMALIZA JUU YA ARSENAL NI BINGWA

FT : Arsenal 0-0 Newcastle
Aliyoyaongea yote Pundit wetu Mzee Ambigile Mwasapile ni sahihi kabisa ila alichokosea ni hapa:

"ATAKAYEMALIZA JUU YA ARSENAL NI BINGWA "

Nina uhakika kuna timu zaidi ya 2 zitakazo maliza juu ya Arsenal, je Epl ya msimu huu kutakua na mabingwa zaidi ya wawili?
 
Aliyoyaongea yote Pundit wetu Mzee Ambigile Mwasapile ni sahihi kabisa ila alichokosea ni hapa:

"ATAKAYEMALIZA JUU YA ARSENAL NI BINGWA "

Nina uhakika kuna timu zaidi ya 2 zitakazo maliza juu ya Arsenal, je Epl ya msimu huu kutakua na mabingwa zaidi ya wawili?
We jamaa bhana 😆😆😆
 
Mara paaah mudriky to Chelsea ,,,,

Siku hizi watu wanafata hela, hakuna mapenzi Tena kwenye football,,,,

Personal terms sio hoja , wekeni mzigo chap chap !!!
 
Kwanini viungo wanapenda kuwa makocha wa mpira? Wilshere X Fabregas
IMG_20230105_155433.jpg
 
Asante kwa hizi taarifa, maana kuna mashabiki humu wanavyochambua ile game na Newcastle utasema Arsenal haawakufanya kitu kabisa uwanjani, wanadai wachezaji walikua poor kabisa. Kuna mijitu bure kabisa, mpira wenyewe haijui, ooh martinel hakuwa na maamuzi! takataka kabisa
Dah ndio maana Mimi matokeo Kama haya nakaaga kimya kwanza watu waoongee kwanza

Arsenal Ile mechi alipiga mpira ambao Ni timu chache Sana zitatoka salama

Eddie Howe anajifanyaga anatembea na 4-3-3

Ila ilibidi abadili kwenda 5-4-1

Akafanya pia Saka na martinel wasiwe 1v1

Saka alikuwa anazingirwa na watu wawili au watatu ,same to Martinell

Perfomance Kama Zile kwasisi ambao tunaangalia Zaidi ya matokeo lazima ujivunie

Niliona performance Kama Zile dhidi ya mancity pale Emirates last season na dhidi ya Liverpool pale Emirates ,zote tulipoteza ,ila Zile performance niliamini tunaenda kupigania UBINGWA ,


Toka preseason nilikuwa nikisema tunapigania ubingwa Kuna watu waliona vichekesho ,


Sasa Performance Kama ile dhidi ya Newcastle ,Ni dhahiri Kuna timu kibao zitachezea vipigo

NDICHO PEP GUARDIOLA Kilichomuogopesha

Sio Pep wote wapenda mpira wameingia na wasiwasi mkubwa Sana,

Maana Newcastle alianza kupoteza na muda ,akaona point 1 tamu,

Bado Arsenal aliendelea kupeleka Moto tu

Hapo Penalties 2 zimekuwa muted
 
Ugopa Sana mtu anayekusifia ,Tena mbele ya media ....
Sio kusifia ,ule Ukweli halisi,

Hata Mimi Arsenal ,ile perfomance niliigopa

Newcastle alikuja na 4-3-3 ,alijikuta analetewa Moto tu akabadili 5-4-1

Moto ukaendelea tu

Kwa mpenda soka ,lazima ataelewa kwa perfomance Kama Zile ,Ni wachache watapona ,ndicho wengi walichokiona sio Pep tu
 
Back
Top Bottom