Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

UNREAL:


Arsenal have 92.3% win rate in Premier League games Thomas Partey has played in this season
IMG_20221231_225925.jpg
 
Saka
Odegaard
Nketiah
Martinelli

The Fabolous Four on target at the AMEX

Hivi wapinzani huko vijiweni story ni nini?Yani mnaongea nini tena kuhusu Arsenal? Manake mtanuka sana midomo Kenge nyiee

Manake story zilikuwa watashuka tu pale kileleni.Tunakwenda Mwaka 2023 top of the table kwa Points 7 mbele ya Manchester City

Story zikawa kuumia Gabriel Jesus Shughuli Yetu imeishia hapo.Eddie Nketiah anafunga mechi ya Pili mfululizo

Leo mlikuwa na stori ya Arsenal haiwezi kukabiliana na presha ya Man City kutoa sare dhidi ya Everton.Tumempiga Brighton 4 -2 pale pale sebuleni kwao

Mtapiga stori Gani kijiweni KWENU?

HAPPY NEW YEAR GOONERS
IMG_20221213_214638.jpg
 
Kumbe hata Ulaya Kuna utapeli

Odegaard kwa £30mView attachment 2464881
Huyu Fundi Odegaard , Wenger anasema alimtaka akiwa na 15yrs

Klopp anasema pia alimtaka akiwa na 15yrs aliongea had na baba yake na familia yao Ni mashabiki wa Liverpool


Inaonekana Madrid aliwapiga bao wengi Sana ,akamchukua

Huyu dogo miaka hiyo Alitabiriwa makubwa ,

Imagine akiwa na 15yrs tu
Huyo Øde Ni fundi halafu mchawi kwenye tight space


Kuna faida moja Kama umegundua , Saka na Øde hawachezi mbali mbali ,Wana Sifa moja muhimu Sana ,wazuri kwenye tight space ,

Rejea goli hata na Liverpool la Martinell , Ni kazi ya Saka na Øde ,walipitisha Zile pass kwenye space kwa haraka Sana, had assist inapigwa katikati ya defender
 
Mechi ngumu Ni ya Spurs sababu tutakuwa away, ila Spurs sio timu yakushambulia ,hii Ni advantage,

Man united na Newcastle wanakuja Emirates, kwa ile Atmosphere iliyopo Sasa, hizi mechi tutazimaliza mapema tu


Baada ya hapo inabaki mechi yetu na city , February 15 nadhani

Kuna asilimia kubwa tukatanua wigo wa points had 15 ,
IMG_20221231_235431.jpg
 
Arsenal's attacking four in the EPL 22/23:

󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿Bukayo Saka - 16 games, 6 goals & 6 assists

Gabriel Martinelli - 16 games, 7 goals & 2 assists

Martin Ødegaard - 15 games, 7 goals & 5 assists

Gabriel Jesus - 14 games, 5 goals & 6 assists

On fire!
 
Still Partey ndio Arsenal mwenyewe ,Elneny sio player ambaye ni mbovu ila inategemea ameamkaje la umuhimu ni kuomba Partey asipate majeraha,Partey ana kila kitu pass skills,marking ,hata kuscore pia mean ana offer vitu vingi kwa wakati mmoja
Partey hajifichi timu ikiwa na mpira anakua open kupokea mipira na agility inamsaidia kugeuka haraka kuangalia kila upande na kutoa pasi

Elneny anajificha humuoni akikimbilia kuomba pasi hajisumbui kusogea mbele sana, agility hakuna. Lokonga anatafuta mipira, ana agility ila experience inasababisha ashindwe jua muda gani asogee mbele na muda gani abaki kati kulinda.

Mimi nafikiri tunahitaji kiungo kuliko sehemu forwards. Guimaraes tungemchukua kipindi kile ingekua bonge la deal.
 
Kuna watu walitutabiria Arsenal haitaweza kumaliza Christmas ikiwa kileleni mwa msimamo, saivi wanashangaa ni Mwaka mpya 2023 still tunapigwa ubaridi wa kileleni tukiwa na points zetu 43.

Na Jana nilikuwa naangalia uchambuzi wa baada ya Michezo 16, Kila aliyekuwa anaongoza Ligue baada ya mechi 16 alikuwa ndiyo Bingwa wa huo Mwaka.

Sisi ni nani tusianze kufanya mazoezi ya kunyanyua ndoo hapo Mei, 2023 💪

COYGs 💪💪💪🤸🤸🤸🤸

Happy New Year 2023 to all Gunners here 🙏🙏🙏
 
Kuna watu walitutabiria Arsenal haitaweza kumaliza Christmas ikiwa kileleni mwa msimamo, saivi wanashangaa ni Mwaka mpya 2023 still tunapigwa ubaridi wa kileleni tukiwa na points zetu 43.

Na Jana nilikuwa naangalia uchambuzi wa baada ya Michezo 16, Kila aliyekuwa anaongoza Ligue baada ya mechi 16 alikuwa ndiyo Bingwa wa huo Mwaka.

Sisi ni nani tusianze kufanya mazoezi ya kunyanyua ndoo hapo Mei, 2023

COYGs

Happy New Year 2023 to all Gunners here
Happy new year kwako pia.
 
Naangalia mechi halafu nakumbuka miaka miwili nyuma nilivyokua nasema timu imejaa wachezaji hawana fighting spirit, hawana morali, wanapiga sideway passes n.k.

Sasa hivi naangalia mechi, tunafungwa goli moja na ninaamini tunaweza kufanya comeback na tunafanya kweli. Odegaard kwa pesa tuliyolipa ni tumemuiba, Nketiah is scoring yes lakini naona tunahitaji zaidi ya hiyo, why? Akipata mpira na kwenda mbele hana agility na skills za kuchambus defense, Jesus ana hivyo viwili ndiyo maana anaweza asiscore ila akatoa assists au akawa chanzo cha goli.

Tusiwasikilize wakina Ollashoga na Lembua. Walitoa vipimo vingi mara hatutapona kwa huyu au yule na stori zikahamishwa mpaka kudai baada ya WC tutakua hovyo.

Well baada ya WC tumeshinda mechi ya pili, ukiniuliza mimi nitasema nina hamu na game dhidi ya City kwakua ni miongoni mwa timu zilituburuza na ninataka kuona tumefikia wapi. Hawa wengine hawanisumbui.

Happy New Year Crew
 
Naangalia mechi halafu nakumbuka miaka miwili nyuma nilivyokua nasema timu imejaa wachezaji hawana fighting spirit, hawana morali, wanapiga sideway passes n.k.

Sasa hivi naangalia mechi, tunafungwa goli moja na ninaamini tunaweza kufanya comeback na tunafanya kweli. Odegaard kwa pesa tuliyolipa ni tumemuiba, Nketiah is scoring yes lakini naona tunahitaji zaidi ya hiyo, why? Akipata mpira na kwenda mbele hana agility na skills za kuchambus defense, Jesus ana hivyo viwili ndiyo maana anaweza asiscore ila akatoa assists au akawa chanzo cha goli.

Tusiwasikilize wakina Ollashoga na Lembua. Walitoa vipimo vingi mara hatutapona kwa huyu au yule na stori zikahamishwa mpaka kudai baada ya WC tutakua hovyo.

Well baada ya WC tumeshinda mechi ya pili, ukiniuliza mimi nitasema nina hamu na game dhidi ya City kwakua ni miongoni mwa timu zilituburuza na ninataka kuona tumefikia wapi. Hawa wengine hawanisumbui.

Happy New Year Crew
Wengi wanasema kuanzia last season mechi ya city pale Emirates ilikuwa turning point na kiukweli bila ile red card ,city alikuwa outplayed
 
Back
Top Bottom