OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,931
- 25,245
Umeona moto mliopelekewa?? Muna baati tu arse8 ni timu ya marefakwani mechi yenu na hao wavimba macho iliishaje, unaweza kutupa rejea ya kilichotokea
Umeona moto mliopelekewa?? Muna baati tu arse8 ni timu ya marefakwani mechi yenu na hao wavimba macho iliishaje, unaweza kutupa rejea ya kilichotokea
Uligonga goti ,Saliba kuwekwa benchi nakataa , blunder aliyoifanya leo ni sababu ya kujiamini kwake alitaka afanye turn na mpira sema bahati mbaya mpira ukagonga mguuni, hivi vitu vinatokea to any player wala lawama zisiwe nyingi kwake
Hii Chelsea ilikuwa na kikosi cha b na c mkuu, tungeweka fuluu mkoko hakika tungeongea mengine leoTumeumbiwa kusahau hao hapo wavimba macho wenzioView attachment 2464821
@sr_collings






Antony kwa 100m






Huyu Fundi Odegaard , Wenger anasema alimtaka akiwa na 15yrs
Bukayo Saka - 16 games, 6 goals & 6 assists
Gabriel Martinelli - 16 games, 7 goals & 2 assists
Martin Ødegaard - 15 games, 7 goals & 5 assists
Gabriel Jesus - 14 games, 5 goals & 6 assists
Hii Chelsea ilikuwa na kikosi cha b na c mkuu, tungeweka fuluu mkoko hakika tungeongea mengine leo
Chelsea are closer to the relegation zone (11 points) than they are league leaders Arsenal (16 points)Toa rejea kijana, acha mbambamba.Umeona moto mliopelekewa?? Muna baati tu arse8 ni timu ya marefa
Partey hajifichi timu ikiwa na mpira anakua open kupokea mipira na agility inamsaidia kugeuka haraka kuangalia kila upande na kutoa pasiStill Partey ndio Arsenal mwenyewe ,Elneny sio player ambaye ni mbovu ila inategemea ameamkaje la umuhimu ni kuomba Partey asipate majeraha,Partey ana kila kitu pass skills,marking ,hata kuscore pia mean ana offer vitu vingi kwa wakati mmoja
Happy new year kwako pia.Kuna watu walitutabiria Arsenal haitaweza kumaliza Christmas ikiwa kileleni mwa msimamo, saivi wanashangaa ni Mwaka mpya 2023 still tunapigwa ubaridi wa kileleni tukiwa na points zetu 43.
Na Jana nilikuwa naangalia uchambuzi wa baada ya Michezo 16, Kila aliyekuwa anaongoza Ligue baada ya mechi 16 alikuwa ndiyo Bingwa wa huo Mwaka.
Sisi ni nani tusianze kufanya mazoezi ya kunyanyua ndoo hapo Mei, 2023
COYGs
Happy New Year 2023 to all Gunners here![]()
Thanks Mkuu jong afrikaanseHappy new year kwako pia.
Wengi wanasema kuanzia last season mechi ya city pale Emirates ilikuwa turning point na kiukweli bila ile red card ,city alikuwa outplayedNaangalia mechi halafu nakumbuka miaka miwili nyuma nilivyokua nasema timu imejaa wachezaji hawana fighting spirit, hawana morali, wanapiga sideway passes n.k.
Sasa hivi naangalia mechi, tunafungwa goli moja na ninaamini tunaweza kufanya comeback na tunafanya kweli. Odegaard kwa pesa tuliyolipa ni tumemuiba, Nketiah is scoring yes lakini naona tunahitaji zaidi ya hiyo, why? Akipata mpira na kwenda mbele hana agility na skills za kuchambus defense, Jesus ana hivyo viwili ndiyo maana anaweza asiscore ila akatoa assists au akawa chanzo cha goli.
Tusiwasikilize wakina Ollashoga na Lembua. Walitoa vipimo vingi mara hatutapona kwa huyu au yule na stori zikahamishwa mpaka kudai baada ya WC tutakua hovyo.
Well baada ya WC tumeshinda mechi ya pili, ukiniuliza mimi nitasema nina hamu na game dhidi ya City kwakua ni miongoni mwa timu zilituburuza na ninataka kuona tumefikia wapi. Hawa wengine hawanisumbui.
Happy New Year Crew