Mjusi_kafiri
JF-Expert Member
- May 8, 2022
- 1,016
- 1,878
Alimpa game ngumu sana Martinell janaHuyu mtoto tariq lamptey![]()
Alimpa game ngumu sana Martinell janaHuyu mtoto tariq lamptey![]()
Uzuri hii miaka miwili Arteta na Edu hawasikilizi Mashabiki kabisa
Oooh tuna Leno Ramsdale wa nini na bei kubwa
Tunazidiwa na hata na Aston villa wanamnunua Buendia ,mara maddison mzuri tunasubiria mchezaji ambaye madrid hawauzi(Odegaard)
Zinchenko wa nini hana namba city mara Jesus alikuwa haanzishwi
Tangu summer Tielemans jamaa wame mute hawasikilizi kabisa
Mimi Arteta hata akisema anamnunua sancho au Pullisic nitaheshimu naona wanaangalia wanaoendana na mifumo yao
Yaani mpaka Ramsdale akazima data na kufunga social media accounts zake zote kisa matusi ya washabiki,
Mara ooh Ben white hana namba Brighton 50 ya nini si bora wanunue Dunk ukisiliza mashabiki unapotea kabisa
Muachage kunywa pombe za kienyeji.Uzuri hii miaka miwili Arteta na Edu hawasikilizi Mashabiki kabisa
Oooh tuna Leno Ramsdale wa nini na bei kubwa
Tunazidiwa na hata na Aston villa wanamnunua Buendia ,mara maddison mzuri tunasubiria mchezaji ambaye madrid hawauzi(Odegaard)
Zinchenko wa nini hana namba city mara Jesus alikuwa haanzishwi
Tangu summer Tielemans jamaa wame mute hawasikilizi kabisa
Mimi Arteta hata akisema anamnunua sancho au Pullisic nitaheshimu naona wanaangalia wanaoendana na mifumo yao
Yaani mpaka Ramsdale akazima data na kufunga social media accounts zake zote kisa matusi ya washabiki,
Mara ooh Ben white hana namba Brighton 50 ya nini si bora wanunue Dunk ukisiliza mashabiki unapotea kabisa
Kosoa nilipoongea Uongo ,ili ajulikane Nani alilewaWe jamaa I guess you slept late bado zimo kichwani
Mudryk has spoken to Arteta. Deal with player agreed. New bid coming from Arsenal
) - ReliableShabiki la cheltako hiliHii misukule haiwez kuchukua ubingwa, tunza hii comment.
Mechi ngumu ni away Spurs ,Baada ya hapo had April mwishoni mech ya away cityArsenal fixtures 2023View attachment 2465695
Yeah hii ndio hofu ya wengi, ni muhimu sana tupate Defensive Midfielder na forward walau mmoja ikiwezekana na LCB mmoja wa ziada maana akiumia Gabriel tutakua wachache hapo nyuma.Kwa ufinyu wa kikosi chetu tusipate majeruhi
Shida kuwapata hao wachezaji sokoni na wenye kiwango moja kwa moja kuingia kwenye mfumo wetuYeah hii ndio hofu ya wengi, ni muhimu sana tupate Defensive Midfielder na forward walau mmoja ikiwezekana na LCB mmoja wa ziada maana akiumia Gabriel tutakua wachache hapo nyuma.
Chelsea drooMungu katuona toten ameyakanyaga mwenyewe .
ChelKenge mtoe kabisa hata kugombea top 6,Chelsea droo


Mungu katuona toten ameyakanyaga mwenyewe .