Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hivi kuna uhusiano wowote wa Simba ikishinda na Asernal anashinda? Asipoangali anakula wiki huyu dogo
 
Hivi kuna uhusiano wowote wa Simba ikishinda na Asernal anashinda? Asipoangali anakula wiki huyu dogo
 
Mumekutana na wavimba macho
Tumeumbiwa kusahau hao hapo wavimba macho wenzio
JamiiForums1288675113.jpg
 
Kwao huko Putin anawanyunyuzia tu mioto kutoka mawinguni, lazima awe chawa kwelikweli ili afanikiwe kuondoka kwenye uwanja wa vita, la sivyo yule comedian anaweza kuamrisha wachezaji wote waende frontline kwenye mapambano.
Kabisaaaa hiyo point asee,now naelewa why anafanya hvo
 
Back
Top Bottom