Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

When Ødegaard is more in the LCM area, better things happen for us. That's the future when ESR is eventually trained into RCM. Øde x Martinelli have a good connection (see goal 1 vs Liverpool). Saka gets more creative space when Ødegaard is away from him.
 
Hakuna mechi City alisumbuka kama ile.
Wengi wafatiliaji wa mpira wanasema pale ndio Project ya Arteta ilikuwa ime mature ikawa Sasa Ni kuweka quality players

Na ndio ilikuwa Mwanzo wa kuandaa timu itachezaje msimu huu

Nimesikia wengi kuanzia ulaya wanasema Baada ya ile game na ile ya Arsenal vs Liverpool ,Zilikuwa ujumbe kuwa tunaenda ku close gepu

Hizo mechi 2 tulifungwa ila positive things ilikuwa ku establish playing style , ila mashabiki wanaoangalia matokeo tu waliona kawaida.
 
Hadi muda huu arsenal tukilikosa kombe ndio bahati mbaya
Au tutaendelea kutoa burudani na ukusanyaji wa points 3 hadi mwishoni kwa ligi tukiwa pale juu

Alafu wataamua wenyewe NDOO wampe nani

I can't wait to see, arsenal vs arsenal
 
Arsenal 2-1 Aston villa

Brentford 0-3 Arsenal

Arsenal 3-2 Liverpool

Man city 1-2 Brentford ....

Liverpool 1-0 Man city....

Aston villa 1-1 Man city...
______________________
Newcastle 3-3 Man city....next match Arsenal vs Newcastle

Good morning mshajua n
tutamfanya nini huyo Newcastle
 
Arse88 mkibeba kombe niitwe mbwa. nipo hapa
Hadi muda huu arsenal tukilikosa kombe ndio bahati mbaya
Au tutaendelea kutoa burudani na ukusanyaji wa points 3 hadi mwishoni kwa ligi tukiwa pale juu

Alafu wataamua wenyewe NDOO wampe nani

I can't wait to see, arsenal vs arsenal
 
Kuna watu walitutabiria Arsenal haitaweza kumaliza Christmas ikiwa kileleni mwa msimamo, saivi wanashangaa ni Mwaka mpya 2023 still tunapigwa ubaridi wa kileleni tukiwa na points zetu 43.

Na Jana nilikuwa naangalia uchambuzi wa baada ya Michezo 16, Kila aliyekuwa anaongoza Ligue baada ya mechi 16 alikuwa ndiyo Bingwa wa huo Mwaka.

Sisi ni nani tusianze kufanya mazoezi ya kunyanyua ndoo hapo Mei, 2023

COYGs

Happy New Year 2023 to all Gunners here

Ww mzee unashabikia hii timu ugonjwa wa moyo arsenyani
Mzee unapotea
 
Huyu Fundi Odegaard , Wenger anasema alimtaka akiwa na 15yrs

Klopp anasema pia alimtaka akiwa na 15yrs aliongea had na baba yake na familia yao Ni mashabiki wa Liverpool


Inaonekana Madrid aliwapiga bao wengi Sana ,akamchukua

Huyu dogo miaka hiyo Alitabiriwa makubwa ,

Imagine akiwa na 15yrs tu
Huyo Øde Ni fundi halafu mchawi kwenye tight space


Kuna faida moja Kama umegundua , Saka na Øde hawachezi mbali mbali ,Wana Sifa moja muhimu Sana ,wazuri kwenye tight space ,

Rejea goli hata na Liverpool la Martinell , Ni kazi ya Saka na Øde ,walipitisha Zile pass kwenye space kwa haraka Sana, had assist inapigwa katikati ya defender
Baller

Tumewafanyia uhuni mkubwa sana Madrid,walitaka kutupiga kwa Dani tukasema weeeeeeeehhhhhhh
Yaani tumewarudishia Ceballos tumewadhulumu Ode
 
Partey hajifichi timu ikiwa na mpira anakua open kupokea mipira na agility inamsaidia kugeuka haraka kuangalia kila upande na kutoa pasi

Elneny anajificha humuoni akikimbilia kuomba pasi hajisumbui kusogea mbele sana, agility hakuna. Lokonga anatafuta mipira, ana agility ila experience inasababisha ashindwe jua muda gani asogee mbele na muda gani abaki kati kulinda.

Mimi nafikiri tunahitaji kiungo kuliko sehemu forwards. Guimaraes tungemchukua kipindi kile ingekua bonge la deal.
Dhahiri
 
Inatajwa ofa ya €70-75m ipo njiani

Huenda mechi na Spurs akawa benchi

| Talks between #Arsenal and Shakhtar over Mudryk are ongoing and Arsenal are expected to return with an improved offer when the January transfer window opens, reports @sr_collings @standardsport #afc
IMG-20221230-WA0192.jpg
 
Aje tu hakuna namna......View attachment 2465348
Непоганий був рік в футбольному плані ,дякую за підтримку вболівальникам ,сподіваюся в цьому році ви отримували задоволення від нашої команди.
Сподіваюся наступний рік буде для нас тріумфуючим ,і я не про футбол зараз…


Kaongea kwa hisia sana
 
Непоганий був рік в футбольному плані ,дякую за підтримку вболівальникам ,сподіваюся в цьому році ви отримували задоволення від нашої команди.
Сподіваюся наступний рік буде для нас тріумфуючим ,і я не про футбол зараз…


Kaongea kwa hisia sana
It was a good year in terms of football, thank you for your support to the fans, I hope you enjoyed our team this year. I hope that next year will be a triumphant one for us, and I am not talking about football now...

 
Uzuri hii miaka miwili Arteta na Edu hawasikilizi Mashabiki kabisa

Oooh tuna Leno Ramsdale wa nini na bei kubwa
Tunazidiwa na hata na Aston villa wanamnunua Buendia ,mara maddison mzuri tunasubiria mchezaji ambaye madrid hawauzi(Odegaard)
Zinchenko wa nini hana namba city mara Jesus alikuwa haanzishwi
Tangu summer Tielemans jamaa wame mute hawasikilizi kabisa

Mimi Arteta hata akisema anamnunua sancho au Pullisic nitaheshimu naona wanaangalia wanaoendana na mifumo yao

Yaani mpaka Ramsdale akazima data na kufunga social media accounts zake zote kisa matusi ya washabiki ,

Mara ooh Ben white hana namba Brighton 50 ya nini si bora wanunue Dunk ukisiliza mashabiki unapotea kabisa
 
Back
Top Bottom