Kama haujasoma somo linaloitwa Pure mathematics
Au kuna kitu kinaitwa architecture. Hiyo picha hapo juu achana nayo. Fatisha tu maelezo yangu
Awali ya yote kuna uhusiano mkubwa sana kati ya mpira na hesabu
Mpira ni sayansi mpira ni Sanaa
Kwa maneno yenye uchache sana naweza kusema Arteta is genius. Ukibisha meza mawe
Arsenal tunacheza kitimu, arsenal inapita kwenye pattern
Usipofungwa na saka basi utafunga na martinel au utafungwa na Jesus au odegard mwenyewe atakumaliza
Na hao wote wasipokufunga, basi watasababisha wakufungue
Hapo ndio utagundua Jesus hawezi kutuyumbisha kwa kipindi hiki ambacho anauguza majeraha
Nketiah ready to take a chance, Fabio is there, Rowe is back, mudrych is loading
Maombi, sala zetu tuzielekeze kwa partey
Huyo hatakiwi ata kuchunika
Picha hapa chini inaonesha jinsi gani yeye alivyo kiunganisa almost na timu nzima
Elneny na lokonga hawawez kutupa kile partey anafanya
Man city midfielder ilipotezwa na huyu muhuni ule msimu uliopita
Juzi Liverpool, Chelsea, spurs wamekufa kama wamesimama baada ya huyu mwamba kuwa pale dimbani akizibiti usalama wa defenders
Na kufanya kazi ya ku-supply mipira iliyotukuka
Tumeangusha points kwa man u, coz lokongo is not ready for dirty work, not good enough to dominate the field
As things stand
Arsenal ndoo
Haaland kiatu
Aaron Arsenal Will Jr Jackwillpower Castr DullyJr @aligrain
Chatta g Ulimakafu computerarsenal
hamis77
Ongeeni kitu kuhusu hii picha
As I see there are mora than millions triangles to unlock any kind of defense
View attachment 2458246