Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Media za Uingereza zinampa promo sana kama bonge la player na katwaa mataji kibao ,eti sasa kapewa jukwaa kwenye uwanja wa timu yake ya Birmingham alipoenda kutembelea juzi.

Apambane asijekuwa kama Sancho ,imagine waingereza wangekuwa na mchezaji kama Messi kelele zao sijui zingekuwaje..
Messi mbali chama tu angezaliwa uingereza aloooo!! Acha tu 😂 au mimi ningezaliwa Uingereza, kwenye wimbo wa taifa wangeweka jina langu 😂
 
Watu wa siri sana yani mpo kimya kama amna kilichotokea.View attachment 2450312
Screenshot_20221218-160747.jpg
 
Man United tunavyoweka ma-star wetu wananyanyua WC na nyie Arsenane, Chelsea, Loserfools muweke wa kwenu....Sio mnang'aang'aa macho tu.
Screenshot_20221218-221616_Instagram.jpg
 
Ndugu wazee, wakati tukirejea kwenye msimu wa mpira baada ya World Cup naomba mnisaidie link ya kutazama mpira online. Ile link ya Domain Seized by Law Enforcement tuliyokuwa tunatazamia mpira imefungiwa rasmi na magaidi. Natanguliza shukrani.
1671425485188.png
 
Leo Magazeti yote ya America kusini kwenye fenti fodi title zao zimeandikwa:
Mlinzi kisiki wa Manchester United Lisandro Martinez aisaidia Argentina kutwaa kombe la dunia 2022.
tapatalk_1341418616_512x627.jpg
 
Kwa nini RVP amekuwa karibu zaidi na Man U kuliko Arsenal ambayo inemkuza kisoka na amekaa miaka mingi mpaka kuvaa kitambaa cha unahodha?

Man U RvP anapendwa sana na kupewa heshima kama Legend ila mashabiki wa Arsenal wenginksma wamepotea fulani hivi.
IMG_20221219_075131.jpg
 
Kwa nini RVP amekuwa karibu zaidi na Man U kuliko Arsenal ambayo inemkuza kisoka na amekaa miaka mingi mpaka kuvaa kitambaa cha unahodha?

Man U RvP anapendwa sana na kupewa heshima kama Legend ila mashabiki wa Arsenal wenginksma wamepotea fulani hivi. View attachment 2451437
Huyu anahesabika Kama nyoka ,hata yeye analijua Hilo , hawezi kujisogeza Arsenal ,
 
Fafanua mkuu.
Emi Martinez alikuwa academy ya Arsenal ,wamepita makipa wengi Lakini hakuaminika , alipokuja Arteta bado Emi alikuwa no.2 , mechi na Brighton maupay alimuumiza Leno, ikaonekana Leno atakaa nje muda mrefu ,ikabidi Emi apewe nafasi ndipo akafanya vzr Hasa Mechi za FA Cup akifanya vzr Sana mechi ngumu Zote, na Community shield pia , Baada ya hapo akataka Sasa apewe no.1 ,lakini Arteta akasema hawezi kumuhakikishia hivo, kipind hicho Argentina kipa wao Armani na wengine hawakuwa wazuri kabisa ,wakiwacost Sana.

Astonvilla wakaleta ofa ,Emi akauzwa Baada ya miaka 10 ya kukaa Arsenal ,

Kwa uwezo aliokuwa ameonesha kwenye michuano ya FA CUP na ligi mechi chache na kucheza penalty tayari akawa ameanza kufikiriwa NATIONAL TEAM,

Alipoenda Astonvilla akaanza kuitwa NT, na akawasaidia kubeba COPA AMERICA huku akiwa msaada mkubwa Kuanzia Nusu had fainal ,pia akachukua Finalsma , na Sasa World cup .

Messi amekuwa akimshukuru mara kadhaa kwa uwezo wake wakumsaidia kubeba hayo mataji

HIVO SAFARI YA EMI ,ILIANZIA KWA LENO KUUMIZWA NA MAUPAY
 
Emi Martinez alikuwa academy ya Arsenal ,wamepita makipa wengi Lakini hakuaminika , alipokuja Arteta bado Emi alikuwa no.2 , mechi na Brighton maupay alimuumiza Leno, ikaonekana Leno atakaa nje muda mrefu ,ikabidi Emi apewe nafasi ndipo akafanya vzr Hasa Mechi za FA Cup akifanya vzr Sana mechi ngumu Zote, na Community shield pia , Baada ya hapo akataka Sasa apewe no.1 ,lakini Arteta akasema hawezi kumuhakikishia hivo, kipind hicho Argentina kipa wao Armani na wengine hawakuwa wazuri kabisa ,wakiwacost Sana.

Astonvilla wakaleta ofa ,Emi akauzwa Baada ya miaka 10 ya kukaa Arsenal ,

Kwa uwezo aliokuwa ameonesha kwenye michuano ya FA CUP na ligi mechi chache na kucheza penalty tayari akawa ameanza kufikiriwa NATIONAL TEAM,

Alipoenda Astonvilla akaanza kuitwa NT, na akawasaidia kubeba COPA AMERICA huku akiwa msaada mkubwa Kuanzia Nusu had fainal ,pia akachukua Finalsma , na Sasa World cup .

Messi amekuwa akimshukuru mara kadhaa kwa uwezo wake wakumsaidia kubeba hayo mataji

HIVO SAFARI YA EMI ,ILIANZIA KWA LENO KUUMIZWA NA MAUPAY
Nimekupata, sikukumbuka chanzo ni Maupay kumuumiza Leno. Thanks.
 
Leo Magazeti yote ya America kusini kwenye fenti fodi title zao zimeandikwa:
Mlinzi kisiki wa Manchester United Lisandro Martinez aisaidia Argentina kutwaa kombe la dunia 2022.View attachment 2451424
Huyu si alikuwa anaozea benchi?

Man United fans, the World Cup is over. There's no where to hide anymore
 
Kwa nini RVP amekuwa karibu zaidi na Man U kuliko Arsenal ambayo inemkuza kisoka na amekaa miaka mingi mpaka kuvaa kitambaa cha unahodha?

Man U RvP anapendwa sana na kupewa heshima kama Legend ila mashabiki wa Arsenal wenginksma wamepotea fulani hivi. View attachment 2451437
Katika mahojiano na waandishi wa habari RVP alishawahi kukiri kua katika vitu anavyovijutia mno katika maisha yake ni kupoteza muda mwingi kuitumikia timu ya AsaniWali, analalamika kua hata huo wali wenyewe walikua hawaupati, alikua analishwa tu ukoko.
Baada ya kuhamia tu United RVP akaanza kupiga pilau na biriani la nyama ya mbuzi, hivyo lazima aiheshimu na kuithamini zaidi Man U kila akikumbuka jinsi ukoko mkavu ulivyokua unakwaruza koromeo lake.
Screenshot_20220930_135207.jpg
Screenshot_20220930_113105.jpg
 
Huyu si alikuwa anaozea benchi?

Man United fans, the World Cup is over. There's no where to hide anymore
Raisi wa nchi ya Argentina Alberto Ángel Fernández Pérez amempongeza mno Lisandro Martinez kwa kuiwezesha nchi yake kutwaa kombe la dunia, Pia ameishukuru sana club ya Manchester United kwa mchango wake mkubwa wa kuwang'arisha wachezaji wa Argentina duniani, akitolea mfano wa Carlos Tevez raisi Fernández amesema anaandaa memorandum of understanding kati ya Argentina na United ili raia yoyote wa Argentina anapotaka kucheza soka nje ya nchi kipaumbele cha kwanza iwe kwenda kucheza soka kwenye club kubwa zaidi ya Manchester United.
Raisi Alberto Ángel Fernández Pérez alikua anaongea kwa hisia kali mpaka machozi yalikua yanamtiririka.

#Viva Lisandro Martinez
#Viva Manchester United
#Viva La Albiceleste
tapatalk_1341418616_512x627.jpg
 
Raisi wa nchi ya Argentina Alberto Ángel Fernández Pérez amempongeza mno Lisandro Martinez kwa kuiwezesha nchi yake kutwaa kombe la dunia, Pia ameishukuru sana club ya Manchester United kwa mchango wake mkubwa wa kuwang'arisha wachezaji wa Argentina duniani, akitolea mfano wa Carlos Tevez raisi Fernández amesema anaandaa memorandum of understanding kati ya Argentina na United ili raia yoyote wa Argentina anapotaka kucheza soka nje ya nchi kipaumbele cha kwanza iwe kwenda kucheza soka kwenye club kubwa zaidi ya Manchester United.
Raisi Alberto Ángel Fernández Pérez alikua anaongea kwa hisia kali mpaka machozi yalikua yanamtiririka.

#Viva Lisandro Martinez
#Viva Manchester United
#Viva La AlbicelesteView attachment 2451618
Aisee wewe muzee hiyo kichwa yako inajiless tu, na imejaa pumba mbichi.
 
Back
Top Bottom