Will Jr
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 5,077
- 7,420
Dogo una chuki na Arsenal paka inakupa uchizi, so Edu Gaspar, Pires, Adams, Arteta, Henry, Viera wanaichukia Arsenal? au unadhani Arsenal ni Nasri, Adebayor na Van persie tu?Hakuna cha nyoka wala nini, Arsenal wachezaji wengi wakitoka wanapachukia mana hapana mafanikio. Hata leo hii ukiwauliza akina Fabrigus, A.cole, Giroud,Nasri nyumbani ni wapi, hawatakutajia Arsenal.



Gabriel Martinelli has renewed his contract with Arsenal until 2027. [Sport] #afc
Headline news
Timu ya Fulham Fc wamefanya mazungumzo na Arsenal ili waweze kumsajili mlinzi kulia wa Arsenal Cedric Soares
Gabriel Martinelli anakaribia kuongeza mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia Arsenal Mpaka mwaka 2027.
Arsenal kesho panapo majaaliwa
Michezo
151
Sare michezo
Amepoteza michezo
Community shield 
