Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hakuna cha nyoka wala nini, Arsenal wachezaji wengi wakitoka wanapachukia mana hapana mafanikio. Hata leo hii ukiwauliza akina Fabrigus, A.cole, Giroud,Nasri nyumbani ni wapi, hawatakutajia Arsenal.
Dogo una chuki na Arsenal paka inakupa uchizi, so Edu Gaspar, Pires, Adams, Arteta, Henry, Viera wanaichukia Arsenal? au unadhani Arsenal ni Nasri, Adebayor na Van persie tu?
 
Huyu Mateka alijiunga kuichezea Arsenyani mwaka 2011-2016.
Katika miaka yake yote 6 aliyoichezea Arsenyani kaambulia kushinda makombe mawili tu ya FA Cup mwaka 2014 na mwaka 2016

Mwaka 2019 akasajiliwa kama kocha wa Arsenyani, ndani ya miaka 3 ya kufundisha Nyani za Emirates ameishia kushinda kombe moja tu la FA Cup mwaka 2020


Nyinyi mashabiki wa Arsenyani wenye ndoto za kubeba Epl shtukeni mapema, huyo Mateka wenu ni mzee wa makombe ya FA tu, tena wastani wake ni kila baada ya miaka 3 anapata kombe moja, hivyo tegemeeni kupata kombe lingine la FA baada ya miaka miwili mbele.

Nyie Nyani nawakumbusha tu msijifanye mmesahau, ngao ya hisani sio kombe.

Povu ruksaaaaaa
Je unajua manyumbu utd ina miaka 6 Sasa bila taji lolote na Kuna uwezekano ikagonga miaka 10?
 
Hakuna cha nyoka wala nini, Arsenal wachezaji wengi wakitoka wanapachukia mana hapana mafanikio. Hata leo hii ukiwauliza akina Fabrigus, A.cole, Giroud,Nasri nyumbani ni wapi, hawatakutajia Arsenal.
Arsenal inakupa uchizi , EPL imerudi timu lenu bovu, sijui mtajicichia wapi Safari hii

World cup imeisha
 
EFL..msikose kesho mida hii tunakiwasha. Hivi nyie EFL mnacheza lini?
Screenshot_20221220-165914_All%20Goals.jpg
 
BREAKING: Arsenal are close to agreeing a new contract with Gabriel Martinelli that will see him become one of the club’s top earners.

Gabriel Martinelli’s new terms will be worth in the region of £200k-per-week, as per @SamiMokbel81_DM.
IMG_20221221_075629.jpg
 
Dogo una chuki na Arsenal paka inakupa uchizi, so Edu Gaspar, Pires, Adams, Arteta, Henry, Viera wanaichukia Arsenal? au unadhani Arsenal ni Nasri, Adebayor na Van persie tu?
Sheikh kipozeo hua ana kauli yake moja anapenda sana kuisema kila mara:
"Ukweli hua una kawaida ya kuchomachoma ila dawa yake ni kuvumilia"
Oyaaa Will Jr siku hizi unaadimika sana mtu wangu kwenye hili jukwaa letu pendwa.
Usiwe unatutupa namna hio, humu ndani bado tunahitaji busara zako.
Kwema lakini mkuu?
 
Sasa Nani wakutufunga tukitaka Jambo letu?

Msimu huu tunapigania mataji matatu TU

EPL

FA cup

Europa
Kila la heri Mkuu, Imani ndio kila kitu.
Mkiwa na imani japo ya punje ya haridari mnaweza kutwaa mpaka Uefa champions league ndani ya msimu huu huu mnaoshiriki Europa.
 
Back
Top Bottom