THE SHADOW ONE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,226
- 2,027
Asante 🤝Kolo muani
Asante 🤝Kolo muani
Je unajua manyumbu utd ina miaka 6 Sasa bila taji lolote na Kuna uwezekano ikagonga miaka 10?Huyu Mateka alijiunga kuichezea Arsenyani mwaka 2011-2016.
Katika miaka yake yote 6 aliyoichezea Arsenyani kaambulia kushinda makombe mawili tu ya FA Cup mwaka 2014 na mwaka 2016
Mwaka 2019 akasajiliwa kama kocha wa Arsenyani, ndani ya miaka 3 ya kufundisha Nyani za Emirates ameishia kushinda kombe moja tu la FA Cup mwaka 2020
Nyinyi mashabiki wa Arsenyani wenye ndoto za kubeba Epl shtukeni mapema, huyo Mateka wenu ni mzee wa makombe ya FA tu, tena wastani wake ni kila baada ya miaka 3 anapata kombe moja, hivyo tegemeeni kupata kombe lingine la FA baada ya miaka miwili mbele.
Nyie Nyani nawakumbusha tu msijifanye mmesahau, ngao ya hisani sio kombe.
Povu ruksaaaaaa
Arsenal inakupa uchizi , EPL imerudi timu lenu bovu, sijui mtajicichia wapi Safari hiiHakuna cha nyoka wala nini, Arsenal wachezaji wengi wakitoka wanapachukia mana hapana mafanikio. Hata leo hii ukiwauliza akina Fabrigus, A.cole, Giroud,Nasri nyumbani ni wapi, hawatakutajia Arsenal.
Gabriel Martinelli has renewed his contract with Arsenal until 2027. [Sport] #afc
Headline news
Timu ya Fulham Fc wamefanya mazungumzo na Arsenal ili waweze kumsajili mlinzi kulia wa Arsenal Cedric Soares
#Arsenal_news
Gabriel Martinelli anakaribia kuongeza mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia Arsenal Mpaka mwaka 2027.
Arsenal kesho panapo majaaliwa
Mchezo huo utapigwa ktk viwanja vya mazoezi vya London Colney
Kocha wa Arsenal ametimiza miaka 3

Arteta akiwa Arsenal
Michezo
151
Ameshinda michezo
90
Sare michezo
21
Amepoteza michezo
40
Community shield
1
Fa cup
1
BREAKING: Arsenal are close to agreeing a new contract with Gabriel Martinelli that will see him become one of the club’s top earners.


Si mwingine bali niiiiiiiii......... Ethan Nanweri.Amario Cozier-Duberry.
Remember the name.
Saka mwingine huyu kutoka academy huyu hapa ,Ni suala la muda tuView attachment 2452732
Sheikh kipozeo hua ana kauli yake moja anapenda sana kuisema kila mara:Dogo una chuki na Arsenal paka inakupa uchizi, so Edu Gaspar, Pires, Adams, Arteta, Henry, Viera wanaichukia Arsenal? au unadhani Arsenal ni Nasri, Adebayor na Van persie tu?
Ile ligi yenu ya Dubai imeishia vipi?Arsenal kesho panapo majaaliwa
Watapiga mchezo wa kirafiki dhidi ya Luton town
Mchezo huo utapigwa ktk viwanja vya mazoezi vya London ColneyView attachment 2453136
Sasa Nani wakutufunga tukitaka Jambo letu?Ile ligi yenu ya Dubai imeishia vipi?
Mlifanikiwa kuchukua kombe?
Huyo Amario Ni saka mtupu , swala la muda tu utamuonaSi mwingine bali niiiiiiiii......... Ethan Nanweri.
Sasa Nani wakutufunga tukitaka Jambo letu?
Msimu huu tunapigania mataji matatu TU
EPL
FA cup
Europa




Kila la heri Mkuu, Imani ndio kila kitu. Wewe bana wewe una shida sehemu.Kila la heri Mkuu, Imani ndio kila kitu.
Mkiwa na imani japo ya punje ya haridari mnaweza kutwaa mpaka Uefa championships league ndani ya msimu huu huu mnaoshiriki Europa.
Wewe bana wewe una shida sehemu.


nizoee tu mkuu, mimi ndio nipo hivihivi tokea nipo ndani ya tumbo la bimkubwa.