Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
FIFA President Gianni Infantino mwenyewe ameishukuru sana Man United na kusema wachezaji wa United ndio wamenogesha zaidi michuano ya world cup mwaka huu, Infantino ameendelea kudai kuwa bila ya wachezaji wa Manchester hii michuano isingekua na tofauti yoyote na mashindano ya Ndondo cup.Unaona sasa Flano umeanza uongo, Macron alimpongeza Sofyan Amrabat tu....

Chiesa and Bonucci will NOT play against Arsenal in the friendly on Saturday due to injury