Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Unaona sasa Flano umeanza uongo, Macron alimpongeza Sofyan Amrabat tu....
FIFA President Gianni Infantino mwenyewe ameishukuru sana Man United na kusema wachezaji wa United ndio wamenogesha zaidi michuano ya world cup mwaka huu, Infantino ameendelea kudai kuwa bila ya wachezaji wa Manchester hii michuano isingekua na tofauti yoyote na mashindano ya Ndondo cup.
 
OllaChuga Oc Cash Money Forever lembu kumbe Chelsea ndio role model wa Arsenyani.
Kwenye kuta zote ndani ya gym ya Arsenal zimebandikwa picha za wachezaji wa chelsea na maneno ya kuwahamasisha ili siku moja na wao wawe na timu bora kama chelsea.

"A WINNER NEVER STOP TRYING"View attachment 2443727
Aya matakataka yanatukubali kinoma ndio akina Fabrigas, Gallas, Ashley Cole, Geroud walitoka arse8 wakaja kwetu wakapata mafanikio ya kutosha. Hamuna timu apo EPL isiyoipenda Chelsea. Chelsea ni mufano wa kuigwa, siyo manjestaa, siyo Livakuku, siyo nani..wote wanatamani kufikia mafanikio yetu. Sisi ndio Chelsea bwana, timu inayopendwa dunia nzima.🤣🤣🤣😂
 
FIFA President Gianni Infantino mwenyewe ameishukuru sana Man United na kusema wachezaji wa United ndio wamenogesha zaidi michuano ya world cup mwaka huu, Infantino ameendelea kudai kuwa bila ya wachezaji wa Manchester hii michuano isingekua na tofauti yoyote na mashindano ya Ndondo cup.
Cheki hii takataka sasa😂😂😂 hii manjestaa yenye matoto mchele mchele yameleta nini kwenye hii wod Kap 😳😳😳
 
Aya matakataka yanatukubali kinoma ndio akina Fabrigas, Gallas, Ashley Cole, Geroud walitoka arse8 wakaja kwetu wakapata mafanikio ya kutosha. Hamuna timu apo EPL isiyoipenda Chelsea. Chelsea ni mufano wa kuigwa, siyo manjestaa, siyo Livakuku, siyo nani..wote wanatamani kufikia mafanikio yetu. Sisi ndio Chelsea bwana, timu inayopendwa dunia nzima.🤣🤣🤣😂
Wewe OllaChuga Oc naona kichwa yako inajiless, Gallas alitoka Chelkenge ndo aka Arsenal, muone huyu au umeanza kushabikia mwaka amba JPM alikabidhiwa nji. Au mwezi mchanga?
 
@Davidornstein | Kipaumbele cha Arsenal katika dirisha la Januari ni Winga wa Shakhtar, Mykhaylo Mudryk.

Hakuna makubaliano lakini mazungumzo yanaendelea na Mudryk ana nia ya kujiunga na Arsenal.

Vyanzo vinasema dili linaweza kukamilika kwa dau litakalo kuwa chini ya €100m ambalo viongozi wa Shakhtar wametaja hadharani.
IMG_20221212_224439.jpg
 
Niwafungue tu akili, Arse88 ina kikosi kidhaifu sana hamuwez kubeba hat kikombe cha kahawa msimu huu. Mkitaka kuamini Angalien wachezaji wote wa Arse88 waliokua WC ni wawili tu ndio waliokua wanaanza kikosi ch kwanza kwnye timu zao.
Unadhani sisi Ni chelkenge

Kikosi Cha €300m

Uwanjani wanarukaruka
IMG_20221213_230247.jpg
 
Unadhani sisi Ni chelkenge

Kikosi Cha €300m

Uwanjani wanarukaruka View attachment 2447853
Hii picha yako inaonyesha Arsenyani ni wazee wa kuvuta banghe, yaani ni wale wa kulipuliza haswahaswa mpaka wengine wanahamishiwa kwenye hoteli ya Mirembe five stars.
Ndio maana humu mitusi haikauki kumbe sababu ni hayo majani ya chai.
Screenshot_20221215_221256.jpg
 
Na huyo Bellingham ni overated tu, makelele ya waingereza.
Bellingham Ni Overrated ipo wazi

Akikutana na Viungo wenye akili kidogo tu anapotea

Nilivyomuona mechi nyingi anatakiwa acheze alongside na 2 holding Midfielders ,ndio maana anaenda Liverpool ,maana Klopp atamtumia hivo

Ila akichezaga kwenye double pivot au no.10 huwa inategemea anakutana na Viungo gani

Mechi na USA ,alicheza Kama double 8 yeye na Mount nyuma Yao alikuwepo Rice , alipotezwa vibaya Sana ,alipoingia Henderson wakatulia .

Kinachonishangaza liverpool wame sacrifice msimu uliopita kutosajili kiungo wakisubiri summer 2023 watoe £130m kwa Bellingham.
 
Back
Top Bottom