Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Alexis Mac Allister ni moja kati ya wachezaji ambao ningependa tupambane sana kuwapata, ni kiuongo wa kati ambae anaweza akawa amebakiza vitu vichache kufikia ukamilifu.

Kwanza, anaweza kucheza kwenye hatua zote za kupanga mashambulizi (ya kwanza mpaka ya tatu).

Kwenye hatua ya kwanza (kwenye eneo letu chini kabisa) ubora wake upo kwenye kuchukua mali bila presha na kugeuka na kutoa, pia ni 'press resistant' (anaweza kukwepa presha ya kukabwa).

Kwenye hatua ya pili (katikati) ubora wake ni kwenye kupiga pasi na kucontrol tempo ya mchezo (anaweza akaamua tucheze kwa kasi ya kiwango gani) sio volume passer (mpiga pasi nyingi) lakini anaweza sana kupiga pasi fupi fupi na za mbali.

Kwenye hatua ya tatu (kwenye 1/3 ya mwisho ya adui) , anaweza kufanya mikimbio ya ndani ya box na kushambulia, japo hafanyi kwa kiwango kikubwa ila anafanya kwa kiwango chake.

Tuna utajiri wa namba 8 kwenye kikosi chetu, Ø, Smith-Rowe, Fábio Vieira, Nwaneri, Patino ila Mac Allister ni watofauti, anaweza kuleta vitu vingi mezani.
 
Alexis Mac Allister ni moja kati ya wachezaji ambao ningependa tupambane sana kuwapata, ni kiuongo wa kati ambae anaweza akawa amebakiza vitu vichache kufikia ukamilifu.

Kwanza, anaweza kucheza kwenye hatua zote za kupanga mashambulizi (ya kwanza mpaka ya tatu).

Kwenye hatua ya kwanza (kwenye eneo letu chini kabisa) ubora wake upo kwenye kuchukua mali bila presha na kugeuka na kutoa, pia ni 'press resistant' (anaweza kukwepa presha ya kukabwa).

Kwenye hatua ya pili (katikati) ubora wake ni kwenye kupiga pasi na kucontrol tempo ya mchezo (anaweza akaamua tucheze kwa kasi ya kiwango gani) sio volume passer (mpiga pasi nyingi) lakini anaweza sana kupiga pasi fupi fupi na za mbali.

Kwenye hatua ya tatu (kwenye 1/3 ya mwisho ya adui) , anaweza kufanya mikimbio ya ndani ya box na kushambulia, japo hafanyi kwa kiwango kikubwa ila anafanya kwa kiwango chake.

Tuna utajiri wa namba 8 kwenye kikosi chetu, Ø, Smith-Rowe, Fábio Vieira, Nwaneri, Patino ila Mac Allister ni watofauti, anaweza kuleta vitu vingi mezani.
Mu Argentina mwenzangu huyu dogo yupo vizuri sana Big up kwake
 
Kwa nini RVP amekuwa karibu zaidi na Man U kuliko Arsenal ambayo inemkuza kisoka na amekaa miaka mingi mpaka kuvaa kitambaa cha unahodha?

Man U RvP anapendwa sana na kupewa heshima kama Legend ila mashabiki wa Arsenal wenginksma wamepotea fulani hivi. View attachment 2451437
RVP kascore mno kwa team yetu ya Arsenal but nahisi big problem ni jinsi alivyoondoka Arsenal na kushangilia kwa dharau alivyotutoboa hapo watu wakafunga vioo kwake
 
Alexis Mac Allister ni moja kati ya wachezaji ambao ningependa tupambane sana kuwapata, ni kiuongo wa kati ambae anaweza akawa amebakiza vitu vichache kufikia ukamilifu.

Kwanza, anaweza kucheza kwenye hatua zote za kupanga mashambulizi (ya kwanza mpaka ya tatu).

Kwenye hatua ya kwanza (kwenye eneo letu chini kabisa) ubora wake upo kwenye kuchukua mali bila presha na kugeuka na kutoa, pia ni 'press resistant' (anaweza kukwepa presha ya kukabwa).

Kwenye hatua ya pili (katikati) ubora wake ni kwenye kupiga pasi na kucontrol tempo ya mchezo (anaweza akaamua tucheze kwa kasi ya kiwango gani) sio volume passer (mpiga pasi nyingi) lakini anaweza sana kupiga pasi fupi fupi na za mbali.

Kwenye hatua ya tatu (kwenye 1/3 ya mwisho ya adui) , anaweza kufanya mikimbio ya ndani ya box na kushambulia, japo hafanyi kwa kiwango kikubwa ila anafanya kwa kiwango chake.

Tuna utajiri wa namba 8 kwenye kikosi chetu, Ø, Smith-Rowe, Fábio Vieira, Nwaneri, Patino ila Mac Allister ni watofauti, anaweza kuleta vitu vingi mezani.
Mkuu unaota!!!!! Yaani McAllister aje Arsenane!!!!! Toka lini mkaweza kununua mchezaji aliyeshinda world cup!!! Nyie endeleeni kusajili vitoto vya form four B failure.
 
RVP kascore mno kwa team yetu ya Arsenal but nahisi big problem ni jinsi alivyoondoka Arsenal na kushangilia kwa dharau alivyotutoboa hapo watu wakafunga vioo kwake
Sio tu alivyowatoboa, na msimu wake wa kwanza united akabeba ndoo. Hata kama ni wewe lazima ungeona kule kwa wenger ulikuwa unapoteza muda.
 
RVP kascore mno kwa team yetu ya Arsenal but nahisi big problem ni jinsi alivyoondoka Arsenal na kushangilia kwa dharau alivyotutoboa hapo watu wakafunga vioo kwake
Jamaa aliwaheshimu sana,msimu wa kwanza aliwapiga nje ndani kama sikosei na wala hakushangilia hata kidogo.
RVP_3.jpg


Msimu uliofuata baada ya kubeba ndoo mkawa mnamshambulia mitandao hata tulipokutana mkawa mnamzomea kila akigusa mpira mpaka akatoka mchezoni mkasahau magoli yote aliyowafungia ,jamaa alivyopata chance Moja ya kuscore alishangilia kwa hisia sana mimi nilifurahi mno kibanda umiza jinsi alivyolipiza kisasi.
Robin-van-Persie-008.jpg


GOl-Robin-van-PErsie-vs-ARsenal-Squawka-1.jpg
 
Jamaa aliwaheshimu sana,msimu wa kwanza aliwapiga nje ndani kama sikosei na wala hakushangilia hata kidogo.View attachment 2452137

Msimu uliofuata baada ya kubeba ndoo mkawa mnamshambulia mitandao hata tulipokutana mkawa mnamzomea kila akigusa mpira mpaka akatoka mchezoni mkasahau magoli yote aliyowafungia ,jamaa alivyopata chance Moja ya kuscore alishangilia kwa hisia sana mimi nilifurahi mno kibanda umiza jinsi alivyolipiza kisasi.View attachment 2452144

View attachment 2452145
Nakumbuka siku hiyo alivyoshangilia baada kufunga, mashabiki ya Arsenyani yalivunja tv kwenye kibanda umiza tukashindwa kumalizia kuangalia mechi.
RVP alikua anawaheshimu sana Arsenyani, ila baada tu ya kujua mashabiki wake wengi wamekosa malezi ya pande mbili mpaka kufikia kumshambulia kwenye mitandao na kumzomea uwanjani, akaona hizi mbuzi za mzee Wenger hazina fadhila wala shukran, hamna umuhimu wa kuendelea kuwaheshimu watu wasio jiheshimu na kuamua kushangilia kwa nguvu zote kila anapowatia bao.
 
Alexis Mac Allister ni moja kati ya wachezaji ambao ningependa tupambane sana kuwapata, ni kiuongo wa kati ambae anaweza akawa amebakiza vitu vichache kufikia ukamilifu.

Kwanza, anaweza kucheza kwenye hatua zote za kupanga mashambulizi (ya kwanza mpaka ya tatu).

Kwenye hatua ya kwanza (kwenye eneo letu chini kabisa) ubora wake upo kwenye kuchukua mali bila presha na kugeuka na kutoa, pia ni 'press resistant' (anaweza kukwepa presha ya kukabwa).

Kwenye hatua ya pili (katikati) ubora wake ni kwenye kupiga pasi na kucontrol tempo ya mchezo (anaweza akaamua tucheze kwa kasi ya kiwango gani) sio volume passer (mpiga pasi nyingi) lakini anaweza sana kupiga pasi fupi fupi na za mbali.

Kwenye hatua ya tatu (kwenye 1/3 ya mwisho ya adui) , anaweza kufanya mikimbio ya ndani ya box na kushambulia, japo hafanyi kwa kiwango kikubwa ila anafanya kwa kiwango chake.

Tuna utajiri wa namba 8 kwenye kikosi chetu, Ø, Smith-Rowe, Fábio Vieira, Nwaneri, Patino ila Mac Allister ni watofauti, anaweza kuleta vitu vingi mezani.
Pia tungepata mtu kama Kola Muani kama mbadala wa Jesus
 
Ornstein told HaytersTV:

“Mudryk is the player they want to sign. They followed him for a long time, he was on their list of potential candidates during the summer transfer window. They looked at Pedro Neto as the priority then, but now they’ve turned their focus to Mudryk.

“They are in talks with Shakhtar and the player’s representatives. Arsenal are trying to do the deal.

“There are some people you speak to in the industry who think they will get it done. The Kroenkes are backing Edu as technical director and Mikel Arteta as manager to make this big final push to try and win the title.”
 
Kiungo wa zamani wa England na kocha wa vijana Arsenal Jack Wilshere ameeleza kuwa alishikwa na hisia kubwa wakati akiangalia mechi ya fainali za kombe la dunia .

”Nilitaka sana Messi ashinde, nilikuwa nikipiga kelele kwa furaha kila wakati Argentina wakipata goli, na nilikuwa napayuka kwa hasira wapinzani wao wakipata magoli. Filimbi ya mwisho ilipopigwa, nililia”

”Nimeshasema, Messi ni mchezaji bora kuwahi kutokea, na kwa yoyote aliyekuwa anabisha kwenye hili naamini sasa mjadala umekwisha”

”Ndio, Cristiano Ronaldo amekuwa mchezaji bora sana, lakini ninarudia Messi ametokea kwenye sayari nyingine”

”Ninawaambieni, huyu yupo juu ya wengine wote kwenye mchezo huu, hatutompata tena mchezaji wa aina hii- haitotokea”.
 
Mikel Arteta joined Arsenal as head coach #OnThisDay in 2019.

Since then, he has played games and won of them.

He also has two titles to his name.

Genius

View attachment 2452622
Huyu Mateka alijiunga kuichezea Arsenyani mwaka 2011-2016.
Katika miaka yake yote 6 aliyoichezea Arsenyani kaambulia kushinda makombe mawili tu ya FA Cup mwaka 2014 na mwaka 2016

Mwaka 2019 akasajiliwa kama kocha wa Arsenyani, ndani ya miaka 3 ya kufundisha Nyani za Emirates ameishia kushinda kombe moja tu la FA Cup mwaka 2020


Nyinyi mashabiki wa Arsenyani wenye ndoto za kubeba Epl shtukeni mapema, huyo Mateka wenu ni mzee wa makombe ya FA tu, tena wastani wake ni kila baada ya miaka 3 anapata kombe moja, hivyo tegemeeni kupata kombe lingine la FA baada ya miaka miwili mbele.

Nyie Nyani nawakumbusha tu msijifanye mmesahau, ngao ya hisani sio kombe.

Povu ruksaaaaaa
 
Huyu anahesabika Kama nyoka ,hata yeye analijua Hilo , hawezi kujisogeza Arsenal ,
Hakuna cha nyoka wala nini, Arsenal wachezaji wengi wakitoka wanapachukia mana hapana mafanikio. Hata leo hii ukiwauliza akina Fabrigus, A.cole, Giroud,Nasri nyumbani ni wapi, hawatakutajia Arsenal.
 
Back
Top Bottom