Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yule jamaa mwana siasa tulimwambia Aache siasa ,akawa analeta ujuaji

Arsenal haiwezi kusajili DM NA LCB January hii maana Ina option hayo maeneo ,Bali itajikita zaidi eneo la ushambuliaji .

Hayo maeneo ya DM na LCB Hadi kiangazi ,akatoa dharau na kashfa za kutosha.
Kama mfatiliaji wa arsenal ipo wazi eneo la backline Kuna option za kutosha sio Kati sio Pembeni
Eneo la DM Kuna Elneny , Ni eneo la Ushambuliaji ndilo linahitaji maboresho

Na Target kuu Ni mudrky ,Huyo Felix Ni kelele tu zakutafutiwa soko sio habari zinazoonekana zipo mbele Sana.
Edu said

we are going for players we have scouted in areas we need rather than fill those position with players recommended by agents.
 
() Arsenal are seemingly relaxed and unlikely to panic in the January market but there is a clear desire and appetite to invest and improve Arteta's squad.


(@RyanTaylorSport)- RELIABLE
IMG_20221214_141244.jpg
 
uN
Huyo Flano soon ataunga juhudi ImaratI
UNAMWONA KAMA SHABIKI MPYA WA THE GUNNERS MUDA SI MREFU? 😀 😀 😀 Hapana bwana. Ingawa hata yeye mwenyewe ManUTD anawaita manyumbu, yeye ni mpenzi tuwa mpira na anajua kutokujipa stress za kijingakisa mpira. Kifupi jamaa yuko matured.
 
😀😀😀 siku hizi naingia humu kusoma updates lakini zaidi ni kusoma Flano na Carrasco putin wamepost nini. World cup ikiisha habari za arsenal zitarejea 😀😀
Safi sana mkuu ila usiwe unapita kimya kimya, uwe unachangia mada japo kidogo.
Sasa hivi mimi nimeweka kambi humu maana jukwaa lenu limekua la moto sana halipoi.
Vijana wenu wanatwambia Arteta lazima achukue tuzo yake Qatar, maana yeye ndie mwalimu wa makocha wa timu ya Morocco na Argentina.
 
Safi sana mkuu ila usiwe unapita kimya kimya, uwe unachangia mada japo kidogo.
Sasa hivi mimi nimeweka kambi humu maana jukwaa lenu limekua la moto sana halipoi.
Vijana wenu wanatwambia Arteta lazima achukue tuzo yake Qatar, maana yeye ndie mwalimu wa makocha wa timu ya Morocco na Argentina.
Siku hizi nafasi imekuwa finyu sana kwangu. Hata mechi nashiindwa kuangalia. Mambo juu ya mambo ila nifanyeje sasa na ujana ndiyo upo sasa hivi? 😀 😀 😀 Acha tupigane na life kwanza . Nikishakaa sawa nitarudi mazima.
 
uN

UNAMWONA KAMA SHABIKI MPYA WA THE GUNNERS MUDA SI MREFU? 😀 😀 😀 Hapana bwana. Ingawa hata yeye mwenyewe ManUTD anawaita manyumbu, yeye ni mpenzi tuwa mpira na anajua kutokujipa stress za kijingakisa mpira. Kifupi jamaa yuko matured.
Mwambie huyo @ulikamafu mpira ni starehe na burudani iliyojaa ucheshi, asiichukulie serious sana mpaka akapata depression.
Wazungu wenye timu zao huko ulaya wanapiga mkwanja mrefu halafu nyinyi mashabiki mliokunywa maji ya bendera mnaanza kugombana na kutukanana wengine mpaka wanauana kisa kushabikia hizi biashara za wazungu.
 
Mwambie huyo @ulikamafu mpira ni starehe na burudani iliyojaa ucheshi, asiichukulie serious sana mpaka akapata depression.
Wazungu wenye timu zao huko ulaya wanapiga mkwanja mrefu halafu nyinyi mashabiki mliokunywa maji ya bendera mnaanza kugombana na kutukanana wengine mpaka wanauana kisa kushabikia hizi biashara za wazungu.
Kabisa mkuu. Huwa siwaelewi watu wanaotukanana humu kabisa.
 
uN

UNAMWONA KAMA SHABIKI MPYA WA THE GUNNERS MUDA SI MREFU? 😀 😀 😀 Hapana bwana. Ingawa hata yeye mwenyewe ManUTD anawaita manyumbu, yeye ni mpenzi tuwa mpira na anajua kutokujipa stress za kijingakisa mpira. Kifupi jamaa yuko matured.
Safi sana.... kweli matured n stressless na haporomoshagi matusi. Ila ataunga juhudi we sikilizia...
 
Siku hizi nafasi imekuwa finyu sana kwangu. Hata mechi nashiindwa kuangalia. Mambo juu ya mambo ila nifanyeje sasa na ujana ndiyo upo sasa hivi? 😀 😀 😀 Acha tupigane na life kwanza . Nikishakaa sawa nitarudi mazima.
safi sana Mkuu, huo ndio ukomavu wa akili, Mwanaume anaejielewe huu ndio umri wenyewe wa kupambana na maisha.
Kuna mbuzi humu zisizojielewa ziko tayari kuharibu kazi zao kisa AsaniWali wapo uwanjani.
Mkuu MUNGU akubariki sana na azidi kukufungulia baraka zake katika mapambano yako ya kutafuta riziki yako ya halali.
 
Dubai cup

Madogo wamepewa nafasi

Karl Hein ameonesha kiwango kizuri, kila mechi ilikuwa na penalties Baada ya mechi bila kujalisha umeshinda au umefungwa

Karl Hein amepata clean sheet moja katika mechi 2, kwenye mikwaju ya penalties ameokoa penalties 5

View attachment 2446387
Dogo ana ujuma kaseja fulani kwenye kuchheza penati.
 
Yule jamaa mwana siasa tulimwambia Aache siasa ,akawa analeta ujuaji

Arsenal haiwezi kusajili DM NA LCB January hii maana Ina option hayo maeneo ,Bali itajikita zaidi eneo la ushambuliaji .

Hayo maeneo ya DM na LCB Hadi kiangazi ,akatoa dharau na kashfa za kutosha.
Kama mfatiliaji wa arsenal ipo wazi eneo la backline Kuna option za kutosha sio Kati sio Pembeni
Eneo la DM Kuna Elneny , Ni eneo la Ushambuliaji ndilo linahitaji maboresho

Na Target kuu Ni mudrky ,Huyo Felix Ni kelele tu zakutafutiwa soko sio habari zinazoonekana zipo mbele Sana.
Mkuu hamis77 mbona unataka kufufua tena majibizano yasiyo na tija yoyote ambayo tulishakubaliana katika kutokukubaliana.
hamis77 kwa busara zako wewe ndio nakutegemea uwe kiranja wa hili jukwaa katika kusuluhisha migogoro yote isiyo na tija, naomba usiniangushe kwa hili.
Sasa hivi mashabiki wa timu nyingine zote wanalichukulia hili jukwaa la Arsenyani kua ni jukwaa lililojaa utoto mwingi kutokana na mabishano yasiyo na maana yanayopelekea kuanza kutukanana wenyewe kwa wenyewe.
 
Nyie Arteta ndio kama mungu wenu, atakachosema ndio hicho hampingi. Siku akiwaomba kidoti amchelewi kumpa nyie misukule ya arteta.
 
Back
Top Bottom