Sasa unamhadaa adui gani wakati wachezaji wote hao wawili kuna timu zaidi ya 3 zimeshapeleka offer zao kwa kila mchezaji.Kuna kitu hamjajifunza kwenye usajili.felix anaweza kutumika kuwarubuni wapinzani ili biashara ya mudrick ifanyike kwa utulivu.kwa nionavyo mimi usajili ni kama vita na kuna mbinu nyingi za kumuhadaaa adui
Nan alikubishia ? Tulikwambia huna chakuwapangia Bodi na Arteta wakimtaka mtuUna maoni Gani baada ya experts wa kweli kwenye recruitment ya Arsenal kusema he's the perfect fit?
Punguza ujuaji, hakuna aliyekwambia Felix Ni mbovu, usi twist maneno, tulikwambia Mchezaji atakuja arsenal atakapokubaliwa na bench la ufundi sio matakwa ya mashabiki Kama wewe ,n.kI said it kuwa Felix ndio perfect fit ila "experts" mkanishambulia eti Felix hawezi lolote na kwamba Hana namba kwenye mfumo wa Arsenal!!
Next time mpunguze emotions na ujuaji.
Acha ujuaji Flano,huyu tulimkatalia na tutampinga kwa nguvu zote ,kutaka wachezaji wake ndio wasajiriwe huku wale anaowataka mwalimu kuwa Ni wabovuTena walikushambulia kama vile fisi wameona mzoga, tatizo humu kumejaa misukule ya Arteta, ukianza kumtaja mchezaji unaetamani aje Arsenal kabla Arteta hajamtaja unaonekana ni msaliti/mamluki unaempangia Arteta kazi.
Wacha leo wale matapishi yao wenyewe.
Umekuwa chawa Siku hiziTena walikushambulia kama vile fisi wameona mzoga, tatizo humu kumejaa misukule ya Arteta, ukianza kumtaja mchezaji unaetamani aje Arsenal kabla Arteta hajamtaja unaonekana ni msaliti/mamluki unaempangia Arteta kazi.
Wacha leo wale matapishi yao wenyewe.
Kuna sehemu nilisema Felix hafai?Una maoni Gani baada ya experts wa kweli kwenye recruitment ya Arsenal kusema he's the perfect fit?
Unajisikiaje usiyemtaka akija?Angepatikana Joao Felix dah angekua perfect fit kwa mfumo wa Arsenal anaweza LW/RW pia CAM/CF. Kuliko huyo Murdyk wa 70M ambaye hajawa proven kwenye ligi za ushindani.
Unajisikiaje watu ndio Kwanza wapo serious na kijana wa kiyukraine?Mfumo Gani? Kwani Felix utamlinganisha na nani hapo Arsenal? He's better than Martinelli and Saka akija arsenal anaweza cheza nafasi ya Jesus, Odegaard au Saka or Martinelli Sasa mfumo Gani huo unique wa arsenal asicheze??
Mnasema washabiki uchwara, Sasa wwe hapo Murdyk au Danilo unamjua au ndio akitajwa tu na tabloids za arsenal unaunga mkono hoja? Kila mtu anajua Danilo is average ila ni humu JF tu mnamkuza sana kuliko uhalisia.
I remember ulidai Lokonga eti ni understudy wa Partey na sifa kibao Leo utasemaje?? You should be the last person kutoa maoni kwenye technical aspects za wachezaji
Hawa tunawapiga Kama Lyon alichezea 3-0Aaron Arsenal kumbe leo jioni mnacheza na Ac Milan halafu mmekausha kimya hata hamsemi? View attachment 2444725
Hapana ulisema wazi kuwa Hafit kwenye mpango wa Arteta na Hana namba na kwamba nimtafutie timu ya kucheza!!Nan alikubishia ? Tulikwambia huna chakuwapangia Bodi na Arteta wakimtaka mtu
Mbona husemi Kwanini ulidai Mudrky hafai ,na hao Expert ndio wamepitisha na ndio top Target
Hii hapa post ukimponda Felix kwamba mfumo wa Arsenal atafeli!! Ndio nakuuliza unajiskiaje baada ya experts wa recruitment hapo Arsenal kusema ana fit?Huyo Felix tafuta timu yako akacheze, wachezaji wangapi wazuri kuliko Huyo Felix , wameenda timu nzuri wanafeli sababu ya mifumo?
Huyo Felix ,World cup anafanya Nini Cha maana kuliko kina Saka?
Hii hapa post ukiniponda nilipo suggest kwamba we need to cover LCB ukadai sijui Mpira.Wewe kajikite kwenye Siasa
White Maga wamecheza Kama RcB na LCB , Bado Kuna option ya kuwatumia Saliba na white
Unapiga ramli Nan acheze RB?
HUJUI Arsenal msimu huu RB anacheza white , na alhamis Anacheza Tomiyasu as RB ,
Kabla hata LCB hujamfikilia Kuna Partnership ya Saliba White ,White magalhaes, White Holding , Saliba Magalhaes
Una maoni Gani kwa Sasa mkuu? Au tumeanza kuelewana juu ya Felix?Huyo Felix wako tafuta timu mpeleke, Kama kocha wetu hamuhitaji usilazimishe ,
Arsenal haichezi ilimradi,Ina mfumo rasmi, sio kila mchezaji ataingia ,ndio maana Ozil, Auba , Leno, walioneshwa mlango wakutokea
Huyo Felix hata world cup hatumsikii ,tunakasikia kina Saka, Mbappe, Rashford , n.k
I suggested Felix long way kabla rumours hazijaanza ukanishushua weeeee mara sijui mchezaji wa mfukoni.Wewe hao wachezaji wako wa mfukoni ,Hawawez kuja Arsenal
Kuna wenzako humu walimtaka Onana over Ramsdale, Emerson Royal over Tomiyasu, Buendia over Øde,
Mwisho walitulia ,na wewe utatulia
Kwani kipindi natoa maoni kuhusu Felix huyu Mudryk hakuwa top on the list? Nyie ndio mkapinga kuwa Felix Hana lolote na mfumo hauwezi mfit. Ndio nawauliza mna maoni Gani kwa Sasa ambapo Arsenal imeingia kwenye contest ya kumsajili Felix?Unajisikiaje watu ndio Kwanza wapo serious na kijana wa kiyukraine?
️Arsenal remain the leading club to sign Mudryk. The price will be less than the 100m euro tag but will be significant sum. All about finding agreement with Shaktar. Arsenal are into it and in contacts to get it done.
(@FabrizioRomanovia @podcastherewego )
Mie msimamo wangu ulikua wazi kuwa Mudryk sio kiwango Cha Felix so I'd rather buy Felix than Mudryk ilihali bei zao wote ziko juu!!Unajisikiaje usiyemtaka akija?
Sources with knowledge of the deal (Mudryk to Arsenal) think there is a good chance it will happen, though nothing is agreed at present. While Arsenal may have alternative possibilities, Mudryk is their focus.
David_Ornstein
Kweli umeamua mkuu.Mie msimamo wangu ulikua wazi kuwa Mudryk sio kiwango Cha Felix so I'd rather buy Felix than Mudryk ilihali bei zao wote ziko juu!!
Nyie ndio mkasema sijui lolote mara sijui Arteta anona Mudryk anafiti ila Felix Hana namba kwenye mfumo.
Leo wenye timu yao hatimaye wanakiri kuwa Felix anafiti kwenye mfumo!!
So sikuja hapa kubishana ila kuwaeleza tu kuwa next time heshimu maoni ya wengine.
Ndicka umemfurahia rumours zilipokuja ila Mimi niliongelea issue ya kusajili beki kuongeza cover mkasema sijui Mpira mara sijui Kuna combinations!!! Mbona hamjamkataa Ndicka Sasa si mlisema timu ipo covered kwenye defence?
1. Sipindishi maneno Mudryk is not better than Felix na uzuri Arsenal imekubali Hilo ndio maana wameingia kwenye race ya Felix.Punguza ujuaji, hakuna aliyekwambia Felix Ni mbovu, usi twist maneno, tulikwambia Mchezaji atakuja arsenal atakapokubaliwa na bench la ufundi sio matakwa ya mashabiki Kama wewe ,n.k
Ni wewe uliongoza humu kuponda kwanini wanamtaka Danilo na Mudrky
Tena ukamponda Sana Mudrky na Danilo
Sasa mudrky source Tier 1 zinasema Dili litakamilika January