Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Gabriel Jesus will be analysed by the Arsenal doctors when he returns to London Colney next week. If they decide he needs surgery then he’ll be out for around three months.

If he doesn’t need surgery it’ll be a matter of weeks, not months. #afc
It all depends on whether Gabriel Jesus needs surgery, however he has been dealing with this right knee problem since before the World Cup, so it’s not something new to the Arsenal doctors.

Next week will decide the time frame, so let’s wait and see… #afc
 
Hivi timu haijapaa Dubai ? Au inaondoka leo? I think inasepa Leo

So Arteta na edu walienda kuonana na KSE kabla hawajapaa Dubai?

Kwasasa Arteta ,edu, ni moja ya memba wa Bodi ya Arsenal

Toka Arteta awe Manager na Edu sporting Director wanaingia moja kwa moja kwenye Vikao vya Bodi na kujadili Usajiri, Arteta ana Nguvu kwenye usajiri wakuamua Nani aingia Nani atoke ,

@AFTVMedia presenter @Cecil_jee on Instagram, with Edu Gaspar, Stan Kroenke, Mikel Arteta, Josh Kroenke & Tim Lewis in Los Angeles last night.
IMG_20221204_115908.jpg
 
Gabriel Jesus will be analysed by the Arsenal doctors when he returns to London Colney next week. If they decide he needs surgery then he’ll be out for around three months.

If he doesn’t need surgery it’ll be a matter of weeks, not months. #afc
It all depends on whether Gabriel Jesus needs surgery, however he has been dealing with this right knee problem since before the World Cup, so it’s not something new to the Arsenal doctors.

Next week will decide the time frame, so let’s wait and see… #afc
Nasubiri nisikie "we'll buy when the right opportunity arrives"!!

Jana nimeongea hapa kuwa depth ni muhimu Sasa ona mpaka Jesus kaumia ndio mnawaza kusajili 9??? Au kwa akili ya Arteta anadhani Nketiah ni first team material?

Ni kocha mzuri ila akijichanganya kwenye kusajili forward ndio itakua anguko lake.
 
Gabriel Jesus was seen today leaving the #Brasil camp & is his on his way to Arsenal.

Factor that will determine his time out is the need for surgery (to assessed by Arsenal. If surgery is done,could be out for 3 months

Pain started at beginning of world cup

(@geglobo)
IMG_20221204_125558.jpg
 
Nasubiri nisikie "we'll buy when the right opportunity arrives"!!

Jana nimeongea hapa kuwa depth ni muhimu Sasa ona mpaka Jesus kaumia ndio mnawaza kusajili 9??? Au kwa akili ya Arteta anadhani Nketiah ni first team material?

Ni kocha mzuri ila akijichanganya kwenye kusajili forward ndio itakua anguko lake.
Mimi..Sina tatizo na Eddie kuhusu kufunga ,ninachotaka aendelee kufanya Zile pressing, movement zake za hatari

Timu yetu Ni nzuri Sana,

Ndio maana hata Fabio vieira anajitafuta ila ukimuweka kwenye first eleven anakupa A performance

Eddie anahukumiwa kwa angle moja msimu huu anakosa Sana magoli .

Lakini turud tuangalie angles nyingine,Ni humu.humu walikuwa wanamsifia kwa movement ,pressing

Kwa Mimi...nionavyo system ya arsenal ipo kumfanya CF afunge ikiwa anauwezo mkubwa wa kutumia nafasi ,lakin inatoa mwanya kwa wingers na double 8s kufunga

Ndio maana GJesus ana mechi 9 hajui goli

Arsenal usitegemee wataleta typical no.9 , anatafutwa winger ambaye bado anaweza kutokea pemben then Martinell au Nketiah wakasimama Kati

Hadi Sasa Arsenal haina typical no 9 hata Jesus sio CF, movement zake zote anatokea pembeni .

Anarudi Smith Rowe ambaye anatokea pemben kwa Martinel , Anakuja Winga LW , Sioni Arsenal wakisajiri no.9 maana hata Jesus sio no.9 asilia
 
Mimi..Sina tatizo na Eddie kuhusu kufunga ,ninachotaka aendelee kufanya Zile pressing, movement zake za hatari

Timu yetu Ni nzuri Sana,

Ndio maana hata Fabio vieira anajitafuta ila ukimuweka kwenye first eleven anakupa A performance

Eddie anahukumiwa kwa angle moja msimu huu anakosa Sana magoli .

Lakini turud tuangalie angles nyingine,Ni humu.humu walikuwa wanamsifia kwa movement ,pressing

Kwa Mimi...nionavyo system ya arsenal ipo kumfanya CF afunge ikiwa anauwezo mkubwa wa kutumia nafasi ,lakin inatoa mwanya kwa wingers na double 8s kufunga

Ndio maana GJesus ana mechi 9 hajui goli

Arsenal usitegemee wataleta typical no.9 , anatafutwa winger ambaye bado anaweza kutokea pemben then Martinell au Nketiah wakasimama Kati

Hadi Sasa Arsenal haina typical no 9 hata Jesus sio CF, movement zake zote anatokea pembeni .

Anarudi Smith Rowe ambaye anatokea pemben kwa Martinel , Anakuja Winga LW , Sioni Arsenal wakisajiri no.9 maana hata Jesus sio no.9 asilia
Angepatikana Joao Felix dah angekua perfect fit kwa mfumo wa Arsenal anaweza LW/RW pia CAM/CF. Kuliko huyo Murdyk wa 70M ambaye hajawa proven kwenye ligi za ushindani.
 
Angepatikana Joao Felix dah angekua perfect fit kwa mfumo wa Arsenal anaweza LW/RW pia CAM/CF. Kuliko huyo Murdyk wa 70M ambaye hajawa proven kwenye ligi za ushindani.
Most of Arsenal players aliosajiri Arteta hawakuwa na majina na wengi walibezwa Sana .

Rejea Øde , Ramsdale ,Tomiyasu, Ben White, n.k

Ngoja tuone January wanakuja na option gani ,Jana walikuwa na kikao Cha Bodi
 
No confirmation of reports in Brazil that Jesus is out for three months. Arsenal sources saying it's still too early to say and time will tell

(@SamJDean)
 
Matajiri wa timu wamekutana na Mikel Arteta na Edu.

Bila shaka kilikuwa ni kikao cha kutoa pesa za usajili wa January., kabla Timu haijaelekea Dubai .

Baada ya hiki kikao tutarajie soon kuona Dili mbili Murdky na Danilo zikienda kwa Kasi .

Maana Arteta anaruhusiwa kuingia kwenye Vikao vya Bodi na kuongea atakacho , hii ndio maana ya kuwa MANAGER tofauti na head coach unaletewa mapendekezo au mchezaji usiyemtaka ,Kama Kipindi Emery Ni head coach ,analetewa ofisini majina ya kina Pepe ,n.k

Project iko pale pale
IMG_20221204_133630.jpg
 
Sam Dean kutoka Telegraph huyu Ni Reliable ,inaonesha Moja ya Ajenda za Jana

() Arsenal try to plan their transfer business well in advance of windows opening & had prioritised a move for a winger in January. A central midfielder is also on the agenda. It remains to be seen whether the injury to Jesus will force Edu to re-think his plans. (@SamJDean)
 
Labda wewe unatamani awe shoga Kwa sababu zako binafsi/ matamanio ya moyo wako. Jokes aside, pamoja na utani wa kimichezo, ni vema mashabiki mkjifunza kuwa na utu, mambo serious na machungu yanayohusu familia za watu, hata kama hamuwajui, siyo ya kuletea matani ya kimasikhara.
Moja kati ya watu ntampa ignore kwa mara ya kwanza ni huyu
 
Nasubiri nisikie "we'll buy when the right opportunity arrives"!!

Jana nimeongea hapa kuwa depth ni muhimu Sasa ona mpaka Jesus kaumia ndio mnawaza kusajili 9??? Au kwa akili ya Arteta anadhani Nketiah ni first team material?

Ni kocha mzuri ila akijichanganya kwenye kusajili forward ndio itakua anguko lake.
Unajua kuna muda arsenal walikuwa wanasajili kwa presha na hisia kilichoitokea timu kila mtu anakijua.unajikuta unawachezaji ambao hawana msaada na hawauziki.na arsenal hawajasema wanachukua ubingwa msimu huu ila hiyo ni ndoto ya kila timu iayocheza epl
 
Unajua kuna muda arsenal walikuwa wanasajili kwa presha na hisia kilichoitokea timu kila mtu anakijua.unajikuta unawachezaji ambao hawana msaada na hawauziki.na arsenal hawajasema wanachukua ubingwa msimu huu ila hiyo ni ndoto ya kila timu iayocheza epl
Kama habari za Jesus za kuwa nje kwa 3 months lazima tutafute mtu wa kariba yake au hata aliyemzidi(licha kwa soko la January ni gumu sana)kama Nketiah ndiye atakuwa goal scorer wetu 2 weeks hapa tutakuja kutukanana sisi wenyewe Arsenal fans ,mtu kama Nketiah alitakiwa awe ameshasepa long time sana ni mbahatishaji, ila kwa Jesus kwa kweli licha hajafunga muda but utaona why ana umuhimu sana kwetu anaweza kuleta hatari muda wowote ule kama Arteta ana uwezo wa kutumia false namba 9 kwa kipindi kilichobaki pia itakuwa heri
 
Kama habari za Jesus za kuwa nje kwa 3 months lazima tutafute mtu wa kariba yake au hata aliyemzidi(licha kwa soko la January ni gumu sana)kama Nketiah ndiye atakuwa goal scorer wetu 2 weeks hapa tutakuja kutukanana sisi wenyewe Arsenal fans ,mtu kama Nketiah alitakiwa awe ameshasepa long time sana ni mbahatishaji, ila kwa Jesus kwa kweli licha hajafunga muda but utaona why ana umuhimu sana kwetu anaweza kuleta hatari muda wowote ule kama Arteta ana uwezo wa kutumia false namba 9 kwa kipindi kilichobaki pia itakuwa heri
Ile workrate ya Jesus Ni ya Hali ya juu, Arsenal wanamfanyia scan zaidi, Kisha Kama itakuwa Surgery Basi ni wiki 12 nje ,so anaweza kurudi February , atakosa karibu mechi 5 za EPL

Asipofanyiwa surgery atakuwa nje wiki 3-4 atakosa mechi 2
 
Ile workrate ya Jesus Ni ya Hali ya juu, Arsenal wanamfanyia scan zaidi, Kisha Kama itakuwa Surgery Basi ni wiki 12 nje ,so anaweza kurudi February , atakosa karibu mechi 5 za EPL

Asipofanyiwa surgery atakuwa nje wiki 3-4 atakosa mechi 2
Hapo naona watamfanyia tu surgery ili apone kabisa wiki 12 ni nyingi sana hasa tunapotaka top 4 na games zitakuwa mfululizo ili league iishe mapema nahisi next week decision itafikiwa
 
Back
Top Bottom