Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Saka walau Kuna nelson na marquinhos wanaweza Unga Unga kidogo... Upande wa Martinelli Kuna ESR anarudi January nadhani.

Labda kwa Gabriel ndio Hana sub ya LCB. Ila Saliba sub yake ni White so sio issue sana.

Eneo muhimu pekee ni Jesus na sub ya Partey maana bila midfield na Striker wa kueleweka tusahau top 4
Namuheshimu white ila alichokifanya saliba ni miles kadhaa mbele.
 
Nadhani unaona Liverpool inavyotaka kununuliwa na Msaudia.... Hapo Bado Man UTD naye Kuna rumours ikauzwa. Remember Newcastle nao wanazidi kupanda let alone Spurs, Chelsea na man City wanazidi kuimarika.

Hii ndio chance pekee ya kuingia UCL na kushinda ligi tukikosa hii nafasi tutajutia milele. It's a now or never situation hiki kiburi Cha kuepuka "panic buy" kilitukosesha UCL msimu uliopita na mentality hii ikiendelea tutakosa sio tu ligi ila hata top 4!!

Then msimu ujao kikosi kitakua exhausted, kina Saka na Martinelli hawatasaini mkataba mpya, na itakua downfall ya Arteta na Arsenal kwa ujumla. Sijui kwanini hamuelewi huu msimu ndio make or break!!

Jesus anahitaji sub pia Saka na Partey wanahitaji sub hata kama ni mizigo ila we need depth. Mara kumi hata tusajili kwa mkopo ilimradi kuwepo na kikosi kipana kutuvusha top 4 ama ubingwa kabisa.
Arsenal msimu uliopita hawakuwa na malengo ya kuingia top 4 elewa Hilo Kwanza,

Project ya Arsenal chin ya Edu na Arteta wanayoiita The Arsenal way ,Ni ya miaka mitano , ndio maana hata usajiri ulilenga hasa umri miaka 20-24

Msimu uliopita wanasema ilikuwa Ni kucement Style ya uchezaji ,na timu iingie top 6 tu, ndio maana hata usajiri ulilenga wachezaji wanaoingia kwenye mfumo na ku trim kikosi kuondoa Deadwoods kitu ambacho kwa 90% wamefanya ,

Arteta alipoingia top 5 tu, huku ametoka kupoteza Mechi 3 mfululizo, Asubuhi aliitwa ofisini kwa Josh Kroenke akapewa mkataba mpya .

Msimu uliopita ndio msimu ambao Arteta Ali establish mfumo wa 4-3-3 wenye namba 8 wawili ambao alisema anataka Arsenal iucheze huo, ila Hana wachezaji wakucheza karibu 6.


Msimu uliopita Hatukuwa na backup upande wa LB,RB na DM ambaye Ni Partey type.,kumbuka alikuwepo Elneny ambaye alifanya vizuri TU

Mapengo yaligharimu mwishoni yalikuwa LB kuumia kwa Tierney ,RB kuumia kwa Tomiyasu, ikabid White arudi RB na CB acheze holding ambaye Ni average player

Nafasi ya Partey alicheza Elneny ambaye kwa Arteta anaaminika hata Sasa hawana mpango wakumuuza

Martinel,Saka, Saliba , Ramsdale wote mikataba ipo mezani na taarifa Reliable zinasema muda wowote watasaini, Martinel alitamka hadharan APEWE PENI ASAINI
 
Nadhani unaona Liverpool inavyotaka kununuliwa na Msaudia.... Hapo Bado Man UTD naye Kuna rumours ikauzwa. Remember Newcastle nao wanazidi kupanda let alone Spurs, Chelsea na man City wanazidi kuimarika.

Hii ndio chance pekee ya kuingia UCL na kushinda ligi tukikosa hii nafasi tutajutia milele. It's a now or never situation hiki kiburi Cha kuepuka "panic buy" kilitukosesha UCL msimu uliopita na mentality hii ikiendelea tutakosa sio tu ligi ila hata top 4!!

Then msimu ujao kikosi kitakua exhausted, kina Saka na Martinelli hawatasaini mkataba mpya, na itakua downfall ya Arteta na Arsenal kwa ujumla. Sijui kwanini hamuelewi huu msimu ndio make or break!!

Jesus anahitaji sub pia Saka na Partey wanahitaji sub hata kama ni mizigo ila we need depth. Mara kumi hata tusajili kwa mkopo ilimradi kuwepo na kikosi kipana kutuvusha top 4 ama ubingwa kabisa.
Hiki unachosema wewe , Arteta na Edu walisema hadharan hawawezi kufanya kamwe, walisema wamepata kazi kubwa Sana kuwaondoa Deadwoods, hivo Kama wanakosa mtu sahihi sokon Ni Bora wasisajiri kabisa ,wakatoa mfano

Walimuhitaji Raphina Kama backup ya Saka na Martinell ,Lakini aka opt kwenda Barca ,wakaenda kwa Neto ,ikapandishwa Bei, wakasema hawatasajiri ilimradi,

Hata Bid ya Douglas Luiz ,ilikuja Baada ya Elneny kuumia ,

Kilichopo Sasa Anatafutwa Winger ambaye ataweza kucheza flanks zote mbili ,Awali walimlenga Raphina ,kwasasa Ni Murdky kutoka Shaktar donesk ,

Kiungo kutoka Palmerais Brazil anacheza no.8 na no.6 miaka 22 ,

Ni rahisi kusema atafutwe backup ya Partey ,lakin sokoni sio rahisi kumpata ,inahitaji skauti kutulia ,Kama unakumbuka hata Partey huyu sio yule aliyekuja

Ilifika hatua akawa na performance mbovu Sana akajipa 4/10

Lakini akaja kusema Sasa ameshamuelewa kocha anataka Nini ,ndipo unampata huyu Partey

Uchezaji wa Partey anapokea pasi kutoka back 4 anafanya turn moja , Kisha atapiga pass moja tu inayovunja mstari wa pinzani .

So hata backup ya Partey akija lazima aingie taratibu

Kwa sokoni labda uvunje benk ubebe De jong,
 
"Arsenal are relatively safe (FFP) .UEFA is moving towards a new form of FFP called ‘Financial & Sustainability’. In that system, clubs are assessed on wages as % of revenue.Arsenal’s wages went down hugely in 21-22, the club is now well within the limits"
IMG_20221203_180647.jpg
 
Arsenal lost 4-2 to Watford at London Colney today.

Goals from Marquinhos and Nketiah had Arsenal leading 2-1 at the break. Arteta then replaced the entire outfield XI at half-time with U21s players and they ended up losing 4-2.
IMG_20221203_190909.jpg
View attachment 2434701
 
Arsenal msimu uliopita hawakuwa na malengo ya kuingia top 4 elewa Hilo Kwanza,

Project ya Arsenal chin ya Edu na Arteta wanayoiita The Arsenal way ,Ni ya miaka mitano , ndio maana hata usajiri ulilenga hasa umri miaka 20-24

Msimu uliopita wanasema ilikuwa Ni kucement Style ya uchezaji ,na timu iingie top 6 tu, ndio maana hata usajiri ulilenga wachezaji wanaoingia kwenye mfumo na ku trim kikosi kuondoa Deadwoods kitu ambacho kwa 90% wamefanya ,

Arteta alipoingia top 5 tu, huku ametoka kupoteza Mechi 3 mfululizo, Asubuhi aliitwa ofisini kwa Josh Kroenke akapewa mkataba mpya .

Msimu uliopita ndio msimu ambao Arteta Ali establish mfumo wa 4-3-3 wenye namba 8 wawili ambao alisema anataka Arsenal iucheze huo, ila Hana wachezaji wakucheza karibu 6.


Msimu uliopita Hatukuwa na backup upande wa LB,RB na DM ambaye Ni Partey type.,kumbuka alikuwepo Elneny ambaye alifanya vizuri TU

Mapengo yaligharimu mwishoni yalikuwa LB kuumia kwa Tierney ,RB kuumia kwa Tomiyasu, ikabid White arudi RB na CB acheze holding ambaye Ni average player

Nafasi ya Partey alicheza Elneny ambaye kwa Arteta anaaminika hata Sasa hawana mpango wakumuuza

Martinel,Saka, Saliba , Ramsdale wote mikataba ipo mezani na taarifa Reliable zinasema muda wowote watasaini, Martinel alitamka hadharan APEWE PENI ASAINI
Mkuu tupo hapa, tusiposajili 6,9, na 7/11 hata top 4 hatugusi. Na hao uliotaja hawatosaini wanasikilizia trend ya timu mwisho wa msimu waone ambition ipoje. Na tukiwapoteza hao sababu ya lack of UCL na makombe tegemea msimu ujao vipigo tu na Arteta atafukuzwa tutaanza Tena A.

Hivi hamjifunzi kwa Solskjaer au Emery? Walienda unbeaten ngapi? Mpaka UEL final ila wakafukuzwa kama panya!!
 
Mkuu tupo hapa, tusiposajili 6,9, na 7/11 hata top 4 hatugusi. Na hao uliotaja hawatosaini wanasikilizia trend ya timu mwisho wa msimu waone ambition ipoje. Na tukiwapoteza hao sababu ya lack of UCL na makombe tegemea msimu ujao vipigo tu na Arteta atafukuzwa tutaanza Tena A.

Hivi hamjifunzi kwa Solskjaer au Emery? Walienda unbeaten ngapi? Mpaka UEL final ila wakafukuzwa kama panya!!
Kama Arteta kufukuzwa bas angefukuzwa mwaka Jana

Inaonekana taarifa za arsenal hasa za miakataba ya Hawa wachezaji hufatilii au huna, hao Wana miakataba wanachofanya Ni kuwafunga iwe mirefu Zaid,

Reliable sources zinasema wapo mwishoni kusaini

Usajiri upo wazi ,Arteta amesema anahitaji Winger na CM na beki LCB,

Ndio maana Kuna concrete news za Murdky,Danilo, Tielemans huyu inaonesha Ni summer
 
Mkuu tupo hapa, tusiposajili 6,9, na 7/11 hata top 4 hatugusi. Na hao uliotaja hawatosaini wanasikilizia trend ya timu mwisho wa msimu waone ambition ipoje. Na tukiwapoteza hao sababu ya lack of UCL na makombe tegemea msimu ujao vipigo tu na Arteta atafukuzwa tutaanza Tena A.

Hivi hamjifunzi kwa Solskjaer au Emery? Walienda unbeaten ngapi? Mpaka UEL final ila wakafukuzwa kama panya!!
Usitegemee Arsenal itasajiri hao wachezaji Wanne

LW huwa wanacheza Martinell na Smith Rowe, Upande wa Saka ndio anatajwa Murdky ambaye pia anacheza LW na CF, kumbuka pia Jesus anacheza flanks zote ,

Ndio maana January watasajiri mchezaji mmoja au wawili tu

Winger (play both flanks) na CM play both #8 & #6
 
Mkuu tupo hapa, tusiposajili 6,9, na 7/11 hata top 4 hatugusi. Na hao uliotaja hawatosaini wanasikilizia trend ya timu mwisho wa msimu waone ambition ipoje. Na tukiwapoteza hao sababu ya lack of UCL na makombe tegemea msimu ujao vipigo tu na Arteta atafukuzwa tutaanza Tena A.

Hivi hamjifunzi kwa Solskjaer au Emery? Walienda unbeaten ngapi? Mpaka UEL final ila wakafukuzwa kama panya!!
Shida kubwa kwa mashabiki wa AsaniWali ni kupenda kujitoa ufahamu.
Hizi mechi walizoshinda mzunguko wa kwanza wanajiona tayari wameshamaliza kila kitu wanachosubiri ni mwezi May ufike tu wakabidhiwe kombe.
Wasichokijua msimu huu kwao ni ngumu hata kuwepo kwenye top4.
 
Shida kubwa kwa mashabiki wa AsaniWali ni kupenda kujitoa ufahamu.
Hizi mechi walizoshinda mzunguko wa kwanza wanajiona tayari wameshamaliza kila kitu wanachosubiri ni mwezi May ufike tu wakabidhiwe kombe.
Wasichokijua msimu huu kwao ni ngumu hata kuwepo kwenye top4.
Akili zako zipo matakoni,wewe msimu huu ni rahisi kwako??
 
Akili zako zipo matakoni,wewe msimu huu ni rahisi kwako??
Mimi nashuka daraja kabisa ila nyinyi Arsenyani kwa jinsi mlivyojiwekea matumaini ya kuchukua kombe msimu huu halafu mnakuja kuishia kwenye top6 nategemea kutakua na vifo vingi vya kujinyonga kwa mashabiki wa Arsenyani mwisho wa msimu.
Insta-image-4.jpg
 
Thomas Partey will travel directly to Dubai tomorrow to join up with the rest of the Arsenal squad for their warm-weather training camp. [@Blaqqkoffi] #afc
 
nakuchukulia kama MACHOKO wengine waliojazana mitaani

Punguza hasira Mkuu, hii ni burudani tu, unazi ukikukolea sana unaweza ukajitundika kambani mwisho wa msimu.
Kwa afya yako nakushauri usijipe matumaini makubwa sana kwenye hizi timu za Academy.
 
Thomas Partey will travel directly to Dubai tomorrow to join up with the rest of the Arsenal squad for their warm-weather training camp. [@Blaqqkoffi] #afc
Hamis77 vipi leo Watford waliubonda mwingi kwenye kipigo cha mbwa mwizi 4-2?
 
Labda wewe unatamani awe shoga Kwa sababu zako binafsi/ matamanio ya moyo wako. Jokes aside, pamoja na utani wa kimichezo, ni vema mashabiki mkjifunza kuwa na utu, mambo serious na machungu yanayohusu familia za watu, hata kama hamuwajui, siyo ya kuletea matani ya kimasikhara.
Hakuna cha miscarriage, miscarriage ndio wafiche fiche. hilo jamaa shoga limekimbizwa inch y kiislam. Shoga tangu lini likawa na mke.
 
Back
Top Bottom