Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

People don't realize Bukayo Saka is going to be a major attacker in Europe for the next 10 years. Still acting as if he's some lesser player than the others.

In his first full season as a RW in the EPL, he got 18 G/A. Scored against United, City, Tottenham, Chelsea. 20 years old
Yeap people said the same about your avatar too!! But look what panned out.

Saka needs a sub to manage his minutes otherwise he'll be exhausted and succumb to recurring injuries
 
Yeap people said the same about your avatar too!! But look what panned out.

Saka needs a sub to manage his minutes otherwise he'll be exhausted and succumb to recurring injuries
Hayo mawazo yako , wachezaji Bora wote wanachafua mechi 50+

Saka sio injury prone ndugu , jack since day one ,

Hivi uliwahi Sikia lini Saka kakaa nje hata wiki 2,?


But even with that injury risk, Arteta insisted he had no issue with selecting Saka whenever he can.

He said:

“Look at the top players in the world, they play 70 matches, every three days and make the difference and win the game.

“You want to be at the top, you have to be able to do that
 
Ila Saka Analitesa Sana Hili Shati La Chelsea Aisee Afu Analitungua Magoli Matam Vibaya Mnoo

Me Sikujal Kama Senegal ni Team Kutoka Afrika wala nin Me Nafurahi Mchezaji wa Arsenal Akifanya Vizur Popote Pale…

Saka Saiv Hana Mjadala Tena Yan ni Mojawapo ya Winger Ambazo zinafanya Maamuzi Sahihi Mda mwingi na Hapotezi Potezi Mipira Hovyo na Amebalance Game Yake Kwenye Kushambulia Na Kuzuia

Nataman Na Game Ya France Aweke Chuma Mbili Afike Goli 5 Awe Sawa na Mbappe Awanie Golden Boot na Mchezaji Bora na Mchezaji Bora Kijana

Wale Saka na Martinell Hata Nipewe Winger Gan Kwa Sasa Sibadilishani Yan me Kwangu wale ndo Wachezaji Bora wanaocheza Pembeni Kwa Sasa ..Period…View attachment 2436401
Kuna Kenge la ChelKenge litanuna
 
Aliyeibeba Atletico Ni Luis Suarez

Joao Felix hapo Atletico amepoteana ,huwezi kwenda timu yenye mentality ya Kuzuia tu.

Hiyo Atletico ilikuwa na Rodri & Partey lakini inapaki Basi
Atletico ipi inapaki basi? Labda unaona UCL peke yake ila kwenye La Liga formation ni 3-1-4-2 meaning mabeki ni 3 pekee wengine wote ni attack minded so ni tofauti na mitazamo ya wengi mnaoangalia UCL pekee na kujudge vilabu.

Kingine, Suarez ni mfungaji tu alibebwa na Felix, Lemar and Llorente in terms of assists na kufungua defence Ili Suarez apewe mipira kwenye box.

Anyway Murdyk is nothing compared to Felix kwa Kila kitu. so wakiamua kumsajili kwa hizo 70M ni BS yatajirudia ya Pepe
 
Hayo mawazo yako , wachezaji Bora wote wanachafua mechi 50+

Saka sio injury prone ndugu , jack since day one ,

Hivi uliwahi Sikia lini Saka kakaa nje hata wiki 2,?


But even with that injury risk, Arteta insisted he had no issue with selecting Saka whenever he can.

He said:

“Look at the top players in the world, they play 70 matches, every three days and make the difference and win the game.

“You want to be at the top, you have to be able to do that
Angalia umri mkuu tukisema haya haya kwa wilshere na Ramsey kuwa kucheza dakika nyingi umri mdogo utaleta majanga huko mbeleni.

Tuombe uzima ila tutarudi hapa after 2 years kuongelea how Saka ruined his knees due to exhaustion and overruns!! Alafu mtakua wa kwanza kumshambulia Arteta kwa poor management of young players.
 
Angalia umri mkuu tukisema haya haya kwa wilshere na Ramsey kuwa kucheza dakika nyingi umri mdogo utaleta majanga huko mbeleni.

Tuombe uzima ila tutarudi hapa after 2 years kuongelea how Saka ruined his knees due to exhaustion and overruns!! Alafu mtakua wa kwanza kumshambulia Arteta kwa poor management of young players.
Arteta kashathibitisha kuwamanage hao watoto ,

Wewe endelea kupinga , ila Usitegemee Saka awe anakupumzishwa ,alishakataa Hilo Jambo

Hata Raphina alitakiwa kuja sio kukaa bench Ni kufanya rotation tu ,

Kucheza mechi nyingi hakumfanyi mchezaji aumie , kuumia alisema Arteta wanaumia hata Mazoezini
 
Atletico ipi inapaki basi? Labda unaona UCL peke yake ila kwenye La Liga formation ni 3-1-4-2 meaning mabeki ni 3 pekee wengine wote ni attack minded so ni tofauti na mitazamo ya wengi mnaoangalia UCL pekee na kujudge vilabu.

Kingine, Suarez ni mfungaji tu alibebwa na Felix, Lemar and Llorente in terms of assists na kufungua defence Ili Suarez apewe mipira kwenye box.

Anyway Murdyk is nothing compared to Felix kwa Kila kitu. so wakiamua kumsajili kwa hizo 70M ni BS yatajirudia ya Pepe
Atletico Ni timu ya kupaki Basi ,sio possession team ,usitudanganye

Halafu Arsenal ya Arteta haisajili kwa Mihemko au kwasababu mchezaji fulani Ni mzuri, wanasajiri kwa kuangalia anafaa kwenye mfumo .

Bado hujifunzi tu ,ndio nyie mliponda Sajiri za Kina Tomiyasu, White, Ramsdale,Jesus ,n.k

Wewe sema humtaki Murdky na humjui, ila tambua Arsenal ina maskauti wanaofanya hiyo kazi

Summer ,Arsenal ilifanya skauti ya LB alikuwepo Martinez ,Gomez ,na Zinchenko

Nani alikuwa anamjua Martinez Lisandro? Hata man u wamekuja kuingilia baadae Baada ya ETH kuwa kocha wa man u .

Gomez ulikuwa unamjua? Yupo City ,Baada ya Arteta kumbeba Zinny,

Unachanganya usajiri wa Pepe na Arteta'e Era?upo seriously?

Pepe alisajiriwa kipind Cha Raul sanheil kipind ambacho Model ya Arsenal haimruhusu kocha kuwa na Say yoyote ,kumbuka Emery alimtaka Zaha ,
 
Angalia umri mkuu tukisema haya haya kwa wilshere na Ramsey kuwa kucheza dakika nyingi umri mdogo utaleta majanga huko mbeleni.

Tuombe uzima ila tutarudi hapa after 2 years kuongelea how Saka ruined his knees due to exhaustion and overruns!! Alafu mtakua wa kwanza kumshambulia Arteta kwa poor management of young players.
Hizi unazopiga hapa Ni ramli, Saka ameanza lini kucheza? Kaanza 2019 Kama Beki LB, kila Siku anazidi kukua ,Hana Rekodi za Injury Kama hao unaodai Saka atakuwa hivo, hizo unazofanya Ni ramli.

Ramsey hakuwa injury prone unamsingizia, Ramsey alivunjika dhidi ya Stoke city akaa nje miezi 9 , hakuumia sababu ya kucheza mechi nyingi .

Yaani kuumia kwa mchezaji hata Mazoezini wanaumia Tena injury mbaya ,kaangalie injury ya Nkuku aliyoipata mazoezin France NT dhidi ya camavinga .


Arteta alisema wachezaji Bora wote wanacheza mechi Hadi 70 .

Ndio maana anasema hataki kuleta mchezaji wa Benchi, Bali atakayekuja na kufanyiwa rotation ,


Angetaka wa Benchi ,Pepe anafaa Sana kuwa Benchi .
 
Atletico ipi inapaki basi? Labda unaona UCL peke yake ila kwenye La Liga formation ni 3-1-4-2 meaning mabeki ni 3 pekee wengine wote ni attack minded so ni tofauti na mitazamo ya wengi mnaoangalia UCL pekee na kujudge vilabu.

Kingine, Suarez ni mfungaji tu alibebwa na Felix, Lemar and Llorente in terms of assists na kufungua defence Ili Suarez apewe mipira kwenye box.

Anyway Murdyk is nothing compared to Felix kwa Kila kitu. so wakiamua kumsajili kwa hizo 70M ni BS yatajirudia ya Pepe
Toka lini Simeone awekeze kwenye possession game? Mimi nakushauri kakomae na siasa ,habari nyingi za Mpira Hasa Arsenal zimekupita

Unafananisha usajiri wa Pepe na Sajiri za Arteta?

Unajua walimsajiri Pepe walifukuzwa kazi Arsenal na Tim Lewis ,yupo kwenye picha hapo.,Ni Lawyer na memba wa Bodi ya Arsenal .

Unajua Usajiri wa Pepe na Sajiri kibao kipind Cha Emery zilikuwa Sajiri za Viongozi sio Emery, sababu alikuwa HEAD COACH tu.

Arsenal, Juventus, Mancity ,Madrid wanamuhitaji Murdky ,watu wamefanya skauti ,wewe unabeza kirahisi Sana

Usajiri Ni kamari lakini unavyo mu underrate Huyo dogo duh!

Nowdays mpira umehamia kwenye majukumu zaidi ya vipaji binafsi,

Nilipingana Sana na mashabiki humu baadhi ,walimkataa Ramsdale wakisema ameshusha timu 3 daraja , lakini Arteta alikomaa akatoa £30m , wakabeza wakasema anashindwa kutoa £10m kwa Onana,

IMG_20221204_133630.jpg
 
Some Key points from @amylawrence71's article:

The club is looking to add 1-2 players in January: A wide player and a DM on the agenda.
The board won't panic and won't be affected by Jesus's injury.
FFP, KSE, and Arteta’s standards are factors.



(@amylawrence71) wa The Athletic anayekava pia habari za Arsenal anaripoti

Arsenal wanataka kujiimarisha na msimu huu wa baridi(January) Mshambulizi wa pembeni anayeweza au mwenye uwezo wa kufunga na kutengeneza mabao, yumo kwenye orodha ya wachezaji wanaotakiwa, pamoja na kiungo ambaye anaweza kukamilisha sifa mahususi za Thomas Partey.


Arteta hana nia ya kuleta mtu yeyote ambaye hana uwezo wa kuingia kwenye kikosi cha kwanza. Hapendezwi na kujaza kikosi tu.


Arsenal wanavutiwa na mshambuliaji wa Shakhtar Donetsk Mykhailo Mudryk na kiungo wa kati wa Palmeiras Danilo, 21, lakini kuna majina mengine kwenye list hiyo.
IMG_20221204_164029.jpg
 
Adidas Arsenal 2023-24 home shirt brings back an element of one of the fans' all-time favorite kit - gold logos, similar to the 2005-2006 Highbury home kit.

"Except for the gold, the kit will be very different from the 2005-2006 Highbury kit"

(@Footy_Headlines)
IMG_20221205_133407.jpg
IMG_20221205_133405.jpg
 
Mikel Arteta na Edu Gaspar walikuwa na mmiliki wa Arsenal Stan Kroenke wikendi hii iliyopita. Ilikuwa ni safari iliyopangwa mapema kwenda Marekani, na wote wawili Arteta na Edu wanasafiri kwa ndege kutoka Los Angeles hadi Dubai kwa kambi ya timu .

Arsenal wako tayari kumsaidia Arteta katika dirisha la Januari, na kabla ya jeraha la Jesus, kipaumbele kikuu kilikuwa fowadi wa pembeni.

Urefu wa jeraha la Jesus unaweza kuathiri mipango ya Arsenal ya uhamisho, na kukamilika kwake kutategemea kama anahitaji upasuaji au la.


[@sr_collings]
 
Would you take Sane at Arsenal?

#AFC #ArsenalView attachment 2436564
Mashabiki wa AsaniWali hua mpaka mchana wa jua kali wanapata njozi.
Endeleeni kuota hivyohivyo ila Kroenke's family wanawachora tu huku wanacheka mpaka wanashikilia mbavu.
Hili dirisha dogo hakuna mchezaji yoyote wa maana atakaesajiliwa Arsenyeto.
 
Gabriel Jesus amerejea London na kwa sababu ya kuonana na mtaalamu wa goti katika siku ili kujua kiwango kamili cha jeraha.


itategemea kama anahitaji kufanyiwa upasuaji au la.
IMG_20221204_154221.jpg
 
Back
Top Bottom