Sure...jana kwa mara ya kwanza wameanzishwa kule Brazil wakasababisha msiba.Arsenal saiv tumekua tishio sana, uzi wetu unavamiwa sana na hapa ligi hatuchezi, kombe la dunia limekua gumzo kwenye uzi huu kisa wachezaji wa Arsenal
Nafurahi kuona hili limerudi tena![]()
Gabriel Jesus will MISS the rest of the World Cup with a knee injury. [@geglobo]

#Qatar2022

KSE are aiming re-establish the self-sufficient financial model after providing investment throughout the COVID period
Gabriel Jesus injury is described as "minor" and will need 3 weeks of rest (minimum)
- Reliable
️ "Maybe Tite is thinking about this option too (using Martinelli as a forward)"

Hii January inabidi tuwe serious na usajili, sijui kwanini Arteta alikua stubborn kusajili Holding Midfielder!!Matatizo yanaanza. 🤔
Katika mtu ambaye hatakiwi kulaumiwa arsenal kwa muda huu ni artetaHii January inabidi tuwe serious na usajili, sijui kwanini Arteta alikua stubborn kusajili Holding Midfielder!!
Itakuja kutu cost kama msimu uliopita alipoumia Partey na kuondoka Auba.
Jesus anakosa Mechi 1 au 2 TUMatatizo yanaanza.![]()
Za ligi? Kiukweli jesus, partey, saliba, xhaka tunawahitaji kwa game zote zilizobaki.Jesus anakosa Mechi 1 au 2 TU
Nadhani unaona Liverpool inavyotaka kununuliwa na Msaudia.... Hapo Bado Man UTD naye Kuna rumours ikauzwa. Remember Newcastle nao wanazidi kupanda let alone Spurs, Chelsea na man City wanazidi kuimarika.Katika mtu ambaye hatakiwi kulaumiwa arsenal kwa muda huu ni arteta
panic buy utapata wachezaji wa kukaa bench ndio maana alipomkosa doug luiz akatulia asije akanunua takataka
Saka walau Kuna nelson na marquinhos wanaweza Unga Unga kidogo... Upande wa Martinelli Kuna ESR anarudi January nadhani.Za ligi? Kiukweli jesus, partey, saliba, xhaka tunawahitaji kwa game zote zilizobaki.
Naogopa nketiah kupewa nafasi ya jesus, labda martinelli, shida kwa martinelli atacheza nani?
Apone haraka