Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

List imetoka...Kuna watu watanuna..
Screenshot_20221203-135909_Instagram.jpg
 
Unaambiwa Ni Fred tu kutoka man u Ndiye alikuwa anampelekea mipira mingi Gabriel Martinell , huku Rodrigo na Fabinho wakisusa kumpa mipira .

Hii Brazil tutaona mwisho wao ,

System ya arsenal imetengenezwa kuwapeleka mipira kila muda kwenye flanks .
IMG_20221203_141939.jpg
 
JESUS atakosa mechi 2

Gabriel Jesus will miss the rest of the World Cup, sources close to player and Brazil confirm. He has pain in his knee and won’t be able to be back during the competition. #Qatar2022

Gabriel’s expected to return in January with Arsenal.
 
KSE are aiming re-establish the self-sufficient financial model after providing investment throughout the COVID period

- Annual Report

They say it will be re-introduced when essentially Arsenal establish themselves as a top side again, ie UCL football + commercial revenue that goes with it
 
They suggest he could be out for a month. That would rule him out until the new year.

He could potentially miss:

◉ West Ham (H)
◎ Brighton (A)

#BRA   
IMG_20221112_191807.jpg
 
The coordinator of the Brazilian national team, Juninho Paulista, is in contact with the sports director of Arsenal to define whether Gabriel Jesus remain with the squad in Doha for continuity of treatment or if he returns to his club

(@bellexcosta )
 
Hii January inabidi tuwe serious na usajili, sijui kwanini Arteta alikua stubborn kusajili Holding Midfielder!!

Itakuja kutu cost kama msimu uliopita alipoumia Partey na kuondoka Auba.
Katika mtu ambaye hatakiwi kulaumiwa arsenal kwa muda huu ni arteta
panic buy utapata wachezaji wa kukaa bench ndio maana alipomkosa doug luiz akatulia asije akanunua takataka
 
Katika mtu ambaye hatakiwi kulaumiwa arsenal kwa muda huu ni arteta
panic buy utapata wachezaji wa kukaa bench ndio maana alipomkosa doug luiz akatulia asije akanunua takataka
Nadhani unaona Liverpool inavyotaka kununuliwa na Msaudia.... Hapo Bado Man UTD naye Kuna rumours ikauzwa. Remember Newcastle nao wanazidi kupanda let alone Spurs, Chelsea na man City wanazidi kuimarika.

Hii ndio chance pekee ya kuingia UCL na kushinda ligi tukikosa hii nafasi tutajutia milele. It's a now or never situation hiki kiburi Cha kuepuka "panic buy" kilitukosesha UCL msimu uliopita na mentality hii ikiendelea tutakosa sio tu ligi ila hata top 4!!

Then msimu ujao kikosi kitakua exhausted, kina Saka na Martinelli hawatasaini mkataba mpya, na itakua downfall ya Arteta na Arsenal kwa ujumla. Sijui kwanini hamuelewi huu msimu ndio make or break!!

Jesus anahitaji sub pia Saka na Partey wanahitaji sub hata kama ni mizigo ila we need depth. Mara kumi hata tusajili kwa mkopo ilimradi kuwepo na kikosi kipana kutuvusha top 4 ama ubingwa kabisa.
 
Za ligi? Kiukweli jesus, partey, saliba, xhaka tunawahitaji kwa game zote zilizobaki.
Naogopa nketiah kupewa nafasi ya jesus, labda martinelli, shida kwa martinelli atacheza nani?

Apone haraka
Saka walau Kuna nelson na marquinhos wanaweza Unga Unga kidogo... Upande wa Martinelli Kuna ESR anarudi January nadhani.

Labda kwa Gabriel ndio Hana sub ya LCB. Ila Saliba sub yake ni White so sio issue sana.

Eneo muhimu pekee ni Jesus na sub ya Partey maana bila midfield na Striker wa kueleweka tusahau top 4
 
Arsenal will fly to Dubai tomorrow for their warm-weather training camp, however, Ben White will not be among the travelling group. It is unknown whether he will join the squad at a later date. [@JamesOlley] #afc
 
Back
Top Bottom