Sa kwanini nikudanganye ndugu yangu
Nimemess up hapo kwenye timu. Ni Bologna siyo Fiorentina.
Na bologna alikua RCB.
Niles amewahi cheza lB na sababu ni hiyo ya dominant leg kulia ni rahisi kudefend dominant leg kushoto.
Mechi ya Liva Tierney akihojiwa alisema hakupangwa 'sababu za kimbinu'
Yaani ni kwamba he succesfully plays kama LB lakini huyu ni makeshift LB hatuwezi sema tuna LB watatu na yeye akiwemo. The only reason hachezi RB ni kwakua White amekua consistent mno na hiyo nafasi ambayo White aliianza baada ya Tomi kua majeruhi
Unabishana na hizo data? Leta data zako kuthibitisha usemacho, Hajacheza mechi na Liverpool tu Kama LB , Ndio maana tunasema UNATUPANGA , ,
akiwekwa LB anakuwa compact Zaidi kimbinu sababu anatumia both feet ,huyo Niles alikuwa anawekwa mech moja tu,
Lakini Tomiyasu unaweza kumuweka LB Msimu mzima ,
Takwimu zimewekwa hapo zinakuonyesha amekuwa akicheza hizo nafasi Zote za backline ,ungekuja kubisha kwa Hoja na takwimu ungeeleweka .
Arteta mwenyewe anakwambia alimsajiri sababu anacheza nafasi Zote hizo ,wewe unadai kacheza LB mechi moja..

Mikel Arteta on Tomiyasu’s ability with his weaker foot:
“When we followed the player, it is one of things that I came across & it gives you a lot of solutions. He can use both feet, he can play right centre-back, left centre-back, left-back. That gives you enormous variability.”
Kwa MUJIBU wa Arteta huyo kwake Ni LB,RCB,LCB,LB
Mikel Arteta says Takehiro Tomiyasu is so comfortable using his left foot that the Japan international could play anywhere along the Arsenal backline.