Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hajawahi kucheza fiorentina ,Ni bolgna
Msimu huu akiwa Arsenal kacheza Hadi Sasa mechi 17

Mechi 6 Kama LB

Mechi 11 RB

Hivo ulivyodai alicheza mechi 1 dhidi ya Liverpool tu sababu ya tactical reason ,Ni wazi huenda huangalii mechi au unafatilia kwa liverscore
jamani muacheni amesema sasa hivi hana muda wa kuelewesha maboga halafu wewe na hamis77 mnakuja na evidence kabisa.
Tomy mnaemzungumzia nyinyi ni mwingine yeye anamzungumzia yule Tomy aliechezea Fiorentina ambako alikua ni RCB, mbona mnakua vichwa ngumu namna hio?
Ndugu yangu Castr umeingia cha kike, muungwana akivuliwa nguo huchutama ila muungwana wewe unazidi tu kukaza misuli ya shingo
 
Hahaha hapana siku hizi nimeacha mambo za kujaribu kumuelewesha mtu vitu.

Yaani nianze kuuliza mechi ipi Tomi kaanza LB wakati wote tunajua ni ipi na bado mtu anasema huyu kacheza LB mechi nyingi msimu huu mi nikae nakuelewesha?

Tomi anakuja Arsenal mimi ndiye nilipoint kwamba jamaa ni natural CB hatutakua lethal kushambulia kutokea kulia ila tutadefend vizuri.

So hizi mambo za kuandika sana nimeachana nazo siku hizi naingia namuulizia Ollashoga na lembua wako wapi najiondokea.
Sio kumuelewesha mtu,dunia Sasa hivi Kijiji ,huwezi kumdanganya mtu

Ni wazi hufatilii mechi za arsenal huenda unaangalia kwenye liverscore

Tomiyasu stats zake Msimu huu arsenal kacheza mechi 17

Mechi 6 LB

Mechi 11 RB

National team kufuzu world cup

Mechi kacheza mechi 8 Zote Kama RCB & LCB

Sasa unapotaka kudai kacheza mechi 1 tu ya Liverpool Kama LB unatupanga,na hakuna atakayekukubalia

Umeenda mbali unadai Ni natural CB , meanwhile anakuja Arsenal kutoka bolgna

Kacheza mechi 64

Mechi 41 RB

Mechi 20 RCB & LCB

Mechi 2 LB

Msimu huu eneo la LB wapo Zinchenko,Tierney na Tomiyasu

Lakini anapokosekana Zinny ,2nd choice Ni Tomiyasu over Tierney ,na Kuna sababu ya msingi kabisa ,Arsenal haitumii Tena LB kushambulia Kama last season, LB anatakiwa kuwa na profile za kiungo, na Tomiyasu amewahi kucheza DM huko Japan timu za chini.
 
Sio kumuelewesha mtu,dunia Sasa hivi Kijiji ,huwezi kumdanganya mtu

Ni wazi hufatilii mechi za arsenal huenda unaangalia kwenye liverscore

Tomiyasu stats zake Msimu huu arsenal kacheza mechi 17

Mechi 6 LB

Mechi 11 RB

National team kufuzu world cup

Mechi kacheza mechi 8 Zote Kama RCB & LCB

Sasa unapotaka kudai kacheza mechi 1 tu ya Liverpool Kama LB unatupanga,na hakuna atakayekukubalia

Umeenda mbali unadai Ni natural CB , meanwhile anakuja Arsenal kutoka bolgna

Kacheza mechi 64

Mechi 41 RB

Mechi 20 RCB & LCB

Mechi 2 LB

Msimu huu eneo la LB wapo Zinchenko,Tierney na Tomiyasu

Lakini anapokosekana Zinny ,2nd choice Ni Tomiyasu over Tierney ,na Kuna sababu ya msingi kabisa ,Arsenal haitumii Tena LB kushambulia Kama last season, LB anatakiwa kuwa na profile za kiungo, na Tomiyasu amewahi kucheza DM huko Japan timu za chini.
Akibisha na hapa Basi Tena,
 
jamani muacheni amesema sasa hivi hana muda wa kuelewesha maboga halafu wewe na hamis77 mnakuja na evidence kabisa.
Tomy mnaemzungumzia nyinyi ni mwingine yeye anamzungumzia yule Tomy aliechezea Fiorentina ambako alikua ni RCB, mbona mnakua vichwa ngumu namna hio?
Ndugu yangu Castr umeingia cha kike, muungwana akivuliwa nguo huchutama ila muungwana wewe unazidi tu kukaza misuli ya shingo
Huenda haangalii mechi , anasikia matokeo ,

Sisi mashabiki huwa tunakuwa na Wachezaji wetu wa mfukoni ,kocha anao wake ,anajua anataka achezaje ,

Pep alimtaka Cucullera akijua atamtumia vipi, Chelsea bila kuwa na DOF wakaingilia dili la watu kisa mchezaji ni mzuri ,wakambeba ,Sasa hivi wanadai Ni mbovu
 
Vlada ni Mwandishi wa habari huyu, Jana kakomaa nae Sana aje Arsenal

Tuliosoma Cuba tunajua huyu imebaki swala la Bei tu
Nafahamu ni mwandishi wa habari za michezo na sio agent wa wachezaji.
Hawa wa Ukraine mi nawajua vizuri sana.
Screenshot_20221115_093153.jpg
 
Oya CR7 anawasagia kunguni

| Cristiano Ronaldo: ‘In my opinion it will be hard to imagine #mufc at the top of the game in the next 2-3 years.’ [@PiersUncensored]
Christiano alishatumbukia nyongo United baada tu ya kushindwa kufuzu kucheza Uefa.
Management ilivyomkazia kuondoka ndio wakazidi kutia ndimu kwenye kidonda.
Kwa alichokifanya + kiwango alichonacho kwa sasa sidhani kama atapata timu yoyote ya maana, labda aende zake Marekani au Uarabuni akapige hela.
Binafsi nilikua namkubali na kumtetea sana Ronaldo ila tokea alivyozingua kipindi cha pre-season amenitoka kabisaaaaaa.
 
Sio kumuelewesha mtu,dunia Sasa hivi Kijiji ,huwezi kumdanganya mtu

Ni wazi hufatilii mechi za arsenal huenda unaangalia kwenye liverscore

Tomiyasu stats zake Msimu huu arsenal kacheza mechi 17

Mechi 6 LB

Mechi 11 RB

National team kufuzu world cup

Mechi kacheza mechi 8 Zote Kama RCB & LCB

Sasa unapotaka kudai kacheza mechi 1 tu ya Liverpool Kama LB unatupanga,na hakuna atakayekukubalia

Umeenda mbali unadai Ni natural CB , meanwhile anakuja Arsenal kutoka bolgna

Kacheza mechi 64

Mechi 41 RB

Mechi 20 RCB & LCB

Mechi 2 LB

Msimu huu eneo la LB wapo Zinchenko,Tierney na Tomiyasu

Lakini anapokosekana Zinny ,2nd choice Ni Tomiyasu over Tierney ,na Kuna sababu ya msingi kabisa ,Arsenal haitumii Tena LB kushambulia Kama last season, LB anatakiwa kuwa na profile za kiungo, na Tomiyasu amewahi kucheza DM huko Japan timu za chini.
Sa kwanini nikudanganye ndugu yangu

Nimemess up hapo kwenye timu. Ni Bologna siyo Fiorentina.

Na bologna alikua RCB.

Niles amewahi cheza lB na sababu ni hiyo ya dominant leg kulia ni rahisi kudefend dominant leg kushoto.

Mechi ya Liva Tierney akihojiwa alisema hakupangwa 'sababu za kimbinu'

Yaani ni kwamba he succesfully plays kama LB lakini huyu ni makeshift LB hatuwezi sema tuna LB watatu na yeye akiwemo. The only reason hachezi RB ni kwakua White amekua consistent mno na hiyo nafasi ambayo White aliianza baada ya Tomi kua majeruhi
 
Confirmation that the tournament Arsenal will be competing in during the World Cup break will be called the Dubai Super Cup.

They will play Lyon (Dec 8th) and AC Milan (Dec 13th), but not Liverpool.
IMG_20221115_124720.jpg
 
Sa kwanini nikudanganye ndugu yangu

Nimemess up hapo kwenye timu. Ni Bologna siyo Fiorentina.

Na bologna alikua RCB.

Niles amewahi cheza lB na sababu ni hiyo ya dominant leg kulia ni rahisi kudefend dominant leg kushoto.

Mechi ya Liva Tierney akihojiwa alisema hakupangwa 'sababu za kimbinu'

Yaani ni kwamba he succesfully plays kama LB lakini huyu ni makeshift LB hatuwezi sema tuna LB watatu na yeye akiwemo. The only reason hachezi RB ni kwakua White amekua consistent mno na hiyo nafasi ambayo White aliianza baada ya Tomi kua majeruhi
Unabishana na hizo data? Leta data zako kuthibitisha usemacho, Hajacheza mechi na Liverpool tu Kama LB , Ndio maana tunasema UNATUPANGA , ,

akiwekwa LB anakuwa compact Zaidi kimbinu sababu anatumia both feet ,huyo Niles alikuwa anawekwa mech moja tu,

Lakini Tomiyasu unaweza kumuweka LB Msimu mzima ,

Takwimu zimewekwa hapo zinakuonyesha amekuwa akicheza hizo nafasi Zote za backline ,ungekuja kubisha kwa Hoja na takwimu ungeeleweka .

Arteta mwenyewe anakwambia alimsajiri sababu anacheza nafasi Zote hizo ,wewe unadai kacheza LB mechi moja..

Mikel Arteta on Tomiyasu’s ability with his weaker foot:

“When we followed the player, it is one of things that I came across & it gives you a lot of solutions. He can use both feet, he can play right centre-back, left centre-back, left-back. That gives you enormous variability.”

Kwa MUJIBU wa Arteta huyo kwake Ni LB,RCB,LCB,LB



Mikel Arteta says Takehiro Tomiyasu is so comfortable using his left foot that the Japan international could play anywhere along the Arsenal backline.
 
Cr7

"One day i walked into Erik Ten Hang’s office unannounced and i caught him red handed..
Him, Rashford and Sancho, he was forcing Sancho and Rashford to call him Arteta and forced Rashford and Sancho to call themselves Martinelli and Saka respectively.
There and then i knew there is no football club here"- Cristiano Ronaldo

 
Cr7

"One day i walked into Erik Ten Hang’s office unannounced and i caught him red handed..
Him, Rashford and Sancho, he was forcing Sancho and Rashford to call him Arteta and forced Rashford and Sancho to call themselves Martinelli and Saka respectively.
There and then i knew there is no football club here"- Cristiano Ronaldo

Hizi Troll tu watu wanajitungia ,
 
Cr7

"One day i walked into Erik Ten Hang’s office unannounced and i caught him red handed..
Him, Rashford and Sancho, he was forcing Sancho and Rashford to call him Arteta and forced Rashford and Sancho to call themselves Martinelli and Saka respectively.
There and then i knew there is no football club here"- Cristiano Ronaldo

Hivi vikomedi vya kutunga ndiyo vinafanya dunia izunguke 😀
 
Kwa kawaida neno Xg huwa lina maanisha expected goal from chances created. Ex. Chelsea (0.24) 0-1 (2.38) Arsenal.
Wolves (0.48) 0-2 (2.18) Arsenal.

Xg is determined from position and situation of the shot. stat zinaonesha tunaongoza kwenye Xg difference, Xg difference ni kama vile goal difference, unachukuwa xg created minus xg conceded, namba zinaonesha Arsenal is the best team kwenye kila aspect msimu huu.
IMG_20221116_073537.jpg
 
| @FabrizioRomano:

"Kutokana na kile ninachoambiwa, Mudryk amekuwa akifurahishwa na nia ya Arsenal, sasa na pia Agosti. Anapenda klabu na mradi huo, na kwa hakika Arsenal wako kwenye kinyang'anyiro pamoja na vilabu vitatu au vinne zaidi." [@caughtoffside]
 
Back
Top Bottom