Mjusi_kafiri
JF-Expert Member
- May 8, 2022
- 1,016
- 1,878
Usharo hauzuii kua bora kaka, Ronaldinho alikua sharo na bado alikua bora dunianiUkiingiza tu usharo umekwama.
Usharo hauzuii kua bora kaka, Ronaldinho alikua sharo na bado alikua bora dunianiUkiingiza tu usharo umekwama.
Ronaldinho hakuwa sharo ila mla bata sana.Usharo hauzuii kua bora kaka, Ronaldinho alikua sharo na bado alikua bora duniani
Alikuwa ana balaa hiyo miaka ,media zilimuandika Sana ,Ode alikuwa maarufu sana kipindi yupo timu ya wadogo watu wakajua ni Messi au Ronaldo mpya sijui nini kilichotokea mpaka akawa timu za wakubwa kabla ya Arsenal kurudisha makali yake.
Kutoka technical director, anastahili.Edu kapanda cheo kawa sporting director
the first ever
ni cheo kipya kwa arsenal
Tofauti zake nini hizo roles?Edu kapanda cheo kawa sporting director
the first ever
ni cheo kipya kwa arsenal
Bro mbona ni wazi bana, TD ni mtaalam/boss wa kiufundi akisimamia eneo hilo moja tu kwenye timu husika. Ila SD ni anasimamia/boss wa masuala yote ya michezo, means wadada, unders, academy, walemavu etc. So the latter position is bigger than the the first. Yaani ni boss wa wote makocha etc. Kwa kesi ya Edu sasa ni member kwenye magt board na ni permanent employee na hana mkataba kama makocha na wachezaji.Tofauti zake nini hizo roles?
Baada ya kumalizika fainali za kombe la dunia kuna wachezaji wengi tegemeo watakua majeruhi, kipindi hicho kutoa £100m ili kumsajili Mudryk itakua ni pesa ya kawaida na huenda kukawa na timu zaidi ya 2 zenye nia ya kumsajili Mudryk kwa hilo dau.MUDRYK AILAUMU SHAKTHAR KUMPANDISHA BEI KUBWA
| Mudryk: “Baada ya kusoma mahojiano ya mkurugenzi wa Shakhtar[kutoka The Atheltic], nilikasirika sana. Kiasi cha €100m kinaweka kizuizi kwa Safari yangu ya kwenda Timu za juu, ambazo nilitamani sana. Siwezi kusema kwamba ndoto yangu iliuawa, lakini imejeruhiwa, kwa hakika.
|
“Serhii Anatoliyovych [Mkurugenzi wa Shakhtar] anasema kwamba wakati utafika. Labda hivyo. Lakini nina maoni yangu kwamba kwa kiasi kama hicho(€100m), wakati huo hautakuja hivi karibuni kamwe.
| ninachukulia ubingwa wa Ukraine kwa heshima yote, lakini kila mchezaji wa mpira ana ndoto ya kucheza katika vilabu vya juu. Nina uhakika 100% kuwa hakuna uwezekano wa hizo timu kununua mchezaji kutoka kwa ligi ya Ukraine kwa €100m.
| “Lakini klabu imeamua kuniacha. Niliichukulia kama kawaida kabisa, kwa sababu ninaiamini kabisa usimamizi wa Shakhtar.”
[
| “Nilitumaini sana kwamba mchezo wangu ungeleta manufaa makubwa kwa Shakhtar na kwamba vilabu kutoka kwenye michuano mikubwa ya Ulaya vingevutiwa nami. Nilizungumza na wakala wangu na ninajua kuwa katika msimu wa joto kulikuwa na ofa nyingi kutoka kwa vilabu kwa ajili yangu. #afc
Yamekuwa haya tena muzeye.Ligi ikianza itabidi tutiwe kwanza kwenye microwave maana sio kwa kuganda huku. View attachment 2420804
Baridi mtu wangu, unaambiwa mwaka huu Arsenal tunabeba mpaka World Cup hapo QatarYamekuwa haya tena muzeye.

Umehama chama?Baridi mtu wangu, unaambiwa mwaka huu Arsenal tunabeba mpaka World Cup hapo Qatar![]()
Hiyo ni kimaskhara kabisa.Cr7 anataka ashinde EPL kirahisi kwa kujipendekeza kwetu
Amepima upepo, ameona arsenal hii inaenda kubeba NDOO kweli
Jinsi nilivyomuelewa cr7![]()