Arsenal hapa anatakiwa atoke na pointi si chini ya 13Ratiba yetu Baada ya World Cup
Sioni wakutoa hata sare hapa
Sijaona timu hapa inayotuzidi kumiliki mpira ,
Ukiweza kumiliki mpira Basi 80% una uhakika wakushinda mechi .
Arsenal msimu huu kila Mechi karibu zote tunapiga pass 500+ iwe away au home,
Timu zinazocheza Low block Ndio tunazitaka
Ukibisha naweka MsimamoView attachment 2416204
"Ada hizi zote za uhamisho wa juu ni fikira za mtu. Kwa muda mrefu ameshinda ubingwa wa Ukraine na yuko tayari kucheza kwa kiwango kikubwa zaidi na kwa maoni yangu, sasa ni wakati mzuri zaidi kwake."
Emile Smith Rowe anatumai kuwa fiti na kujiunga na Arsenal mwanzoni mwa Januari. 
CM and wingerTo maintain our grip, team needs reinforcement with at least two players. CM and striker
Sasa hivi mmekuwa wapiga ramli. Daraja lilisombwa na mafuriko.nyie matakataka tukimaliza World Cup 🏟 mutatutambua kuwa sisi ni Chelsea 💙💙💙
Nyie ndo mnajiitaga "chelkenge"??nyie matakataka tukimaliza World Cup 🏟 mutatutambua kuwa sisi ni Chelsea 💙💙💙
Naomba our xg against United, Liverpool, Leeds na SotonKwa kawaida neno Xg huwa lina maanisha expected goal from chances created. Ex. Chelsea (0.24) 0-1 (2.38) Arsenal.
Wolves (0.48) 0-2 (2.18) Arsenal.
Xg is determined from position and situation of the shot. stat zinaonesha tunaongoza kwenye Xg difference, Xg difference ni kama vile goal difference, unachukuwa xg created minus xg conceded, namba zinaonesha Arsenal is the best team kwenye kila aspect msimu huu.View attachment 2418221
| Mudryk:
| Mudryk: “Baada ya kusoma mahojiano ya mkurugenzi wa Shakhtar[kutoka The Atheltic], nilikasirika sana. Kiasi cha €100m kinaweka kizuizi kwa Safari yangu ya kwenda Timu za juu, ambazo nilitamani sana. Siwezi kusema kwamba ndoto yangu iliuawa, lakini imejeruhiwa, kwa hakika.
|
| ninachukulia ubingwa wa Ukraine kwa heshima yote, lakini kila mchezaji wa mpira ana ndoto ya kucheza katika vilabu vya juu. Nina uhakika 100% kuwa hakuna uwezekano wa hizo timu kununua mchezaji kutoka kwa ligi ya Ukraine kwa €100m.
| “Lakini klabu imeamua kuniacha. Niliichukulia kama kawaida kabisa, kwa sababu ninaiamini kabisa usimamizi wa Shakhtar.”
| “Nilitumaini sana kwamba mchezo wangu ungeleta manufaa makubwa kwa Shakhtar na kwamba vilabu kutoka kwenye michuano mikubwa ya Ulaya vingevutiwa nami. Nilizungumza na wakala wangu na ninajua kuwa katika msimu wa joto kulikuwa na ofa nyingi kutoka kwa vilabu kwa ajili yangu. #afc
Ode alikuwa maarufu sana kipindi yupo timu ya wadogo watu wakajua ni Messi au Ronaldo mpya sijui nini kilichotokea mpaka akawa timu za wakubwa kabla ya Arsenal kurudisha makali yake.Tunapokutana na timu inayopaki basi, Martin Ødegaard ndiyo silaha yetu kubwa ku-unlock low block
Uwezo wake wakuuficha mpira kwenye tight spaces ni mkubwa mno
Thank you Real Madrid
Ndo bahati yetu Gunnerz.Ode alikuwa maarufu sana kipindi yupo timu ya wadogo watu wakajua ni Messi au Ronaldo mpya sijui nini kilichotokea mpaka akawa timu za wakubwa kabla ya Arsenal kurudisha makali yake.
kufikia levo za mess au ronaldo sio swala la coaching only au academy facilities bai kunahiitajika self determination ya hali ya juu apart from kipaji na mengineyo.Ode alikuwa maarufu sana kipindi yupo timu ya wadogo watu wakajua ni Messi au Ronaldo mpya sijui nini kilichotokea mpaka akawa timu za wakubwa kabla ya Arsenal kurudisha makali yake.
neymar alikuwa na kila kitu cha kuwa better version ya ronaldo na mess ila pamoja na kila kitu alichonacho bado anakosa instict na awareness ya kuwa the best everkufikia levo za mess au ronaldo sio swala la coaching only au academy facilities bai kunahiitajika self determination ya hali ya juu apart from kipaji na mengineyo.
jiulize kwanini KDB wa chelsea sio sawa na yule wa wolfsburg au wa city?
hii ni instinct tu.nakwambia kuna wachezaji walikuwa na potential ya kuwa better individuals than mess na ronaldo ila walifeli kwenye determination na self awareness.
Ukiingiza tu usharo umekwama.neymar alikuwa na kila kitu cha kuwa better version ya ronaldo na mess ila pamoja na kila kitu alichonacho bado anakosa instict na awareness ya kuwa the best ever
Kweli kabisa ,ila Ode kipindi yupo kinda miaka kama 15 hivi media zilimkuza sana akawa star ghafla nahisi hilo lilichangia kupotea kipindi cha kuingia timu ya wakubwa kutokana na presha kuwa juu.kufikia levo za mess au ronaldo sio swala la coaching only au academy facilities bai kunahiitajika self determination ya hali ya juu apart from kipaji na mengineyo.
jiulize kwanini KDB wa chelsea sio sawa na yule wa wolfsburg au wa city?
hii ni instinct tu.nakwambia kuna wachezaji walikuwa na potential ya kuwa better individuals than mess na ronaldo ila walifeli kwenye determination na self awareness.