Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

MMECHEKI MZIKI HUO!!! pambaf
Screenshot_20221113-221156_Instagram.jpg
 
Tomiyasu anacheza namba zote za Beki,

Anatumia Miguu yote ,Ndio maana Hadi LB anacheza vzr tu
Mh kuna wacheza mpira wachache sana unaweza sema wanatumia miguu yote na ikawa hivyo mfano Dembele wa Barcelona. Kipimo cha kujua dominant leg angalia mchezaji akiwa anadribble anatumia mguu wa upande upi.

Tomiyasu hutumia mguu gani? Dembele anadribble kwa miguu yote with accuracy, mashuti miguu yote.

Tomiyasu akicheza LB wakati yeye dominant leg ni right inakua rahisi kumzuia winger mwenye mguu dominant wa kushot kucut in na kushut. Ndiyo maana aliwekwa LB ile siku na liva na Salah akaonekana hana anachofanya.

Tomiyasu anaweza kua CB na RB huko LB ni tactical issues tu.
 
MMECHEKI MZIKI HUO!!! pambafView attachment 2415850
Nyumbu Ni Nyumbu tu

Lazima mshangilie maana mna winga average Sana, Sasa huyu dogo Mbona wakawaida Sana ,ila kwa winga zilizopo mnamuona Kama Messi

Mmesahau hata Elanga mlipiga Sana kelele had UCL alifunga magoli, Leo Kiko wapi?

Sancho mlimnunua kwa €80m mech 40 goli 4 , mlipiga makelele ,leo Kiko wapi?

Hivi mngekuwa hata na Nelson ,si mngesumbua ?

Hata huyu Anthony mbrazil Ni wakawaida ,niliwaambia mkasema oho Nina wivu, malegend wenu nao wakasema

Ila kwakuwa mna mawinga average kina Elanga Basi Anthony mnamuona Kama Saka,

Nyumbu Ni Nyumbu tu tushawazoea
 
Mh kuna wacheza mpira wachache sana unaweza sema wanatumia miguu yote na ikawa hivyo mfano Dembele wa Barcelona. Kipimo cha kujua dominant leg angalia mchezaji akiwa anadribble anatumia mguu wa upande upi.

Tomiyasu hutumia mguu gani? Dembele anadribble kwa miguu yote with accuracy, mashuti miguu yote.

Tomiyasu akicheza LB wakati yeye dominant leg ni right inakua rahisi kumzuia winger mwenye mguu dominant wa kushot kucut in na kushut. Ndiyo maana aliwekwa LB ile siku na liva na Salah akaonekana hana anachofanya.

Tomiyasu anaweza kua CB na RB huko LB ni tactical issues tu.
Basi Nakupa hii mpya ,Tomiyasu Ni mmoja wao

Preferred foot yake Ni BOTH

Hajacheza LB Mechi na Liverpool tu kacheza nyingi tu msimu huu huku Tierney akisubiri

Ameshatumika Kama LB,LCB,RB,RCB na inasemekana alikuwa DM huko Japan

Ndio maana Ukiacha Zinchenko anayekuwa preferred Ni Yeye ,wa MWISHO ni Tierny

Profile yake Inasema anatumia Miguu yote
Screenshot_20221113-225811.jpg
 
Mh kuna wacheza mpira wachache sana unaweza sema wanatumia miguu yote na ikawa hivyo mfano Dembele wa Barcelona. Kipimo cha kujua dominant leg angalia mchezaji akiwa anadribble anatumia mguu wa upande upi.

Tomiyasu hutumia mguu gani? Dembele anadribble kwa miguu yote with accuracy, mashuti miguu yote.

Tomiyasu akicheza LB wakati yeye dominant leg ni right inakua rahisi kumzuia winger mwenye mguu dominant wa kushot kucut in na kushut. Ndiyo maana aliwekwa LB ile siku na liva na Salah akaonekana hana anachofanya.

Tomiyasu anaweza kua CB na RB huko LB ni tactical issues tu.
Wewe labda humjui Tomiyasu Huyo Ni Kama kina Dembele , Lalana au Carzola

Anatumia Miguu yote vizuri kabisa , ila anatumika Sana RB ,hapa arsenal kacheza Sana LB msimu huu kuliko RB ,

Mechi za Alhamis amecheza RB za Ligi LB

Mfatilie Japan huwa anacheza RCB ,Kuna mechi ya mwisho ya japan alicheza hadi LCB

Mikel Arteta on Tomiyasu’s ability with his both feet:

“When we followed the player, it is one of things that I came across & it gives you a lot of solutions. He can use both feet, he can play right centre-back, left centre-back, left-back. That gives you enormous variability.”
 
KUNA INTERVIEW YA XHAKA KAFANYA JANA , AMEONGEA MAMBO MENGI SANA

| Granit Xhaka kuhusu Mikel Arteta:

"Unajua nini? Ilinibidi nitimize miaka 27 ili kuelewa soka kwa usahihi, hiyo ndiyo sifa yake. Mikel alinionyesha soka upya. Anakuelezea mchezo, mbinu, mpinzani wako ili uweze kwenda na kushinda. Ni mtu mwendawazimu Kuhusu mpira”


Kusoma Zaidi fatilia hapa

Full Xhaka interview here -



IMG_20221113_234054.jpg
 
ARTETA NI MASTERCLASS kwenye Mbinu na Kiufundi.

Kuna namna Arsenal ya Arteta ime-perform beyond expectations (Inafanya vizuri kuliko matazamio ya wengi). Kuna namna Arsenal imeimarika mno. Sio kwenye uzuiaji, kumiliki mpira, kushambulia na hata namna inavyocheza dhidi ya timu zinazocheza kwa Low block (Rejea dhidi ya Chelsea na Wolves). Zamani Arsenal ilipata shida sana kuzifungua timu za namna hii. Tulilia sana kuhusu Creativity (Ubunifu) hasa kwenye Final Third.

Mwaka 2020 wakati Arteta anahojiwa kwenye PRESS moja alisema “Alihitaji sana kubadili mfumo kwenda 4-3-3 lakini kutokana na ukosefu wa wachezaji 5 mpaka 6 muhimu basi hawezi”

Arteta alibadili sana mifumo kulingana na wachezaji alionao na shortage ya ubora kikosini. Aliwahi kwenda na 4-1-2-1-2 huku Auba na Pepe/Laca wakiwa kama Double strikers, pia 4-2-3-1 huku Auba/Laca wakisimama kama Main target au 4-4-2 (Auba na Laca kama Double strikers). Kuna kipindi Arteta alitumia mpaka 3-4-3 yenye Hybrid shape huku Tierney akipanda kwenye Midfield iliku-push timu ingawa bado haikua msaada hasa kwa timu zilizo compact sana kwenye uzuiaji.

Arteta alikua na Vision lakini hakua na wachezaji. Arteta hakuwahi kuishiwa mbinu (Tactical) bali aliangushwa na ubora na aina ya wachezaji (Technical point of view).

Leo hii hatuimbi tena kuhusu Low block teams. Tunaimba kuhusu ubora wa Arsenal kwenye ku-press na kufanya Build up play. Tunaimba juu ya bora wa Arsenal kwenye ku-switch position, transition play (Defensive transition na Attacking transition). Leo hii tunaimba na ubora wa Arsenal kwenye Counter Attack. Na bado tutaimba sana.

Ubora wa Arsenal kwenye Counterpressing ni sawa na ule wa Liverpool wakiwa kwenye ubora wao. Ubora wa Arsenal kwenye Build up play ni sawa na ule wa City kwenye ubora wao. Ukubali au ukatae, Arsenal ni bora kiufundi na kimbinu kuliko Man City msimu huu. Subiri game yao pale Emirates. Kuna namna Arteta ananishangaza sana.

Man City wapo direct sana. Wanacheza direct football. Namna wanavyokushambulia unajua kabisa nini kinaenda kutokea. Lakini kwa Arsenal?…Vipi kuhusu Arsenal?…Unpredictable..! Huwezi kutabiri namna watakavyo kufungua. Namna wanavyokuja ni vingine kabisa na namna watakavyo kuadhibu. Nasubiri mechi kati ya Arsenal na City. Kama msimu uliopita Arsenal ili outplay City vipi kuhusu Msimu huu?

Arsenal inacheza 2-3-5 dhidi ya low block teams hasa ambazo ziko compact tena ambazo haziruhusu spaces za kushambuliwa kama Wolves na Chelsea. Nyuma Saliba, Gabriel. White, Partey na Zinny kwenye midfield ku-overload, Martinelli, Vieira, Ødegaard, Jesus na Saka kwenye Attacking. Kwanini usifunguke?

Kwenye Attacking phase, kuna muda Jesus alitokea pembeni kisha Vieira akiingia ndani kutokea Left . Asee tutaona mengi sana.

Uzuri nawakumbusha tu. Arteta anadai kuna mashimo sana pale Arsenal. Uwepo wa Ødegaard na Vieira kuna namna Arteta anataka uwepo wa Bernado na KDB wake.

Nitalipia gharama yoyote ile kutazama game bora msimu huu. Game ya kiufundi. Game ya kimbinu zaidi. Game itakayoamuliwa kwa ubora. Hata kama gharama yake ni kukosa kipindi chuoni. Nitaangalia.

Arsenal Vs City ni mechi ya msimu huu. Tukutane baada ya World Cup Insha’Allah.

#COYG

 
Wakati Jesus na Vieira wanaswitch position ,Martinelli alikua nyuma Yani kama vile yeye kachukua nafasi ya Vieira,

Vieira nae kachukua ya Jesus na Jesus ya Martinelli na goli likapatikana

This dribble from Martinelli right before we scored our first goal yesterday went under the radar

 
Basi Nakupa hii mpya ,Tomiyasu Ni mmoja wao

Preferred foot yake Ni BOTH

Hajacheza LB Mechi na Liverpool tu kacheza nyingi tu msimu huu huku Tierney akisubiri

Ameshatumika Kama LB,LCB,RB,RCB na inasemekana alikuwa DM huko Japan

Ndio maana Ukiacha Zinchenko anayekuwa preferred Ni Yeye ,wa MWISHO ni Tierny

Profile yake Inasema anatumia Miguu yote View attachment 2415867
Sawa
 
Wewe labda humjui Tomiyasu Huyo Ni Kama kina Dembele , Lalana au Carzola

Anatumia Miguu yote vizuri kabisa , ila anatumika Sana RB ,hapa arsenal kacheza Sana LB msimu huu kuliko RB ,

Mechi za Alhamis amecheza RB za Ligi LB

Mfatilie Japan huwa anacheza RCB ,Kuna mechi ya mwisho ya japan alicheza hadi LCB

Mikel Arteta on Tomiyasu’s ability with his both feet:

“When we followed the player, it is one of things that I came across & it gives you a lot of solutions. He can use both feet, he can play right centre-back, left centre-back, left-back. That gives you enormous variability.”
Ni kweli simjui mkuu.

Asante sana
 
Hua nasema mashabiki wa united ni wajinga, sasa ndiyo muone hapa.
Kuna group Moja la Uingereza nipo huyu mtoto watu wa man u wanakwambia ni Martinelli wa united

Elanga alifunga funga wakasema ni Rowe na foden wa united.

Wako hivyo yaani kitu kidogo wanaona ni kikubwa kwasababu hawana watu wa level hiyo.

Leo elanga yupo anaozea benchi akiingia anajikaba kama Pepe
 
Jack Wilshere akimzungumzia Aaron Ramsdale:


“Katika timu ya Arsenal, yeye ni muhimu katika kuanzisha mashambulizi, anatengeneza kila kitu. Lakini nina furaha sana kwake kutoka huko alikokuwa, kwa sababu alipitia wakati mgumu aliposajiliwa kwa mara ya kwanza Arsenal - kila mtu alikuwa akimtilia shaka.
FB_IMG_1668400107609.jpg
 
Back
Top Bottom