hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,325
- 26,765
Tomiyasu anacheza namba zote za Beki,Zinny majeruhi yanamsumbua.
Tomiyasu ni RB.
Anatumia Miguu yote ,Ndio maana Hadi LB anacheza vzr tu
Tomiyasu anacheza namba zote za Beki,Zinny majeruhi yanamsumbua.
Tomiyasu ni RB.
Mh kuna wacheza mpira wachache sana unaweza sema wanatumia miguu yote na ikawa hivyo mfano Dembele wa Barcelona. Kipimo cha kujua dominant leg angalia mchezaji akiwa anadribble anatumia mguu wa upande upi.Tomiyasu anacheza namba zote za Beki,
Anatumia Miguu yote ,Ndio maana Hadi LB anacheza vzr tu
Hua nasema mashabiki wa united ni wajinga, sasa ndiyo muone hapa.
Nyumbu Ni Nyumbu tu
Basi Nakupa hii mpya ,Tomiyasu Ni mmoja waoMh kuna wacheza mpira wachache sana unaweza sema wanatumia miguu yote na ikawa hivyo mfano Dembele wa Barcelona. Kipimo cha kujua dominant leg angalia mchezaji akiwa anadribble anatumia mguu wa upande upi.
Tomiyasu hutumia mguu gani? Dembele anadribble kwa miguu yote with accuracy, mashuti miguu yote.
Tomiyasu akicheza LB wakati yeye dominant leg ni right inakua rahisi kumzuia winger mwenye mguu dominant wa kushot kucut in na kushut. Ndiyo maana aliwekwa LB ile siku na liva na Salah akaonekana hana anachofanya.
Tomiyasu anaweza kua CB na RB huko LB ni tactical issues tu.
Wewe labda humjui Tomiyasu Huyo Ni Kama kina Dembele , Lalana au CarzolaMh kuna wacheza mpira wachache sana unaweza sema wanatumia miguu yote na ikawa hivyo mfano Dembele wa Barcelona. Kipimo cha kujua dominant leg angalia mchezaji akiwa anadribble anatumia mguu wa upande upi.
Tomiyasu hutumia mguu gani? Dembele anadribble kwa miguu yote with accuracy, mashuti miguu yote.
Tomiyasu akicheza LB wakati yeye dominant leg ni right inakua rahisi kumzuia winger mwenye mguu dominant wa kushot kucut in na kushut. Ndiyo maana aliwekwa LB ile siku na liva na Salah akaonekana hana anachofanya.
Tomiyasu anaweza kua CB na RB huko LB ni tactical issues tu.
He's just a normal player...
. Asee tutaona mengi sana.
SawaBasi Nakupa hii mpya ,Tomiyasu Ni mmoja wao
Preferred foot yake Ni BOTH
Hajacheza LB Mechi na Liverpool tu kacheza nyingi tu msimu huu huku Tierney akisubiri
Ameshatumika Kama LB,LCB,RB,RCB na inasemekana alikuwa DM huko Japan
Ndio maana Ukiacha Zinchenko anayekuwa preferred Ni Yeye ,wa MWISHO ni Tierny
Profile yake Inasema anatumia Miguu yote View attachment 2415867
Ni kweli simjui mkuu.Wewe labda humjui Tomiyasu Huyo Ni Kama kina Dembele , Lalana au Carzola
Anatumia Miguu yote vizuri kabisa , ila anatumika Sana RB ,hapa arsenal kacheza Sana LB msimu huu kuliko RB ,
Mechi za Alhamis amecheza RB za Ligi LB
Mfatilie Japan huwa anacheza RCB ,Kuna mechi ya mwisho ya japan alicheza hadi LCB
Mikel Arteta on Tomiyasu’s ability with his both feet:
“When we followed the player, it is one of things that I came across & it gives you a lot of solutions. He can use both feet, he can play right centre-back, left centre-back, left-back. That gives you enormous variability.”
Tunakaribisha mashabiki wapya, wale wanaoteseka huko kwa makenge, manyumbu, makuku na man city.Kama kuna sehemu niliwahi kuwasema arsenal
Naombeni mnisamehe
Kuna group Moja la Uingereza nipo huyu mtoto watu wa man u wanakwambia ni Martinelli wa unitedHua nasema mashabiki wa united ni wajinga, sasa ndiyo muone hapa.


Jack Wilshere akimzungumzia Aaron Ramsdale:Umekuwa mkweli kitu Kama hujui unasema sijuiNi kweli simjui mkuu.
Asante sana
Mchezaji wakawaida haizuii yeye kufunga ,hata Pepe aliwatungua man u ,but kwa Arsenal alikuwa flop tu,tumeshawazoea makelele yenuHuyo huyo Anthony wa kawaida aliwakojolea ,,,,, mnamchukia sana aliwafunga !