Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Odegaard learning to occupy the box better is really great. You can always get a couple of goals that way. Especially for a team that puts so many balls into the box.

City's midfielders always nick like 6 goals a season doing just that. Little detail, but extremely valuable.
 
Mkuu unavyompamba utadhani Mikel Ni Don Carlo, sir Alex, Special one ama Pep! Kwa kifupi ndio ameanza managerial career, apewe muda walau 10 years ndo utakuja kuandika haya ,,,,,

Wazungu wanapenda sana kuapprecitiana ndo hulka yao,,,, ! hAta akikufunga kwenye post match conference atawasifia adui zake na kusema pengine hawakuwa na bahati , au atasema timu nzuri imepoteza, na wapo wazi wazungu wanaweza kusema tumeshinda lakini hatukua na mchezo mzuri! Bongo je ? Kichekesho !

Tunza maneno ,,,, Mikel ashinde walau EPL 2, UEFA Moja ndo uje uongee haya !!
Mimi nazungumzia uhalisia ,wewe unasema nampamba ,duh,

Wivu utakuua ,unamuonea wivu mtu yupo Europe ,wabongo lini tutaacha wivu
 
Partey angekua hayupo na hamna kuhofia
Kipindi tunahusishwa nae nilimchungulia game kama 2 hivi nikajiridhisha anatufaa, mengine ndio mambo ya mpira tu.. Ila niliona anatufaa, ghafla nasikia the magpies wamembeba
 
Its gonna be boring not seeing this team playing for more than a month
IMG_20221031_164745.jpg
 
Kipindi tunahusishwa nae nilimchungulia game kama 2 hivi nikajiridhisha anatufaa, mengine ndio mambo ya mpira tu.. Ila niliona anatufaa, ghafla nasikia the magpies wamembeba
Tulimtaka toka yupo Brazil ,kipind Cha Unai, tukajizungusha ,Unai na genge lake wakawa hawaeleweki wanataka Nini, akaenda France , tukamkosa, mwishoni ,magpies wakaweka Mzigo,

Now Chelsea ,Madrid wanamtaka , Muarabu kasema hakuna wakumnunua

Jamaa Ni Gundogan mtupu ,energy yakutosha
 
Back
Top Bottom