Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

washindi 8 katika magroup moja kwa moja wanaenda round 16..

second place of each group wanakabiliana na failure kutoka Champion's league kutafta kupata washindi wengine 8 kutimiza jumla ya timu 16🌚

Thus why Hizi mech 3 za mwisho Arteta atapambana Amalize nafas ya 1 ,aepuke mrundikano wa mech
 
washindi 8 katika magroup moja kwa moja wanaenda round 16..

second place of each group wanakabiliana na failure kutoka Champion's league kutafta kupata washindi wengine 8 kutimiza jumla ya timu 16🌚

Thus why Hizi mech 3 za mwisho Arteta atapambana Amalize nafas ya 1 ,aepuke mrundikano wa mech
kwani zmebaki tatu ni mbili mzee
 
🗣️| Bodo/Glimt manager Kjetil Knutsen on Arsenal and Mikel Arteta:


“I hope we can get the opportunity to visit Arsenal and get inspiration. The way he has developed the team is extremely impressive.” [@dagbladet] #afc
 
Kwenye mechi ya jana nilikua nikimfuatilia zaidi Turner jamaa ana goalkeeping ya hali ya juu sana ananusa sana hatari na ana anticipation ya juu mno nimegundua ni kipa mzuri kwenye hayo maeneo angalau kwenye mechi ya jana.
Amekosa kujiamini tu kwenye baadhi ya sehemu alitakiwa awe anaanza chini badala yake akawa anabutua.

Ila nimependa distribution yake.. i can see the changes under Mikel maana hakuwa hivi wakati anajiunga.
 
LETA TIMU YAKO YENYE WAZEE TUIPIME UMRI


Arsenal are topping the Premier League with the youngest squad (average age 23.7 years old) 👶

https://t.co/jZ0TA2Kkdn
IMG_20221011_152501.jpg
 
Official. Douglas Luiz has signed a new long-term contract with Aston Villa. 🚨🟣🔵🇧🇷 #AVFC

Deal completed after negotiations on Deadline Day with Arsenal collapsed on clubs side; Villa considered DL untouchable.
More on Douglas Luiz. Understand new deal with Aston Villa will be valid until June 2026, four year contract. 🚨🟣🔵🇧🇷 #AVFC

Negotiations started right after the end of the market as Arsenal had three bid rejected for Douglas on Deadline Day.
 
Official. Douglas Luiz has signed a new long-term contract with Aston Villa. 🟣 #AVFC

Deal completed after negotiations on Deadline Day with Arsenal collapsed on clubs side; Villa considered DL untouchable.
More on Douglas Luiz. Understand new deal with Aston Villa will be valid until June 2026, four year contract. 🟣 #AVFC

Negotiations started right after the end of the market as Arsenal had three bid rejected for Douglas on Deadline Day.
Labda hakukua na maongezi ya kumuitaji tena january?
 
Official. Douglas Luiz has signed a new long-term contract with Aston Villa. 🚨🟣🔵🇧🇷 #AVFC

Deal completed after negotiations on Deadline Day with Arsenal collapsed on clubs side; Villa considered DL untouchable.
More on Douglas Luiz. Understand new deal with Aston Villa will be valid until June 2026, four year contract. 🚨🟣🔵🇧🇷 #AVFC

Negotiations started right after the end of the market as Arsenal had three bid rejected for Douglas on Deadline Day.
daaaaah tuludi kwa tielemans tu
 
Back
Top Bottom