Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal U-18's manager Jack Wilshere told talkSPORT host Andy Goldstein off-air that

Ethan Nwaneri is one of the best players he's ever seen at that age.[@talkSPORT]
 
Labda kwa makocha wengine, ila Pep huwa mkweli, had kwenye Kitabu chake amemuelezea Mikel Arteta, ameelezea aliwahi kumuomba mbinu jinsi ya Kuifunga Chelsea ,Wakati huo Arteta Ni mchezaji ,pep kocha Barca

Kipind Arteta amefika Arsenal Kama kocha alipoaanza kujenga timu Kuna mashabiki walileta Maneno, akasema Watu hawamjui Arteta ,akasema Kama Bodi ya arsenal itamfukuza watakuja kujuta

Juz Rio kamuuliza Pep kwenye kipind BT SPORT , kamuambia inaonekana umetengeneza Monster (Arteta)

Pep akasema ,Arteta Anajua Sana na hata yeye Pep amejifunza vingi

Arteta pia aliulizwa vipi mnawasiliana na pep had Sasa, akasema kila Siku wanajadili Kuhusu mpira , ila sio Kuhusu Arsenal na city

Wachezaji wa mancity kina KDB, n.k hata kina Sane, Sterling,Jesus ,Zinny wanamzungumzia Arteta Kama moja ya wakufunzi Bora.
Mkuu unavyompamba utadhani Mikel Ni Don Carlo, sir Alex, Special one ama Pep! Kwa kifupi ndio ameanza managerial career, apewe muda walau 10 years ndo utakuja kuandika haya ,,,,,

Wazungu wanapenda sana kuapprecitiana ndo hulka yao,,,, ! hAta akikufunga kwenye post match conference atawasifia adui zake na kusema pengine hawakuwa na bahati , au atasema timu nzuri imepoteza, na wapo wazi wazungu wanaweza kusema tumeshinda lakini hatukua na mchezo mzuri! Bongo je ? Kichekesho !

Tunza maneno ,,,, Mikel ashinde walau EPL 2, UEFA Moja ndo uje uongee haya !!
 
Mkuu unavyompamba utadhani Mikel Ni Don Carlo, sir Alex, Special one ama Pep! Kwa kifupi ndio ameanza managerial career, apewe muda walau 10 years ndo utakuja kuandika haya ,,,,,

Wazungu wanapenda sana kuapprecitiana ndo hulka yao,,,, ! hAta akikufunga kwenye post match conference atawasifia adui zake na kusema pengine hawakuwa na bahati , au atasema timu nzuri imepoteza, na wapo wazi wazungu wanaweza kusema tumeshinda lakini hatukua na mchezo mzuri! Bongo je ? Kichekesho !

Tunza maneno ,,,, Mikel ashinde walau EPL 2, UEFA Moja ndo uje uongee haya !!
WELL SAID


Njota njema huonekana asubuhi
Zingatia hili
 
Arsenal kwa mara ya kwanza tangu miaka 15 iliyopita itaongoza ligi Krismasi
 
Mkuu unavyompamba utadhani Mikel Ni Don Carlo, sir Alex, Special one ama Pep! Kwa kifupi ndio ameanza managerial career, apewe muda walau 10 years ndo utakuja kuandika haya ,,,,,

Wazungu wanapenda sana kuapprecitiana ndo hulka yao,,,, ! hAta akikufunga kwenye post match conference atawasifia adui zake na kusema pengine hawakuwa na bahati , au atasema timu nzuri imepoteza, na wapo wazi wazungu wanaweza kusema tumeshinda lakini hatukua na mchezo mzuri! Bongo je ? Kichekesho !

Tunza maneno ,,,, Mikel ashinde walau EPL 2, UEFA Moja ndo uje uongee haya !!
umeongea ukweli mtupu, mashabiki wa Arsenyani wengi ni bendera hufata upepo, wakisikia mapundit kwenye sky sports wanamsifia Arteta basi nao wooote wanatembea na upepo huo, mambo yakibadilika zikaanza Hashtag za "Arteta Out" na wao utawaona humohumo.
 
Matokeo mabovu ya man city, yamewaponza sana Wolverhampton

Wolverhampton atapigea kama ngoma

Umuhimu wa kumpita man city tofaut ya points tano ata mtoto wa darasa la pili anaujua

Sasa basi

Arsenal 4 Wolverhampton 0

Arsenal NDOO
haaland kiatu
 
Back
Top Bottom