Hakuna kilichokosewa hapo
Iwobi ,willock walifikia kuwa average players , hata mashabik walipiga kelele Sana hatuwez ku move on na kina iwobi, willock,
Japo kwa Sasa namfatilia Sana iwobi ,anacheza CM pia na AM anauwasha Sana ,
Willock alienda mkopo akauwasha Newcastle akawanusuru kushuka daraja akifunga mfululizo mech karibu 7-8
Ikaja ofa ya £25m mchezaji ambaye arsenal hapati nafasi ,Ni average player
Gnabry huyu issue yake Wenger aliwahi kuiweka wazi,
Ulifanyika uhuni na bayern , Wenger hakutaka kumuuza,
Bayern waliwatumia nadhan bremen Kama sikosei afosi Kuondoka ,wamsajiri kwa dau dogo ,then bayern wakamchukue kwao ,maana Bayern angekuja kumtaka akiwa arsenal angepigwa Bei kubwa,
Kweli, Gnabry alifos Kuondoka akigoma kusain mkataba ,japo Nafas yake kipind hicho ilikuwa finyu
Soma hapa
YouTube
YouTube · beIN SPO...
Wenger claims Bayern manipulated Serge Gnabry's move to Werder ...